Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Only in Mbumbumbu fc,na wao wanaona ni sawa tuu.Mwenyekiti wa Bodi anamteua Mwenyekiti wa Bodi????
simba raha sanaWale waswahili waliokuwa wanapiga kelele " mo tuachie timu yetu" haya sasa kawaachia hakuna rangi ambayo hamtaiona. Ndio kajitoa hivyo
Umeyaleta wewe?Kuna mabadiliko kwenye uongozi ila siyo shareholding.
kawaida yaoHuyu Muhindi ana mbwembwe
Bado, tunazisubiriaBilioni 20 hivi aliweka kweli au tumepigwa msingida
Ukiona hivyo ujue ndani pamoto,kinawaka.eti nawatakia maafanikio mema ehh mbona kama anaacha laana
Wewe Ndugu yangu huna akili kabisa!!..Usalama saccos,Ngome saccos,Bandari Saccos,Mapato Saccos au umeongelea kitu hujuiUnajua uongozi wa SACCOS unavyopatikana, pia jua kuwa SACCOS nyingi ni vikundi na sio taasisi
Sasa we ndo umeongea cha maana ,siyo watu kulia lia mo amesusaFCC walisha toa condition Mo hawezi kuwa Mwenyekiti ya Bodi na akawa Muwekezaji hapo Kuna ukinzani ili kuweka Mambo sawa Inatakiwa aweze kustep down Uwenyekiti wa Bodi ili mambo ya uwekezaji ndani ya simba yasiwe na conflict of interest na Simba walichofanya ni kufuata condition ya FCC ili kukamilisha mchakato wao.
Na sio sababu ya kusafiri sana aliyoisema yeye na labda nikupe za ndani kabisa ilikuwa ngumu sana yeye kuachia hiyo nafasi ya uenyekiti wa bodi ya wakarugenzi ila conditions za FCC ndo zinambana sana
Ebu acha umbumbumbu, MO yeye ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba. Klabu ya Simba mtendaji wake mkuu ni Barbara yeye anafanya Mambo yote kwa uhuru, mshauri mkuu wa MO na Barbara ni Magori.Bro unapoteza muda na hawa utopwinyo wewe kubali tu kwamba kakimbia ,maana ukienda facebook kuna shangwe kubwa sana no wonder kina Mbowe wanateseka bure juu ya wajinga wa nchii hii, yaani hawajui tofauti ya mwenyekiti wa bodi na wa klabu na mgawanyowa shareholder wa 49 % na wa 51 %..halafu hawa ni wa jamii forums ambao tuna assume wana akili je vilaza wengine?
Weka account yako hapa akuwekeeBado, tunazisubiria
uzi umepamba motoUmeyaleta wewe?
Huu msemo ungeu apply kule kwenye siasa ungekuwa mke wangu.Keshagundua watanzania ni wakimya ila sio wajinga
Hao wenye nia wako walikuwa wapi kabla simba haijawa hivi ilivyo?Sio kwamba anawekeza simba bila kuwa na maslahi. Kabla ya MO simba ilikuwepo na baada yake itakuepo.
Hakuna anayemchukia hata kwa anayoyafanya ila na yeye atambue simba ina mashabiki na wapenzi ambao hawezi kuwakwepa.
Kama hataki maneno aanzishe team mpya kabisaaaaa iwe mali yake binafsi
Maana kama anakereka atashindwa kuistawisha team na zaidi ataididimiza.... Angondoka kabisa ili wenye nia waingie na kufanya kazi na Simba
kweli unayosema miaka 4 alifanyajeEbu acha umbumbumbu, MO yeye ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba. Klabu ya Simba mtendaji wake mkuu ni Barbara yeye anafanya Mambo yote kwa uhuru, mshauri mkuu wa MO na Barbara ni Magori.
Leo hii baada ya miaka minne MO anasema anasafari nyingi za kibiashara kwaiyo Try again ata mrithi. Ivi kwa mtu anayefikiri sawasawa si anajua kabisa MO ame bwaga manyanga!!(amejitoa) Kwani miaka yote iyo safari si alikua nazo !! kwanini MO asiendelee na Safarizake za kibiashara uku akiendelea kua mwenyekiti wa bodi na Kama hatokuwepo kwenye kikao Try again amwakilishe?
Au kwanini ikitokea siku ya kikao na yeye ikatokea Yuko mbali kwasababu yoyote Ile kwanini wasitumie video conference?
Kwa ujumla MO amesha Susa, Sasa tafuteni watu wa kumbembeleza. Mtumeni Amos Makala maana Makonda hayupo. Ivi Duniani Kuna wafanya biashara wangapi ambao wapo katika bodi mbali mbali Tena katika Taasisi ambazo wao ni wenyeviti wa bodi waliamua kujiuzuru kwasababu ya safari?
Hana, angekuwa nazo angekuwa ameshaziwekaWeka account yako hapa akuwekee
Mo amebwaga manyanga huku kaweka hela zake?Ebu acha umbumbumbu, MO yeye ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba. Klabu ya Simba mtendaji wake mkuu ni Barbara yeye anafanya Mambo yote kwa uhuru, mshauri mkuu wa MO na Barbara ni Magori.
Leo hii baada ya miaka minne MO anasema anasafari nyingi za kibiashara kwaiyo Try again ata mrithi. Ivi kwa mtu anayefikiri sawasawa si anajua kabisa MO ame bwaga manyanga!!(amejitoa) Kwani miaka yote iyo safari si alikua nazo !! kwanini MO asiendelee na Safarizake za kibiashara uku akiendelea kua mwenyekiti wa bodi na Kama hatokuwepo kwenye kikao Try again amwakilishe?
Au kwanini ikitokea siku ya kikao na yeye ikatokea Yuko mbali kwasababu yoyote Ile kwanini wasitumie video conference?
Kwa ujumla MO amesha Susa, Sasa tafuteni watu wa kumbembeleza. Mtumeni Amos Makala maana Makonda hayupo. Ivi Duniani Kuna wafanya biashara wangapi ambao wapo katika bodi mbali mbali Tena katika Taasisi ambazo wao ni wenyeviti wa bodi waliamua kujiuzuru kwasababu ya safari?
Ushawapi wapi kuona popote Duniani company au shirika lenye muundo wa Bodi Mwenyekiti wa Bodi anapotoka au kujiuzulu yeye mwenyewe ndio anachagua au kuteua mwenyekiti mpya wa Bodi?Hawajui tofauti ya mwenyekiti wa bodi na mwenyekiti wa wanachama , hawajui kama kule kuna Mangungu akiwakilisha wanachama siku ikifika kwao wakaona msola yupo na mwenyekiti wa bodi ndipo wataelewa halafu watajisifu kwamba ni utaratibu mzuri sana haujawahi kutokea
Aweke wapi!Mo amebwaga manyanga huku kaweka hela zake?