MOI: Mwanaume aliyegongwa na Basi la Mwendokasi yuko ICU

MOI: Mwanaume aliyegongwa na Basi la Mwendokasi yuko ICU

Ile impact ni Kubwa sana ngumu kutoboa,wanachofanya MNH ni kubuy time kwanza maana wakitoa taarifa za kifo hapo hapo italeta taharuki,wana JF wengi ni rahisi sana kudanganywa ,wao kila kitu wanameza wala hawadigest...irudie tena na tena ile CCTV video kwanza.
Sasa mkuu ajali imeonekana kwenye CCTV, wew unadhani wakisema kafa yule italeta taharuki gani kwa jamii?

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Acha kukariri mkuu.

Wala hata usiende mbali, mimi niko mjini hapa ila ukinipatia milioni kumi kwamba nikupeleke kwa ndugu yangu hapa dar hiyo hela nitaikosa.

Jamani tusiishi kwa kukariri mambo, wengine tumekuja kufungua njia kwa ajili ya ndugu zetu walioko Kazuramimba Kigoma.
siyo wote tuna ndugu hapa mjini.
Mkuu yule jamaa aliyekupokea kule Tabata ndo ndugu yako, ndugu sio mpaka mzaliwe tumbo moja, ndugu ni yule ambaye anaweza toa taarifa zako pale upatapo matatizo kama ya uyo majeruhi
 
Kama waliweza kujua hadi jina kwamba anaitwa ismail inakuwaje washindwe kujua majina yake mengine?
nadhani taarifa nyingine zitatolewa.
JamiiForums-1291057303.jpg
 
Mkuu yule jamaa aliyekupokea kule Tabata ndo ndugu yako, ndugu sio mpaka mzaliwe tumbo moja, ndugu ni yule ambaye anaweza toa taarifa zako pale upatapo matatizo kama ya uyo majeruhi
basi kama hiyo ndiyo maana ya ndugu, hata huyo majeruhi wale waliompeleka Muhimbili ndiyo ndugu zake.
 
Ile impact ni Kubwa sana ngumu kutoboa,wanachofanya MNH ni kubuy time kwanza maana wakitoa taarifa za kifo hapo hapo italeta taharuki,wana JF wengi ni rahisi sana kudanganywa ,wao kila kitu wanameza wala hawadigest...irudie tena na tena ile CCTV video kwanza.
Staff wa MOI hawapo JF wala hawaishi na sisi mitaani
 
Wale waliompeleka muhimbili waliwahi kuishi na majeruhi kabla? Wanajua mahali anapotoka au kuzaliwa?
sasa mkuu mbona unajifunga mwenyewe?
Unaponiambia mimi kuwa jamaa aliyenisaidia kule tabata ndiyo ndugu yangu, amewahi kuishi na mimi kabla.
 
Acha kukariri mkuu.

Wala hata usiende mbali, mimi niko mjini hapa ila ukinipatia milioni kumi kwamba nikupeleke kwa ndugu yangu hapa dar hiyo hela nitaikosa.

Jamani tusiishi kwa kukariri mambo, wengine tumekuja kufungua njia kwa ajili ya ndugu zetu walioko Kazuramimba Kigoma.
siyo wote tuna ndugu hapa mjini.
Aisee jamani nikichekigi comments zako na ile story uliotoaga hapa jf wakati unatoka kigoma sijawahi kuamini hadi nilivyoona umecoments hapa leo.
Maana unavyotoa mawazo yako hapa ni sawa na mtu wa chuo kikuu, mi nilijuaga kwenye ule uzi we ni muongo, ila sasa ndo naamini
King Kong III unasomaga comments za huyu jamaa
 
Majeruhi akitengamaa na akarudi Tena Duniani aonyeshwe lile tukio jinsi ilivyokuwa.

Wanasayansi eti wanasema angekimbia kurudi atokako angenusurika.
Yule Jamaa aliyekaa kwenye kiti akili yake ilikuwa fasta sana kuchakata kitakachojiri maana alianza kukimbia mapema sana.
 
Aisee jamani nikichekigi comments zako na ile story uliotoaga hapa jf wakati unatoka kigoma sijawahi kuamini hadi nilivyoona umecoments hapa leo.
Maana unavyotoa mawazo yako hapa ni sawa na mtu wa chuo kikuu, mi nilijuaga kwenye ule uzi we ni muongo,
King Kong III unasomaga comments za huyu jamaa

Huenda nasoma ila labda sijakariri jina,huo uzi wa kutoka kigoma ulinipita aisee.
 
Italeta taharuki kwa nani?

Watu wataanza kuilaumu serikali maana tukio la kifo linaleta "sympath" kwahiyo wachangiaji watakuwa wanaendeshwa kwa mihemko ,ukizingatia ajali ilihusisha UDART na RwandaAir zote taasisi kubwa.

Lakini ukisema hakuna kifo na watu wanatulia.
 
Mara amekufa maskin Mungu amuaf apone haraka
Mwendokas wagharamie kumtibu na kumlipa fidia
Watz mnapenda sana kuamini taarifa za udaku ndio maana yule jamaa mnamwita kigogo aliweza sana kuwachota akili.
 
Back
Top Bottom