MOI: Mwanaume aliyegongwa na Basi la Mwendokasi yuko ICU

MOI: Mwanaume aliyegongwa na Basi la Mwendokasi yuko ICU

Chukua finger prints za mgonjwa na run ndani ya central data systems ya raia, informations zote zimo ndani ya systems hiyo.
kama tu alijisajili kwa ajili ya NIDA kinyume na hapo hakuna kitu. Na wapo watu wengi tu hapa mjini hawajui hata namba ya NIDA inafananaje kumaanisha hawakujiandikisha.
 
Punguza utoto

Wapo watu hawana ndugu hapo dar wengi sana

Kumbuka kuna vijana wanakuja kutafta kwa kunandia magar ya mizogo nk

Na kutambua ndugu wa mgonjwa mpaka awe walau na nyaraka kama kitambulisho cha taifa au hata cha kazi na pengine hata leseni nk

Bila vitu hivyo ni nuujiza pekee hasa kama hata kuongea hawezi

Sio kila kitu tulalamikie selikal inakula dili kwa manufaa yapi?

puguza ujinga weww hakuna mtu asiekuwa na ndugu, hata kama kaja kutoka mikoani ukimpiga picha ukamtoa kwenye habari ndugu zake walioko msalala au nyangwale watamuona
 
Tusidanganyane hapa kutokana na Mkoa wa Dar es Salaam kuwa Kimbilio la kila Mtanzania hakuna Mtu aliyeko Kijijini (Mkoani) au aliyeko hapa Mkoani Dar es Salaam halafu hana hata Ndugu yoyote yule.

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamtaki Ndugu wajitokeze kwa sasa kwakuwa wataharibu Taarifa yenu ya Awali kuwa bado tunae Ulimwenguni na tutashuhudia nae pamoja Mechi za Simba na Yanga Weekend hii wakati zinazoendelea zinasema Israeli alishafanya yake Siku ile ile.

Halafu kwanini hamtaki Kumtaja Jina lake kila mnapozungumza na Media na badala yake mnaishia tu kusema (kumtaja) kwa Jina la Majeruhi. Kwahiyo Ndugu zake wanaomtafuta Wamtafute kwa Jina hilo la Majeruhi?

Yaani Israeli akutafute kabisa na ujae katika 18 zake kama Simba SC yangu ilivyojaa katika 18 za Raja Casablanca FC na Kula Gongo 3 Bila Safi na akuache? Thubutu!
Labda wanaogopa kujitokeza kwa kuhofia kutoa gharama za matibabu.
 
Tusidanganyane hapa kutokana na Mkoa wa Dar es Salaam kuwa Kimbilio la kila Mtanzania hakuna Mtu aliyeko Kijijini (Mkoani) au aliyeko hapa Mkoani Dar es Salaam halafu hana hata Ndugu yoyote yule.

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamtaki Ndugu wajitokeze kwa sasa kwakuwa wataharibu Taarifa yenu ya Awali kuwa bado tunae Ulimwenguni na tutashuhudia nae pamoja Mechi za Simba na Yanga Weekend hii wakati zinazoendelea zinasema Israeli alishafanya yake Siku ile ile.

Halafu kwanini hamtaki Kumtaja Jina lake kila mnapozungumza na Media na badala yake mnaishia tu kusema (kumtaja) kwa Jina la Majeruhi. Kwahiyo Ndugu zake wanaomtafuta Wamtafute kwa Jina hilo la Majeruhi?

Yaani Israeli akutafute kabisa na ujae katika 18 zake kama Simba SC yangu ilivyojaa katika 18 za Raja Casablanca FC na Kula Gongo 3 Bila Safi na akuache? Thubutu!
Wewe huna hoja ya maana hapo....
Mtu yeyote apatae impact kama ile anaweza kupata maumivu na madhara ambayo hupelekea yeye majeruhi kupoteza fahamu kwa kipindi kirefu.
Inategemea ubongo wake umedhurika kiasi gani!

Halafu sio kila mtu aliyeko Dar es salaam,anao ndugu wa karibu.
Kuna makundi mengi tofauti ambayo hayana ukaribu na ndugu zao,ambao wanaweza kufanya follow up ya mapema.

Na wengine hata makazi ya kudumu hawana .ni homeless.

Pia watanzania sio wote wenye vitambulisho vya NIDA au vyeti vya kupigia kura.

Na sioni sababu ya Serikali kuficha kifo cha raia wake,ambae amepatwa ajali mbele ya hadhara.

Ifichwe kifo chake ili iweje?

Hoja yako wewe MINOCYCLINE ni mfu na inathibitisha kuwa wewe ni Minor thinker!
 
Acha ujinga dogo, kwani kila aliyeko dar ana ndgu? Aliekwambia hawataki kumtaja jina ni nani? Ili iweje kwani? Walishasema mgonjwa yupo ICU hawezi kuongea ila macho afumbua
 
puguza ujinga weww hakuna mtu asiekuwa na ndugu, hata kama kaja kutoka mikoani ukimpiga picha ukamtoa kwenye habari ndugu zake walioko msalala au nyangwale watamuona
Hiyo picha unaweza kutusaudia wewe kuipiga?

Kwa impact ile unaweza kutarajia kupata picha yenye kutambulika vizuri?

Na una uhakika gani kwamba kichwa chake kakijazungushiwa bandeji chote?
 
Unavotoka kwenu bila kuaga au mawasiliano sio mazuri kwenu unategemea nini?.
Ban iliisha mkuu? Basi rudishiako kale ka avatar picha yako ya kikatuni cha Hamza tuliyoizoea 👇🏿
362849.jpg
 
Inashangaza unaasses majeruhi kwa CCTV footage na mnasema kabisa eti hatoboi mnajisahaulisha kwamba uhai na kifo ni dhima ya Muumba

Ile impact ni Kubwa sana ngumu kutoboa,wanachofanya MNH ni kubuy time kwanza maana wakitoa taarifa za kifo hapo hapo italeta taharuki,wana JF wengi ni rahisi sana kudanganywa ,wao kila kitu wanameza wala hawadigest...irudie tena na tena ile CCTV video kwanza.
 
Back
Top Bottom