Mohammed Shabiby: Namna ya kupunguza bei za mafuta kwa 50% ya bei za sasa

Mohammed Shabiby: Namna ya kupunguza bei za mafuta kwa 50% ya bei za sasa

... hao wahuni watatengeneza cartel; wata-collude kuwaumiza wananchi. Sidhani kama huo ushauri una msaada wowote maana siku za nyuma ilikuwa hivyo "wakashindikana" ndipo serikali ikaja na wazo la bulk procurement kujaribu kuondoa tatizo. Asitake kuturudisha kule.
Kwa maelezo yake, kuna kampuni moja kubwa ya India iliwekeza miaka hiyo hapa. Ikashusha bei ya mafuta kwa zaidi ya shilingi 400 kwa kila lita.

Wafanya biashara wa kizungu wakaja juu kwa kushirikiana na baadhi ya wabunge(ccm/wapinzani) wakaja na ushauri wa makampuni hayo kusimamisha usambazaji kwa muda. Na wao wakaanza kuibana serekali bungeni. Ndipo wakaja na uagizaji wa pamoja ili kuzuia mtu kushusha being.

Matokeo yake, yule muhindi akashindwa ushindani akawauzia hao wazungu kampuni yake.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Maskini wa akili na mali amewahi kuwa na impacts gani Duniani hapa? Au umewahi ona maskini kashawishi maamuzi? 😝😝
Kinacho kuuma nini bulaza
mwenye kutoa Ushawishi wa maamuzi? Unafikiri mie ndio Eyo Honesty. Wacha nile makande yangu.
Ujumbe umekufikia
Utashindwa tu!
 
Naunga mkono hilo wazo.Kwasababu kwasasa hatujui hii changamoto itakwenda mpaka lini,kwahiyo inatakiwa serikali ije na mpango wa dharura wakukabiliana na hii shida.Cha msingi kuwe na utaratibu mzuri wakusimamia kuanzia anayeagiza,kodi na mambo mengine.Hali ikikaa sawa wanaweza kurudi kwenye utaratibu wao.
 
Mkuu sio kweli hili,Botswana bei ya mafuta bado ni under 12P!na ni land locked country, ni mipango thabiti ya viongozi wao, moja ya vitu ambavyo ningependa kuuliza ni why awamu ya kwanza haikuweka utaratibu wa to keep on check ongezeko letu la watu?,President Samia ametuambia kuwa may be tutafikia ongezeko la kiuchumi la 5% soon, hii ni Safi ila tunaongezeka kwa 3%to4%!hii ni craze, tulitakiwa tuwe chini ya 1%ili ongezeko la uchumi tuweze kuliona.
Unawaonea choyo hata watoto ambao hawajazaliwa!!!
Huo ni ubinafsi wa kutisha.[emoji28]
Utani...

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hali ya sasa ya dunia haitasaidia chochote.

Angalia kwanza unayeshindana naye LEO huko kwa wenye mafuta.

Shabiby amekariri!
Kuna watu wanaweza agiza directly from Russia. Kule ni cheaper zaidi
 
Kinacho kuuma nini bulaza
mwenye kutoa Ushawishi wa maamuzi? Unafikiri mie ndio Eyo Honesty. Wacha nile makande yangu.
Ujumbe umekufikia
Utashindwa tu!
Ohoo👇

JamiiForums-443627714_375x463.jpg
 
Mazingaombwe mengine ya Bunge la chama kimoja nayo ni shida tupu...waliruhusu bomba
Sasa bomba la mafuta la kutokea UGANDA la nini?
Mawese?
... huko sasa mnataka kuwauzia matanki kivukoni!
What a waste ya tax payers money
Bunge limejaa matapeli tupu
 
This Shabiby guy ameongea point za msingi
Ni kweli kabisa !! Kwa mfano hivi sasa Urusi wameteremsha bei ya mafuta yao, wafanyabiashara binafsi wanaweza kujua watayapataje ! Na lazima watayapata tu hata iweje !!
 
Bunge limejaa matapeli tupu
Unamaanisha wabunge wa CCM?

Mie naona wangemteua Sunk cost manake ni Tajiri wa akili na mali na wala sio tapeli. Halafu...

Ushawishi wake wa maamuzi, leo hii hii bunge lingempatia uwezo wa Kununua na kuuza mafuta. Tajiri sana.
 
Tanzania kila mtu Ni MWIZI na ndio maana kila mtu anaaamini kila mtu anaiba.
Wapo wezi wakubwa na wapo wezi wadogo wadogo na wapo wadokozi tu !! Kwahiyo athari za wizi wao kwa Nchi huwa hazilingani !!
 
Wapo wezi wakubwa na wapo wezi wadogo wadogo na wapo wadokozi tu !! Kwahiyo athari za wizi wao kwa Nchi huwa hazilingani !!
Kwahiyo wizi mdogo Ni halali. Au unamaanisha hao wanaoiba kidogo kidogo wakikabidhiwa kikubwa wataendelea kuiba kidogo kidogo
 
You are watching too much cnn,bbc,sky news,cbs news,fox news and many more western mainstream media...
NIngekuwekea udikteta na mauaji ya marekani afrika na sehemu nyingine duniani lakini huo ni mjadala wa siku nyingine...
Kuna raia gani wa marekani amewai kutikisa kama hao ambao wametajwa na huyo bwana?.
 
Unamaanisha CCM

Mie naona wangemteua Sunk cost manake ni Tajiri wa akili na mali na wala sio tapeli. Halafu...

Ushawishi wake wa maamuzi, leo hii hii bunge lingempatia uwezo wa Kununua na kuuza mafuta. Tajiri sana.
Mhindi awe na huruma na wewe? sahau
 
Shabiby huwa anaongea point sana.... baada ya SSH kustaafu, nashauri huyu jamaa wampe nafasi ya kugombea urais,
Kwani Urais huwa unasomewa ?? Urais ni TAASISI !! unachotakiwa kuwa nacho ni Hekima na Busara tu !! Pale kwenye TAASISI ya Urais ndio panapotakiwa kuwepo watu very smart na wenye uzalendo wa kweli kutoka mioyoni mwao !!
 
Kwahiyo wizi mdogo Ni halali. Au unamaanisha hao wanaoiba kidogo kidogo wakikabidhiwa kikubwa wataendelea kuiba kidogo kidogo
Kwa sababu umesema watu wote Tz ni wezi tu ! Basi ni bora wale wadokozi kuliko wale mapapa ya wizi !! Maana hayo mapapa ndio yanaidumaza Nchi !!
 
Back
Top Bottom