Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Status
Not open for further replies.
tuache ujinga sasa ,sisi sote ni ndugu hakuna dini,kabila wala tabaka bora ktk jamii yetu ,tupambane Na uchumi tulionao
Muislamu ndugu yake muislamu! Hicho ndicho waliambiwa, hata siku moja usifikiri muislamu ndugu yake atakuwa mkristo(kama unanielewa, ila kutokana na maisha yalivyo hawana jinsi tu)
 

Kuna mahali nimeandika hayo maneno "choka mbaya"? What have you been drinking?
 
Nyerere hakuanzisha chama. Nyerere alikaribishwa na Wazee wa Dar. Akina Sykes. Chama aanzishe Nyerere jina la chama atowe Abdul Wahid Sykes na Ally Sykes?
Sasa huyo nyerere aliwazidia wapi hadi kuja kuwaongoza humo chamani?
 

Rudia tena kusoma nilichoandika kwenye hiyo post yangu uliyoijibu. Hakuna nilipoandika kuwa Wakristo watachinja au watalazimisha watu wawe Wakristo.
Btw; soma vitabu nilivyovitaja.
 
Kuna mahali nimeandika hayo maneno "choka mbaya"? What have you been drinking?.
No No No sijasema wewe umesema mi ndio nakuambia hao waarabu wataakavyo filisika mafuta yatakuwa sio dili tena I drink only water. Have a good day
 
Halafu baada ya kuwa chama cha kiislamu ikaishiaje?
Sterling akafa kabla movie haijaisha?
 
Chama ni cha waislamu, ila anakuja mkristo anawaburuza humo alafu mpo tu mnabaki kulialia!yaani ni sawa na leo gwajima aongoze bakwata na kuwaburuza
Yani mtu anajitapa kabisa kwamba "TANU kilikuwa chama cha Waislamu" kama hiyo ni sifa nzuri ya kujivunia?

Mtu anaona udini ni sifa nzuri?

Wale wazee wa TANU wa Pwani walikuwa na akili sana kujua kwamba, ingawa wao wengi walikuwa Waislamu, walihitaji kiongozi mwenye elimu dunia pana na upeo wa kwenda nchi nzima kuhamasisha watu, na kwenda UN kudai uhuru kwa hoja za kifalsafa zitakazoeleweka kimataifa.

Hawakukosea kumchagua Nyerere, licha ya kwamba hakuwa Muislamu mwenzao.

Ukimsikiliza Nyerere na hoja zake za "Enlightenment Philosophy" za watu kama John Stuart Mill, utaona alijua kuongea lugha ya falsafa ya wakoloni na kuwazidi kwa hoja katika kudai uhuru, kitu ambacho wazee wa Kiislamu wengi wa Pwani (sio wote, wengi) hawakuweza.

Wazee walikuwa na akili ya kujua kwamba tofauti za dini hizi, dini za kuletewa na wageni, zisitufanye Wwaafrika tugawanyike.

Nyerere naye alivyopata madaraka ya kuendesha nchi, akasema hataki kujenga nchi yenye matabaka ya watu, tabaka la waasisi wa TANU na tabaka la wengine, tabaka la machifu na tabaka la wengine. Akavunjilia mbali Uchifu. Akaondoa habari za waasisi wa TANU kujiona wako juu ya wengine. Aapotezea waasiskataka kujenga jamii yenye usawa kwa wote. Hapo ndipo wengine wanatafsiri kwamba aliwapotezea waasisi wa TANU.

Msikilize Nyerere anamwaga madini kipindi cha former first lady wa US, Eleanor Roosevelt, mwaka 1959 katika safari zake za UN.

Sasa wazee wa Kiislamu wangapi wangeweza kujichanganya kimataifa hivyo wakati huo?

 
Kwa mfano vimondo angani ni mizinga anayotumia allah kumzuia shetani asiingie mbinguni..
Jua kuzama kwenye dimbwi la maji machafu,mohamed kupasua mwezi vipande viwili,mohamed kupaa na farasi hadi mbinguni
Hahaha hahahaha.........!

Ila tuache Utani Mudy alikuwa Mjinga sana
 
Rudia tena kusoma nilichoandika kwenye hiyo post yangu uliyoijibu. Hakuna nilipoandika kuwa Wakristo watachinja au watalazimisha watu wawe Wakristo.
Btw; soma vitabu nilivyovitaja.
Umetaja kitabu cha Daniel ambacho ni agano la kale na Ufunuo wa Yohana ambacho ni agano jipya hivi vyote havina neno uislamu.

Na Bible nzima haina neno uislamu na haijawahi kutabiri ujio wa Nabii mwingine zaidi ya Kristo Yesu alivyotabiriwa.

Leta ushahidi wa Mstari wa Bible ulioutaja ama kuutabiri uislamu simple
 
Moja ya mambo muhimu sana katika masuala mazima ya imani tena ndani ya nchi yetu hii,nafikiri inatupasa tukiwa tunayajadili basi tuwe makini sana kwani sisi watz wengi wetu tumekuwa ktk mazingira ya ukaribu sana between ukri/uisla.hata familia zetu zinaingiliana kwa namna moja au nyingine, basi ombi langu upendo na umoja wetu ktk imani ndio uliotufanya tunaweza kuishi nyumba moja,kazi moja,tunakula pamoja na tunashirikiana kwa mengi tu.Tumlani shetani kwa kuachana na malumbano ya kidini.
 
Ndiomana Narudia kusema..
Dini inawafanya watu kua mambumbumbu yakutupwa..Dini imewageuza watu misukule na watumwa wa akili na miili yao..

Dini/Cults ni vyama vya siasa..waliojimilikisha umungu
 
Wazee waasisi wa TANU si ndio wazee wa DSM ambao wanatambulika hadi leo.?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…