MOI: Mwanaume aliyegongwa na Basi la Mwendokasi yuko ICU

MOI: Mwanaume aliyegongwa na Basi la Mwendokasi yuko ICU

Watu wataanza kuilaumu serikali maana tukio la kifo linaleta "sympath" kwahiyo wachangiaji watakuwa wanaendeshwa kwa mihemko ,ukizingatia ajali ilihusisha UDART na RwandaAir zote taasisi kubwa.

Lakini ukisema hakuna kifo na watu wanatulia.
Sawa lakini hayo ni mawazo yako, sio ya watu unaweza ukawa sawa au laaah
 
Lazima SHERIA ya barabara ya mwendo kasi ibadilishwe haraka iwezekekanavyo hasa kwenye maeneo ya MJINI sababu hawa MADERVA WA MWENDO KASI huwa wanakwenda speed hasa kwenye maeneo ya MJINI wanashindwa kujua wameingia kwenye maeneo HATARISHI sasa ni wakati wa kuweka sheria katika maeneo ya MJINI SPEED 20 Iwekwe hadi wanapo ingia barabara KUU ndio waendelee na maspeed yao.

Isiwe sababu kuwa mwendo kasi ndio iwe mwendo kasi kila mahala ni Big NO ukitizama hizi ajali za makutano ya barabara za mwendo KASI hasa MJINI ni mwendo kazi tu.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app

Mwendokasi lingekua kwenye mwendo wake madhara yangekuwa makubwa zaidi

Alikua mwendo wa kawaida ila jamaa wa gari ndogo ndo alikua amewaka
 
Wewe huna hoja ya maana hapo....
Mtu yeyote apatae impact kama ile anaweza kupata maumivu na madhara ambayo hupelekea yeye majeruhi kupoteza fahamu kwa kipindi kirefu.
Inategemea ubongo wake umedhurika kiasi gani!

Halafu sio kila mtu aliyeko Dar es salaam,anao ndugu wa karibu.
Kuna makundi mengi tofauti ambayo hayana ukaribu na ndugu zao,ambao wanaweza kufanya follow up ya mapema.

Na wengine hata makazi ya kudumu hawana .ni homeless.

Pia watanzania sio wote wenye vitambulisho vya NIDA au vyeti vya kupigia kura.

Na sioni sababu ya Serikali kuficha kifo cha raia wake,ambae amepatwa ajali mbele ya hadhara.

Ifichwe kifo chake ili iweje?

Hoja yako wewe MINOCYCLINE ni mfu na inathibitisha kuwa wewe ni Minor thinker!
Huna Akili.
 
Bwana Muliro nikurekebishe kidoogo kwenye chanzo cha ajali. Ni speed kubwa ya mwendokasi pamoja na uyo dereva wa gari dogo. Though speed kubwa ya mwendo kasi inaweza ikatetewa

Kipande cha Ferry hadi DIT sehemu ile inabidi watembee na 40....Kweli UDART na yenyewe ilikuwa imewaka.
 
Lazima SHERIA ya barabara ya mwendo kasi ibadilishwe haraka iwezekekanavyo hasa kwenye maeneo ya MJINI sababu hawa MADERVA WA MWENDO KASI huwa wanakwenda speed hasa kwenye maeneo ya MJINI wanashindwa kujua wameingia kwenye maeneo HATARISHI sasa ni wakati wa kuweka sheria katika maeneo ya MJINI SPEED 20 Iwekwe hadi wanapo ingia barabara KUU ndio waendelee na maspeed yao.

Isiwe sababu kuwa mwendo kasi ndio iwe mwendo kasi kila mahala ni Big NO ukitizama hizi ajali za makutano ya barabara za mwendo KASI hasa MJINI ni mwendo kazi tu.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Jina lenyewe linaitwa mwendokasi

Ova
 
sasa mkuu mbona unajifunga mwenyewe?
Unaponiambia mimi kuwa jamaa aliyenisaidia kule tabata ndiyo ndugu yangu, amewahi kuishi na mimi kabla.
1. Jamaa alikupokea baada ya kujieleza hapa Jf kuwa unatokea Kigoma na unakuja Dar
2. Ulivyoenda kwake naamini alikuuliza baadhi ya maswali kuhusu wewe na ukampatia, hiyo inafanya mpokeaji kukufahamu kiasi kwamba kama lingetokea jambo basi angekuwa na taarifa zako.

Sasa fikiria hao waliompeleka majeruhi hospitali wanataarifa za uyo majeruhi zakutosha mpaka wamuite ndugu?
 

Taasisi ya tiba ya mifupa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MOI) imesema Mwanaume aliyeonekana akigongwa na Basi la abiria “mwendokasi” Jijini Dar es salaam jana, amelazwa Hospitalini hapo kwenye chumba cha Uangalizi Maalum (ICU).

Meneja wa Kitengo cha Uhusiano cha MOI Patrick Mvungi ameiambia AyoTV kuwa Mtu huyo wamempa jina la ‘UNKNOWN’ kwa sababu mpaka sasa hawana taarifa zake rasmi.

Mvungi ameongeza kuwa mpaka sasa Mtu huyo ambaye amevunjika mguu, mkono na kuumia kichwani hawezi kuongea lakini anafungua macho.


Pia soma: Kisutu: Ajali ya Mwendokasi makutano ya Jamhuri na Morogoro Road
kwa ajali ile ilitegemewa kuwa hali mbaya.Mungu wa rehema amjaliye afya majeruhi.
 
Naomba Serikali kama atatengamaa wampatie hata 20m ili aanizie maisha. Wasipofanya hivyo, watakua wamemuongezea umaskini
 
Vipi Mh Mvungi ,unaweza kutupa update ya maendeleo ya Mgonjwa Ismail aliyekuwa ICU?
 
Yule dereva wa Rav 4, anatakiwa apigwe marufuku kuendesha gari. Maana hana sifa ya kuitwa dereva.
Kwa nini? Pale kuna shida. Hakuna tahadhari yoyote. Ukipita tu eneo lile unajua kabisa ni accident area.
 
Nashukuru kwa taarifa,maombi ya wengi yamesikika bado anapumua hata kama hajitambui.

Ila ndo hawajamtambua hadi kumsema unknown....!!!!

Jamani, hakuwa hata na kitambulisho, simu pia ilipasuka pasuka.....

Kwenye ile picha aliyolazwa chini baada ya ajali anaonekana kwenye mfuko wake wa suruali kulikuwa na kitu kimetuna.....
Najaribu kuwaza kama amgekuwa na trace yoyote ili kupata hata majirani wa mahali alipokuwa anaishi.....[emoji17][emoji17][emoji17]

Hivi hapa Dar, hakuna mtu ambaye aidha ndugu au jirani hamjamuona kwa siku mbili tatu hizi? Mwenye rangi na kimo kile?

Au hata yawezekana alitoka mkoani....

Pengine hakuaga.....[emoji17][emoji17][emoji17]

All in all, natumai anapata huduma sahihi chini ya uangalizi wa serikali maana hakuna wanaomfahamu waliojitokeza.

Hata waumini wenzie wa dini kama alikuwa muumini..... hata kama alikiwa machinga, machinga wenzake wangejitokeza iwapo wangefahamu ni yeye....

Until then, hali na nia ya kusaidia walio nyuma yake bado ipo, japo kibaba cha unga wa siku moja, kutoa ni moyo hasa kwa wahitaji....

Kuna wazo linanijia labda hana wanaomtegemea.... alikuwa anaishi solo....[emoji2368][emoji2368][emoji2368][emoji2368]

Kikubwa nia inatoka moyoni, God knows more [emoji120][emoji120][emoji120]
Namuombea afueni njema na ya haraka.
Kwani si ananida si ina Finger print. Ni vile Tanzania imesinzia sana yani hata kama majibu tunayo tunagoma kuyatafuta
 
Kwa Picha niliyoiona akipona ( akiwa Hai ) naenda Kujisaidia kwa Makusudi Haja Kubwa ( Kupupu ) Getini MP 1 Lugalo Makongo au Geti Kuu Magogoni Dar es Salaam au Chamwino Dodoma.
Umeanza kujifunza uchawi kijana mdogo
 
Back
Top Bottom