Kama sheria ingekuwapo kwenye BARABARA ya mwendo kasi inayo elekeza SPEED ya eneo husika lazima DEREVA wa DART angelifata sababu asingeweza kuupuza kama MADERVA wa usafiri mwingine na IMPACT YAKE isinge kuwa kubwa kama ilivyo kuwa kama BUS LA MWENDO KASI linge kuwa linakwenda 20MPH impact ingekuwa kidogo sana.Umeliona la mwendokasi ila haujaliona la mwenye rav4.
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app