Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmhAnapaswa kupelekwa Stakishari akanywe chai kwa njia ya haja kubwa pale na mkuu wa upelelezi.
Kwani mwendokasi inapita mtaa gani postaHivi ajali imetokea maeneo gani,i mean posta mtaa gani,pale city council au?
Ile ajari mwendokasi haikuwa inakimbizwaMabasi ya mwendokasi yanakimbizwa sana ajali zake uwa zinakuwa mbaya sana wakati yanapita ktk lane zilizowazi na hiyo ndio maana yake sio kukimbiza mabasi ovyo na kusababisha ajali ambazo zinaweza kuzuilika au kuleta madhara kidogo sana.
Kwa ajali ile nafasi ya kupona kibaolojia ni asilimia 1% nje ya hapo Nguvu za Mungu ziingilie kati uhai wake.. kwenye ajali ile dereva wa RAV 4 ndiye ana hatia ya kujibu duniani na mbinguni.. ile ngoma ya kwake na uzao wake wote..Taasisi ya tiba ya mifupa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MOI) imesema Mwanaume aliyeonekana akigongwa na Basi la abiria “mwendokasi” Jijini Dar es salaam jana, amelazwa Hospitalini hapo kwenye chumba cha Uangalizi Maalum (ICU).
Meneja wa Kitengo cha Uhusiano cha MOI Patrick Mvungi ameiambia AyoTV kuwa Mtu huyo wamempa jina la ‘UNKNOWN’ kwa sababu mpaka sasa hawana taarifa zake rasmi.
Mvungi ameongeza kuwa mpaka sasa Mtu huyo ambaye amevunjika mguu, mkono na kuumia kichwani hawezi kuongea lakini anafungua macho.
Pia soma: Kisutu: Ajali ya Mwendokasi makutano ya Jamhuri na Morogoro Road
Kupona kwake lazima ni serious injuries kugongwa na bus halafu likuminye ukutani si mchezo.
Amesababisha ajali ya kizembe kabisa!Anapaswa kupelekwa Stakishari akanywe chai kwa njia ya haja kubwa pale na mkuu wa upelelezi.
Ana haki ya kulipwa na Bima. Tumuombee apone akadai fidia yake. Aliesababisha ajali(gari ndogo) ndio atalipa kupitia Bima yake kama anayo.Mara amekufa maskin Mungu amuaf apone haraka
Mwendokas wagharamie kumtibu na kumlipa fidia
Kabisa ile nguruwe inapaswa kukutana na chamtema kuni. Wamkamue mpaka tone la mwisho ajute kuzaliwa hapa duniani. Kamsababishia mwenzie taabu na mahangaiko mazito kwa upumbavu wake.Amesababisha ajali ya kizembe kabisa!
Ona sasa mtu ametoka zake nyumbani, ameenda kukitafutia riziki mjini! Mwisho wa siku anajikuta yuko ICU, kwa uzembe wa mtu.
Sawa mkuu. Hilo la fibres ndio nafahamu hapa leo. Nitafuatilia kujifunza zaidi.Kupona kwake lazima ni serious injuries kugongwa na bus halafu likuminye ukutani si mchezo.
Haya mabasi mbele wameweka fibres kulinda watembea kwa miguu iwapo litamgonga. Ingekuwa yale ya kawaida asingepata hata muda wa kuwa icu
HakikaYule dereva wa Rav 4, anatakiwa apigwe marufuku kuendesha gari. Maana hana sifa ya kuitwa dereva.
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi apone haraka.Taasisi ya tiba ya mifupa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MOI) imesema Mwanaume aliyeonekana akigongwa na Basi la abiria “mwendokasi” Jijini Dar es salaam jana, amelazwa Hospitalini hapo kwenye chumba cha Uangalizi Maalum (ICU).
Meneja wa Kitengo cha Uhusiano cha MOI Patrick Mvungi ameiambia AyoTV kuwa Mtu huyo wamempa jina la ‘UNKNOWN’ kwa sababu mpaka sasa hawana taarifa zake rasmi.
Mvungi ameongeza kuwa mpaka sasa Mtu huyo ambaye amevunjika mguu, mkono na kuumia kichwani hawezi kuongea lakini anafungua macho.
Pia soma: Kisutu: Ajali ya Mwendokasi makutano ya Jamhuri na Morogoro Road
Kuendesha gari city center sio kazi rahisi kihivyo,kuna watu wana leseni wamesomea veta ukimwambia twende town anaogopaYule dereva wa Rav 4, anatakiwa apigwe marufuku kuendesha gari. Maana hana sifa ya kuitwa dereva.
Mtaa WA Libya, kutoka bibi titi road mtaa WA tatu au tuseme baada ya iliyokuwa stand ya Kisutu mtaa WA piliHivi ajali imetokea maeneo gani,i mean posta mtaa gani,pale city council au?
Umeliona la mwendokasi ila haujaliona la mwenye rav4.Mabasi ya mwendokasi yanakimbizwa sana ajali zake uwa zinakuwa mbaya sana wakati yanapita ktk lane zilizowazi na hiyo ndio maana yake sio kukimbiza mabasi ovyo na kusababisha ajali ambazo zinaweza kuzuilika au kuleta madhara kidogo sana.
kibongo bongo ndio ntolee hiyo. Hakuna atakaewajibika. Hapo ni yeye na kudra za Mungu wake.Mara amekufa maskin Mungu amuaf apone haraka
Mwendokas wagharamie kumtibu na kumlipa fidia