Mohammed Shabiby: Namna ya kupunguza bei za mafuta kwa 50% ya bei za sasa

Tanzania tunashindwa udhibiti wa bei ya mafuta na Congo wanaopigana vita kila siku na raslimali zao kuporwa na mabeberu. Na mafuta yao yanasafirishwa na kulipiwa nauli ya km elfu kadhaa za barabara.
Hatushindwi bali kila Nchi ina policy zake kwenye ishu ya mafuta..

Tzn tumeweka Kodi za kutosha kwenye mafuta Ili kupata mapato..

Hata hivyo nitoe ushauri kwa Serikali,,pamoja na kuandaa vyanzo vingine vya mapato,waajiri vijana wa mikataba Ili kufuatilia maduka na manunuzi yote kwa wananchi wadai risiti na wenye maduka watoe risiti,ukibainika kinyume chake uchukuliwe hatua kali..

Nchi hii watu hawatoi risiti kabisa kwenye manunuzi ya bidhaa,Sasa hapa pekee kuna pesa kubwa Sana inapotea..
 
Hii inji Ina kazi sana
 
Haya yote wametuletea wazungu k*** zao
Sa hivi tungekua zetu porini hatuna habari ya Yesu wala Muhammad wala ngonjera za umeme, magari tungekua zetu tunalima, tunacheza ngoma, tunaoa wake kibwena, tunawinda na kuvua. Hizo ndio zilikua shughuli kuu za mwanadamu hapa duniani.
 
Huyu Mbunge ameongea kitu kimoja kwamba mita za kupima mafuta bandarini zinaaribiwa makusudi. Lkaini cha ajabu sio serikali au wabunge wengine wanataka kuongelea hili kwasababu inawezekana kabisa wanajua wahusika!

 
Shabiby apewe maua yake,ushauri wake uheshimiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…