Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Hakika Mungu ni mwema sana! Mungu amjaalie mja yule apone haraka! Amen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu nimwema atapona aendelee na majukumu yakeTaasisi ya tiba ya mifupa kwenye Hospitali ya Muhimbili (MOI) imesema Mwanaume aliyeonekana akigongwa na Basi la abiria “mwendokasi” Jijini Dar es salaam jana, amelazwa Hospitalini hapo kwenye chumba cha ICU.
Meneja wa Kitengo cha Uhusiano cha MOI Patrick Mvungi ameiambia AyoTV kuwa Mtu huyo wamempa jina la ‘UNKNOWN’ kwa sababu mpaka sasa hawana taarifa zake rasmi.
Mvungi ameongeza kuwa mpaka sasa Mtu huyo ambaye amevunjika mguu, mkono na kuumia kichwani hawezi kuongea lakini anafungua macho
Sout. #MillardAyoUPDA
Ashukuru kupona. Maana kama dereva wa mwendokasi asingemkwepa na kwenda kumgonga mpita njia, basi alikuwa afie eneo la ajali.Kuendesha gari city center sio kazi rahisi kihivyo,kuna watu wana leseni wamesomea veta ukimwambia twende town anaogopa
Bora angemgonga tu ahaaaAshukuru kupona. Maana kama dereva wa mwendokasi asingemkwepa na kwenda kumgonga mpita njia, basi alikuwa afie eneo la ajali.
Mkuu mbona kwa nature ya hii ajali ni kama Mwendokasi ndio watamlipa maana yeye amegongwa na mwendokasi sio gari dogoAna haki ya kulipwa na Bima. Tumuombee apone akadai fidia yake. Aliesababisha ajali(gari ndogo) ndio atalipa kupitia Bima yake kama anayo.
Sana,ila nilihisi tu lazima jamaa aponeIliniuma Sana yule jamaa alipogongwa. Kama yupo hai Mungu amponye.
Atakuwa alikuwa anabishana na mke wakeLile eneo kuna mataa pale ila baadhi ya madereva wa magari ya kawaida wanaletaga dharau sana pale.
Unakuta taa nyekundu imewaka ikimaanisha magari ya kawaida yasimame kupisha ya mwendokasi yapite, lakini ukiangalia kulia na kushoto hakuna gari la DART basi wao wanatumia nafasi hiyo kuvuka
Kwa nilivoona basi lilikua na mwendo mdogo wa kawaida ila baada ya kugonga ile gari ndogo iliongeza mwendo Sana nadhan dereva wa mwendo Kasi alijichganya akachochea badala ya breksKama sheria ingekuwapo kwenye BARABARA ya mwendo kasi inayo elekeza SPEED ya eneo husika lazima DEREVA wa DART angelifata sababu asingeweza kuupuza kama MADERVA wa usafiri mwingine na IMPACT YAKE isinge kuwa kubwa kama ilivyo kuwa kama BUS LA MWENDO KASI linge kuwa linakwenda 20MPH impact ingekuwa kidogo sana.
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Hii ndio taarifa rasmi hawana sababu ya kusema uongo
Hasa nchi masikiniUmetoka zako mishe mishe unawahi home gari linakufata. Maisha ya mwanadamu ni fumbo kubwa