Kwa hiyo tusifanye kitu au tufanye nini?
Akikujibu usiache kutuletea mrejesho mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tusifanye kitu au tufanye nini?
Siku zako za muendelezo wako na genge lako la exeter hall la ukoloni mamboleo linafikia tamati.Maskini anaweza fanya mapinduzi gani? Maskini wa akili na mali kama Mwendazake alifanya nini cha maana zaidi ya kuua uchumi?
Maskini wengine wa mali na akili wa Zambabwe walifanya nini cha maana zaidi ya kuvuruga Nchi?
Yaani umpe maskini aharibu afu na yeye aanze kuiba Ili ajitie kwenye ufukara si utakuwa ni Wehu.Maskini siku zote ni hasara tuu.
Kwani si kuna mamlaka ya kusimamia bidhaa hiyo! Kwa hiyo waruhusiwe tu lkn mamlaka ya kusimamia itakuwa inakagua.Wanataka watuletee mafuta yasiyo na quality. zaidi zaidi watalketa mafuta mabovu waliyonunua vichochoroni na kutuuzia kwa bei ya soko.
Ushauri mzuri sana.Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta
MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.
Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.
“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.
Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.
“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.
“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta
MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.
Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.
“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.
Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.
“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.
“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Huyu Shabibi ni kabila gani? haya ndiyo majangili ya nchi yetuShabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta
MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.
Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.
“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.
Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.
“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.
“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Mhindi wa Gairo. Aliyetoroka IndiaHuyu Shabibi ni kabila gani? haya ndiyo majangili ya nchi yetu
Huyu ni tapeli kupita kiasiMhindi wa Gairo. Aliyetoroka India
Kamato za bunge zinakodisha mabasi yake kwa siku Tsh 3,000,000 . Wanakamati wenyewe kwenye basi wapo 12Huyu ni tapeli kupita kiasi
Wangeweza kuzungushwa na noah woteKamato za bunge zinakodisha mabasi yake kwa siku Tsh 3,000,000 . Wanakamati wenyewe kwenye basi wapo 12
Sababu sio waathirika ni ngumu kuelewa.Wanasikia tatizo hawaelewi
Maskini wa akili na mali huwa mnaojifariji Sana kwa mihemko,hamnaga facts 😄😄.Siku zako za muendelezo wako na genge lako la exeter hall la ukoloni mamboleo linafikia tamati.
Utashindwa tu na Uhasama wako.
Ujumbe umekufikia.Maskini wa akili na mali huwa mnaojifariji Sana kwa mihemko,hamnaga facts 😄😄.
This is what we call "sunk cost fallacy" 😂😂😂😂
Maskini wa akili na mali amewahi kuwa na impacts gani Duniani hapa? Au umewahi ona maskini kashawishi maamuzi? 😝😝Ujumbe umekufikia.
Aluta Continua
Umemsikiliza kwanza?Kwa hali ya sasa ya dunia haitasaidia chochote.
Angalia kwanza unayeshindana naye LEO huko kwa wenye mafuta.
Shabiby amekariri!
Unajadili hoja ya mtoa mada au unaangaika na majina ya watu.jina litakusaidia nini wewe kwakati unaona hoja iliyotolewa ina mashiko.acha kuangaika na vitu vifogo vidogo visivyo na maana katikati ya mambo ya msingi.Acha uongo bhana siyo Mohammed Shabib anaitwa Ahmed Shabiby
Kwahiyo anataka kutuletea mafuta ya uharamia?Umemsikiliza kwanza?
Kwenye hoja yake anasema huko kwenye maji ya kimataifa kuna meli kibao kutoka nchi zenye vikwazo. Huuzia huko huko baharini. Tena kwa bei chini ya robo ya soko la dunia.
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app