Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama tu alijisajili kwa ajili ya NIDA kinyume na hapo hakuna kitu. Na wapo watu wengi tu hapa mjini hawajui hata namba ya NIDA inafananaje kumaanisha hawakujiandikisha.Chukua finger prints za mgonjwa na run ndani ya central data systems ya raia, informations zote zimo ndani ya systems hiyo.
GENTAMYCINE a.k.a MINOCYCLINE ile punch ilikuwa heavy sana, kwa uzito wa ile gari jumlisha ile speed, yule jamaa anaponaje? No way out
Wanakuona ni mzigo usio bebeka mjini ndo maana hawana budi kukukwepaHawa ndugu kama huna kitu mjini wanakukwepa tena kuna makabila ndo balaa zaidi haswa hawa wa kanda maalu acha kabisa
Haswaaa.Mtu yeyote ana uwezekano wa kupatwa na lolote muda wowote, cha msingi uwe umeitayarisha njia yako.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Punguza utoto
Wapo watu hawana ndugu hapo dar wengi sana
Kumbuka kuna vijana wanakuja kutafta kwa kunandia magar ya mizogo nk
Na kutambua ndugu wa mgonjwa mpaka awe walau na nyaraka kama kitambulisho cha taifa au hata cha kazi na pengine hata leseni nk
Bila vitu hivyo ni nuujiza pekee hasa kama hata kuongea hawezi
Sio kila kitu tulalamikie selikal inakula dili kwa manufaa yapi?
Labda unazungumzia "chawa"Umaskini ulionao ndo unakufanya ndugu wakutenge ila ungekuwa na kipato hukosi ndugu mjini ww
Si Da Mange Kasema?Kwa Picha niliyoiona akipona ( akiwa Hai ) naenda Kujisaidia kwa Makusudi Haja Kubwa ( Kupupu ) Getini MP 1 Lugalo Makongo au Geti Kuu Magogoni Dar es Salaam au Chamwino Dodoma.
Labda wanaogopa kujitokeza kwa kuhofia kutoa gharama za matibabu.Tusidanganyane hapa kutokana na Mkoa wa Dar es Salaam kuwa Kimbilio la kila Mtanzania hakuna Mtu aliyeko Kijijini (Mkoani) au aliyeko hapa Mkoani Dar es Salaam halafu hana hata Ndugu yoyote yule.
Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamtaki Ndugu wajitokeze kwa sasa kwakuwa wataharibu Taarifa yenu ya Awali kuwa bado tunae Ulimwenguni na tutashuhudia nae pamoja Mechi za Simba na Yanga Weekend hii wakati zinazoendelea zinasema Israeli alishafanya yake Siku ile ile.
Halafu kwanini hamtaki Kumtaja Jina lake kila mnapozungumza na Media na badala yake mnaishia tu kusema (kumtaja) kwa Jina la Majeruhi. Kwahiyo Ndugu zake wanaomtafuta Wamtafute kwa Jina hilo la Majeruhi?
Yaani Israeli akutafute kabisa na ujae katika 18 zake kama Simba SC yangu ilivyojaa katika 18 za Raja Casablanca FC na Kula Gongo 3 Bila Safi na akuache? Thubutu!
Kwa ukuu wa Mungu pekee. Mawazo yako ni ukomo wa fikra za mwanadam. Mungu yupo wakuu.GENTAMYCINE a.k.a MINOCYCLINE ile punch ilikuwa heavy sana, kwa uzito wa ile gari jumlisha ile speed, yule jamaa anaponaje? No way out
Wewe huna hoja ya maana hapo....Tusidanganyane hapa kutokana na Mkoa wa Dar es Salaam kuwa Kimbilio la kila Mtanzania hakuna Mtu aliyeko Kijijini (Mkoani) au aliyeko hapa Mkoani Dar es Salaam halafu hana hata Ndugu yoyote yule.
Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa hamtaki Ndugu wajitokeze kwa sasa kwakuwa wataharibu Taarifa yenu ya Awali kuwa bado tunae Ulimwenguni na tutashuhudia nae pamoja Mechi za Simba na Yanga Weekend hii wakati zinazoendelea zinasema Israeli alishafanya yake Siku ile ile.
Halafu kwanini hamtaki Kumtaja Jina lake kila mnapozungumza na Media na badala yake mnaishia tu kusema (kumtaja) kwa Jina la Majeruhi. Kwahiyo Ndugu zake wanaomtafuta Wamtafute kwa Jina hilo la Majeruhi?
Yaani Israeli akutafute kabisa na ujae katika 18 zake kama Simba SC yangu ilivyojaa katika 18 za Raja Casablanca FC na Kula Gongo 3 Bila Safi na akuache? Thubutu!
Inashangaza unaasses majeruhi kwa CCTV footage na mnasema kabisa eti hatoboi mnajisahaulisha kwamba uhai na kifo ni dhima ya MuumbaIle impact kubwa sana hawezi kupona.
Hiyo picha unaweza kutusaudia wewe kuipiga?puguza ujinga weww hakuna mtu asiekuwa na ndugu, hata kama kaja kutoka mikoani ukimpiga picha ukamtoa kwenye habari ndugu zake walioko msalala au nyangwale watamuona
Ban iliisha mkuu? Basi rudishiako kale ka avatar picha yako ya kikatuni cha Hamza tuliyoizoea 👇🏿Unavotoka kwenu bila kuaga au mawasiliano sio mazuri kwenu unategemea nini?.
Inashangaza unaasses majeruhi kwa CCTV footage na mnasema kabisa eti hatoboi mnajisahaulisha kwamba uhai na kifo ni dhima ya Muumba