Mohammed Shabiby: Namna ya kupunguza bei za mafuta kwa 50% ya bei za sasa

Mohammed Shabiby: Namna ya kupunguza bei za mafuta kwa 50% ya bei za sasa

Maskini anaweza fanya mapinduzi gani? Maskini wa akili na mali kama Mwendazake alifanya nini cha maana zaidi ya kuua uchumi?

Maskini wengine wa mali na akili wa Zambabwe walifanya nini cha maana zaidi ya kuvuruga Nchi?

Yaani umpe maskini aharibu afu na yeye aanze kuiba Ili ajitie kwenye ufukara si utakuwa ni Wehu.Maskini siku zote ni hasara tuu.
Siku zako za muendelezo wako na genge lako la exeter hall la ukoloni mamboleo linafikia tamati.

Utashindwa tu na Uhasama wako.
 
Wanataka watuletee mafuta yasiyo na quality. zaidi zaidi watalketa mafuta mabovu waliyonunua vichochoroni na kutuuzia kwa bei ya soko.
Kwani si kuna mamlaka ya kusimamia bidhaa hiyo! Kwa hiyo waruhusiwe tu lkn mamlaka ya kusimamia itakuwa inakagua.
 

Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta​


MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.

Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.

“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.

Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.

“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.

“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Ushauri mzuri sana.
 

Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta​


MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.

Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.

“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.

Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.

“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.

“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669

Kilo ya Nyama 10,000/= Ng'ombe nao wanatoka Russia?​

 

Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta​


MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.

Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.

“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.

Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.

“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.

“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Huyu Shabibi ni kabila gani? haya ndiyo majangili ya nchi yetu
 
Mazingaombwe mengine ya Bunge la chama kimoja nayo ni shida tupu...waliruhusu bomba
Sasa bomba la mafuta la kutokea UGANDA la nini?
Mawese?
... huko sasa mnataka kuwauzia matanki kivukoni!
What a waste ya tax payers money
 
Sera zote mbovu za magufuli inafaa zifukiwe kaburini kabisa, uuagizwaji wa pamoja ndo nn sasa, mafuta waiachie sekta binafsi
 
Hili la mafuta lingenikuta nimeshaanza zalisha mafuta mbadala ningepiga pesa nyingi Sana ndani ya mda mfupi
 
Siku zako za muendelezo wako na genge lako la exeter hall la ukoloni mamboleo linafikia tamati.

Utashindwa tu na Uhasama wako.
Maskini wa akili na mali huwa mnaojifariji Sana kwa mihemko,hamnaga facts 😄😄.

This is what we call "sunk cost fallacy" 😂😂😂😂
 
Kwa hali ya sasa ya dunia haitasaidia chochote.

Angalia kwanza unayeshindana naye LEO huko kwa wenye mafuta.

Shabiby amekariri!
Umemsikiliza kwanza?
Kwenye hoja yake anasema huko kwenye maji ya kimataifa kuna meli kibao kutoka nchi zenye vikwazo. Huuzia huko huko baharini. Tena kwa bei chini ya robo ya soko la dunia.


Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Acha uongo bhana siyo Mohammed Shabib anaitwa Ahmed Shabiby
Unajadili hoja ya mtoa mada au unaangaika na majina ya watu.jina litakusaidia nini wewe kwakati unaona hoja iliyotolewa ina mashiko.acha kuangaika na vitu vifogo vidogo visivyo na maana katikati ya mambo ya msingi.
 
Umemsikiliza kwanza?
Kwenye hoja yake anasema huko kwenye maji ya kimataifa kuna meli kibao kutoka nchi zenye vikwazo. Huuzia huko huko baharini. Tena kwa bei chini ya robo ya soko la dunia.


Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo anataka kutuletea mafuta ya uharamia?

Hawa wamechakachua sana mafuta na kusababisha serikali ipandishe bei ya mafuta ya taa ili kuwadhibiti.
 
Back
Top Bottom