The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Sheria ya bulk procurement hajaikuta acha upuuzi wakoUtakufa aisee kwa chuki za jpm . Sheria jpm ameikuta inafanya kazi wew unasema jpm ndo katunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria ya bulk procurement hajaikuta acha upuuzi wakoUtakufa aisee kwa chuki za jpm . Sheria jpm ameikuta inafanya kazi wew unasema jpm ndo katunga
Oranges and applesKama Marekani ni udikteta, dunia nzima ni udikteta, Jiwe aachwe apumzike.
Mkuu ilianza 2011. Waziri yule alishinikiza sana kwa mkuu wa wakati huo na mwisho wa siku utaratibu ukabadilishwa. Haikuanza wakati wa mwendazakeSheria ya bulk procurement hajaikuta acha upuuzi wako
Sheria ya bulk procurement hajaikuta acha upuuzi wako
Mfumo umeanza 2011We ndo mpuuzi kiazi mviringo maana uanjua kila kitu jpm ndo ameazisha
Mhenga mwenzangu Shabiby huyu umeanza kumjua leo?😄😄very sensible.
P
Ndio tatizi lililopo hili,kila sekta hawa watu wamejiingiza na ndio maana vyombo vingine vya mamlkaka havina nguvu juu ya usimamiaji wa sera na sheria zake, utasikia aah hapa kuna mkono wa mkubwa hivyo ni ngumu kulisimamia.Tatizo biashara ya mafuta inashikiliwa na wanasiasa walafi ambao ndio wanaotoa maamuzi kwa maslahi yao binafsi. Kuna haja ya kufanya mapinduzi ya kuokoa nchi kutoka mikononi manyang'au yalinayohodhi madaraka
Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta
MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.
Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.
“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.
Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.
“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.
“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Rubbish 🚮🚮We ndo mpuuzi kiazi mviringo maana uanjua kila kitu jpm ndo ameazisha
Tushawajua chuki zenu kwa January Makamba Ni dini yake, na sio msukuma mwenzenu, kingine mmemaindi fisadi Kalemani kutolewa NishatiIla we jamaa comment zote hizo juu umeiona hiyo? Utakua una shida,
Nilimuhesabu kwenye kundi la wabunge matajiri, kwanza huwa, hawaulizi swali lolote, na huwa hawachangii, mada yoyote, and when changia, they usually don't talk sense!.Mhenga mwenzangu Shabiby huyu umeanza kumjua leo?😄😄
Takukuru iliundwa ya nini, si ifutwe tu tuelewe moja.Shabiby kuna kitu hajakisema vizuri kuhusu uagizaji wa mafuta wa mtu mmoja mmoja, ubora wa mafuta unakuwa substandard sana, wengi wanafanya mix za uhuni, wanaleta mafuta with low Octane rating, alafu wanatuulia gari zetu.
Shabiby ana point, ila waagizaji binafsi wengi sio waaminifu, wanaleta mafuta with low quality, alafu wanahonga watu wa vipimo, mafuta yanapita alafu yanaua engine zetu
![]()
Select the right octane fuel for your vehicle!
We answer your most frequently asked questions about octane.www.fueleconomy.gov
Huyu ni mwongo!Wakiagiza huwezi kuwapangia bei! Wafanyabiashara watakula njama za kupandisha sana bei kuliko kawaida kwa kisingizio cha vita!Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta
MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.
Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.
“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.
Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.
“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.
“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Nani amekwambia US bado ananunua mafuta toka Russia, acheni kupotosha watu wengi wasiojua maswala ya kimataifa au kama ni effects ya vitu vingine vya kuvuta pia nakushauri uachane nazo.😀😀😀😀 nimecheka kinoma .
🇺🇸🇺🇸 akikusikia umenunua wese LA 🇷🇺🇷🇺. Nakwambia utakipata cha mtema kuni. Yaani
utakula kilichomshinda njiwa .
Lakini cha ajabu yeye US ananunua mpaka muda huu hukohuko RUSSIA😂😂😂😂😂😂😂.
wanasema Baba akikomba mboga haimaanishi na watoto nao wakombe.
Serikali inatakiwa kuimarisha taasisi zinazosimamia viwango tuu inatosha . Hakuna mfanyabiashara ataleta mafuta aje kupata hasara nakuhakikishia hilo.Shabiby kuna kitu hajakisema vizuri kuhusu uagizaji wa mafuta wa mtu mmoja mmoja, ubora wa mafuta unakuwa substandard sana, wengi wanafanya mix za uhuni, wanaleta mafuta with low Octane rating, alafu wanatuulia gari zetu.
Shabiby ana point, ila waagizaji binafsi wengi sio waaminifu, wanaleta mafuta with low quality, alafu wanahonga watu wa vipimo, mafuta yanapita alafu yanaua engine zetu
![]()
Select the right octane fuel for your vehicle!
We answer your most frequently asked questions about octane.www.fueleconomy.gov
Mkuu, ukiangalia idadi ya watoto chini ya miaka mitano huko mitaani unagundua kuwa watu wameacha kazi iendelee.... wamechagua kazi nyingine ya kuijaza Dunia. 😉Mkuu sio kweli hili,Botswana bei ya mafuta bado ni under 12P!na ni land locked country, ni mipango thabiti ya viongozi wao, moja ya vitu ambavyo ningependa kuuliza ni why awamu ya kwanza haikuweka utaratibu wa to keep on check ongezeko letu la watu?,President Samia ametuambia kuwa may be tutafikia ongezeko la kiuchumi la 5% soon, hii ni Safi ila tunaongezeka kwa 3%to4%!hii ni craze, tulitakiwa tuwe chini ya 1%ili ongezeko la uchumi tuweze kuliona.
Na hii inasikitisha mno,nchi tunazaliana mno na hili linaongeza umasikini kwenye family zetuMkuu, ukiangalia idadi ya watoto chini ya miaka mitano huko mitaani unagundua kuwa watu wameacha kazi iendelee.... wamechagua kazi nyingine ya kuijaza Dunia. 😉
Tunatwanga maji kwenye kinu tu!😛