King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Just sell media right for more than 40 billions in 10 years only
But Mbumbumbu sale their whole club in life time for 20 billions! That's joke
Msio na hela huwa na maneno meeeeengi!Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika- Mo - "Time ya Ushindani (FCC) imeshatupa ruhusa, hivyo mchakato wa mabadiliko ya Simba umekamilika, tumepewa vipengele vichache vya kufanyia kazi kama kutoa fedha," - Mohammed Dewji.
====
MWENYEKITI wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo Dewji' leo Ijumaa Julai 30, 2021 amekabidhi kitita cha Sh20 Bilion za uwekezaji wa Simba.
Amesema hanunui hisa asilimia 49 kwa pesa hiyo bali 43 Bilioni.
"Mpaka sasa nimeshalipa Simba zaidi ya Sh21 Bilioni, ukiachana na pesa nyingine za ziada za maandalizi ya msimu, usajili na nyinginezo ninazotoaβ
"Mimi nimetoa jasho na machozi kwenye Simba, nimetoa muda mwingi kwa ajili ya Simba, nimepoteza fursa nyingi kwenye biashara zangu kwa ajili ya Simba."
"Sisi tumewekeza na hawezi kutokea mtu akatupa hela ya udhamini, sawa sawa na wenzangu, hili sitakubali. "
"Hakuna mtu mkubwa kuliko Simba, hii timu tumeikuta na tutaiacha, hata mimi nimeikuta."
Lakini kuna watu wanasema Mohammed Dewji hana pesa, leo hii nakabidhi cheki ya Sh 20 Bilioni," amesema.
Alitania kwamba kama akisema pesa hiyo Bilioni 20 tayari ameshaipa Simba na wamemalizana kwenye zile Bilioni 21. Mohammed Dewji amekabidhi kitita cha Sh 20 Bilion za uwekezaji wa Simba.
View attachment 1873903
=========
Ni wakati sasa wa Simba kugomea Bilioni 20 za Mo na kutaka Thamani ya Klabu iongezwe au kama kuna mwenye Mzigo zaidi Aje.
Anaonekana wzi anagomea wadhamini wengine, kiuhalisia thamani ya simba imepanda. Kama Yanga TV tu ni zaidi ya hizo Bilioni 20 tena kwa miaka kumi vipi kuhusu Brand ya Simba?
Kwa maelezo yake Bil 21 ametumia kwa miaka 4 , mbona hasemi faida aliyopata? . Kama ametumia kwa miaka 4 bil 21 , maana yake hizi 20 zitaisha baada ya Miaka 4 tena!.. Then whats next ataendelea kutoa hisani ya fedha zake? au ataanza kula matunda ya uwekezaji wake?
Anasema ahanunui hisa kwa 20B bali ni 43B, Ipo kwenye mkataba?. Je hizo alizokuwa anatoa kumbe alikuwa anazihesabu. Je zijazo atatoa au atawaambia watumie hizo 20B alizowapa?
Kwa nini Valuation ya Hisa imefanywa kiholela, Na kwa nini hakuna wawekezaji wengine waliojitokeza kupambana kwenye kupata hiyo Dili ya uwekezaji?
Ni strategy za kibiashara ambazo zitaiwezesha Simba kujiendesha na kutengeneza faida toka hizo B20 SABABU hata Mo mwenyewe anaonekana KUPOTEZA PESA katika huo udhamini kwa madai yake.
Kumbuka huu ni mchakato wa Mabadiliko ya uendeshaji wa timu, siyo mchakato wa kumpa Mo Timu. Hii Press ni ya kibabe sana. Inaonekana Simba OG ni kama wamenyongea na wanaendeshwa tu.
KWENYE MAJUKWAA NA USHABIKI SIMBA ISHANGILIE USHINDI KUWAJIBU YANGA KWA HILI
KIBIASHARA NA KIMKAKATI SIMBA IMEPIGWA KWEUPE.
Ifikirie Mwaka 2035 Bado familia ya Mo itakuwa inaimiliki hii klabu kwa 49% hata kama Mo atakuwa hayupo hai. Hizo 20B zitakuwa zimeyeyuka kitambo sana. Naiona Simba na Mo Family wakiburuzana kortini baadaye.
Itakuwa kesi ya: Tuachieni Timu yetu Vs Turudishieni Pesa zetu 49%
Narudia tena, Even in his 49% investment still Mo dewji remains the main man who have all the full control of the club in each and everything than the club members who have 51% of investment.Yani ungenyamaza Kimya ungeficha mengi kuhusu madhaifu yako! ππ
Eti 'whole club' πππ labda whole ya Nyoko...
Simba haijauza Timu bali imeuza sehemu tu ya hisa zake asilimia 49% kwa thamani ya Tshs. 20B, kuna 51% zilizobakia kwa Wananchi unajua zina thamani ya Tshs. ngapi? πππ
Hivi Uto kwanini munashindwa kujua Vitu rahisi kama hivi?
Tatizo mashabiki wa Yanga HaNnAzo,hata [emoji881]akifanya Jambo jema, Utopolo watalipinga hawaeleweki wanataka Nini?Thamani ya 20B ilikuwa miaka minne nyuma kwa sasani zaidi ya 90B. Aliye changia kupandisha ni MO na amekuwa akitoa 5 B kila mwaka
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nenda kamshtaki CAS ili anyang'anywe hizo hisa.Tajiri ana maneno ya Kiswahili huyu sijawahi ona, Angekuwa yeye ndo Azam Bakhresa kwa madeal yake ya Over 40 billions angekuwa anaita press kwenye channel ya supersport
Mbumbumbu katika ubora wenuNenda kamshtaki CAS ili anyang'anywe hizo hisa.
Nyani wa pori la Utopolo katika ubora wenuMbumbumbu katika ubora wenu
Kuchangamsha jukwaa tu mkuu,Una hasira kali sana unaweza hata kuua ukikaa na mo karibu
Hio ni kawaida kwenye biashara yyte mzee..iwe mpira iwe real estate au yyte ile pesa ya mara moja hua ni chache ukilinganisha na pesa ya kidogo kidogoJust sell media right for more than 40 billions in 10 years only
But Mbumbumbu sale their whole club in life time for 20 billions! That's joke
Alie elewa hapa aje afanye kama kuvunjavunja, ili na mm nitoke na kituHio ni kawaida kwenye biashara yyte mzee..iwe mpira iwe real estate au yyte ile pesa ya mara moja hua ni chache ukilinganisha na pesa ya kidogo kidogo
Liverpool thamani yake ilikadiriwa kua 1.3B by 2019 lakini kwa mwaka tv rights wanapata zaidi ya 200M inamaana kwa miaka kumi itakua walishika pesa mingi sana zaidi hata ya thamani ya club hivi sasa ipa sasa hizo pesa wanapewa kidogo kidogo hawawezi hata kwa dawa kupewa kwa mara moja
Mwaka 2010 Liverpool iliuzwa kwa 300M lakini mwaka uliofuata TV right ziliwapatia zaidi ya 100M
Mwaka jana Liverpool ilisign na nike mkataba wenye thamani ya 90M na zaidi kwa mwaka wa jezi ina maana ndani ya miaka 10 itakua imepata zaidi ya 1B considering baada ya miaka 5 dau litaongezeka
Hivyo ni kawaida sana timu kua na maingizo madogo madogo ambayo in 10 yrs yanakua na ujumla wa juu sana zaidi hata ya thamani ya timu yenyewe..
Tukirudi hata nyumba za kupanga ni vile vile..nyumba yenye thamani ya 30M utapangishiwa kwa 250-350 kwa mwaka ndani ya miaka 10 itakua iliingiza pesa zaodo ya thamani iliyokuwepo wakati mkataba unaanza ila hakuna mpangaji atakupa pesa ya miaka 10 yote bora akanunue nyumba
Hizo ni poundsAlie elewa hapa aje afanye kama kuvunjavunja, ili na mm nitoke na kitu
Note:Hizo pesa hapo juu kwa Liverpool ni Tshillings, euro, pound au USD
Basi nenda ka edit data zako mzee, una andikaje kienyeji vileHizo ni pounds
Simba inamtangazia DEWJI biashara zake pia sio kuangalia upande mmoja tu....
Kwa hali ya kawaida mtu hawez fikiria ni madafuBasi nenda ka edit data zako mzee, una andikaje kienyeji vile
Simba haitangazi biashara za Mo bure wamelamba pesa, mkataba rasmi kabisa.Simba inamtangazia DEWJI biashara zake pia sio kuangalia upande mmoja tu....
Kwa kukusaidiaSimba inamtangazia DEWJI biashara zake pia sio kuangalia upande mmoja tu....