ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Umbali ulimsaidia. He has time to think twice and make appropriate decision.Yule Jamaa aliyekaa kwenye kiti akili yake ilikuwa fasta sana kuchakata kitakachojiri maana alianza kukimbia mapema sana.
Sawa lakini hayo ni mawazo yako, sio ya watu unaweza ukawa sawa au laaahWatu wataanza kuilaumu serikali maana tukio la kifo linaleta "sympath" kwahiyo wachangiaji watakuwa wanaendeshwa kwa mihemko ,ukizingatia ajali ilihusisha UDART na RwandaAir zote taasisi kubwa.
Lakini ukisema hakuna kifo na watu wanatulia.
OK.Ngoja ntacheki au hata mwenyewe atakutumia maana hafichigi kitu, jamaa ni muwazi halafu ni kichwa
Lazima SHERIA ya barabara ya mwendo kasi ibadilishwe haraka iwezekekanavyo hasa kwenye maeneo ya MJINI sababu hawa MADERVA WA MWENDO KASI huwa wanakwenda speed hasa kwenye maeneo ya MJINI wanashindwa kujua wameingia kwenye maeneo HATARISHI sasa ni wakati wa kuweka sheria katika maeneo ya MJINI SPEED 20 Iwekwe hadi wanapo ingia barabara KUU ndio waendelee na maspeed yao.
Isiwe sababu kuwa mwendo kasi ndio iwe mwendo kasi kila mahala ni Big NO ukitizama hizi ajali za makutano ya barabara za mwendo KASI hasa MJINI ni mwendo kazi tu.
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Bwana Muliro nikurekebishe kidoogo kwenye chanzo cha ajali. Ni speed kubwa ya mwendokasi pamoja na uzembe wa huyo dereva wa gari dogo. Though speed kubwa ya mwendo kasi inaweza ikatetewanadhani taarifa nyingine zitatolewa.View attachment 2528176
Huna Akili.Wewe huna hoja ya maana hapo....
Mtu yeyote apatae impact kama ile anaweza kupata maumivu na madhara ambayo hupelekea yeye majeruhi kupoteza fahamu kwa kipindi kirefu.
Inategemea ubongo wake umedhurika kiasi gani!
Halafu sio kila mtu aliyeko Dar es salaam,anao ndugu wa karibu.
Kuna makundi mengi tofauti ambayo hayana ukaribu na ndugu zao,ambao wanaweza kufanya follow up ya mapema.
Na wengine hata makazi ya kudumu hawana .ni homeless.
Pia watanzania sio wote wenye vitambulisho vya NIDA au vyeti vya kupigia kura.
Na sioni sababu ya Serikali kuficha kifo cha raia wake,ambae amepatwa ajali mbele ya hadhara.
Ifichwe kifo chake ili iweje?
Hoja yako wewe MINOCYCLINE ni mfu na inathibitisha kuwa wewe ni Minor thinker!
Bwana Muliro nikurekebishe kidoogo kwenye chanzo cha ajali. Ni speed kubwa ya mwendokasi pamoja na uyo dereva wa gari dogo. Though speed kubwa ya mwendo kasi inaweza ikatetewa
Duh,kama hana mziki unakuwaje huoAna haki ya kulipwa na Bima. Tumuombee apone akadai fidia yake. Aliesababisha ajali(gari ndogo) ndio atalipa kupitia Bima yake kama anayo.
Jina lenyewe linaitwa mwendokasiLazima SHERIA ya barabara ya mwendo kasi ibadilishwe haraka iwezekekanavyo hasa kwenye maeneo ya MJINI sababu hawa MADERVA WA MWENDO KASI huwa wanakwenda speed hasa kwenye maeneo ya MJINI wanashindwa kujua wameingia kwenye maeneo HATARISHI sasa ni wakati wa kuweka sheria katika maeneo ya MJINI SPEED 20 Iwekwe hadi wanapo ingia barabara KUU ndio waendelee na maspeed yao.
Isiwe sababu kuwa mwendo kasi ndio iwe mwendo kasi kila mahala ni Big NO ukitizama hizi ajali za makutano ya barabara za mwendo KASI hasa MJINI ni mwendo kazi tu.
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
1. Jamaa alikupokea baada ya kujieleza hapa Jf kuwa unatokea Kigoma na unakuja Darsasa mkuu mbona unajifunga mwenyewe?
Unaponiambia mimi kuwa jamaa aliyenisaidia kule tabata ndiyo ndugu yangu, amewahi kuishi na mimi kabla.
kwa ajali ile ilitegemewa kuwa hali mbaya.Mungu wa rehema amjaliye afya majeruhi.
Taasisi ya tiba ya mifupa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MOI) imesema Mwanaume aliyeonekana akigongwa na Basi la abiria “mwendokasi” Jijini Dar es salaam jana, amelazwa Hospitalini hapo kwenye chumba cha Uangalizi Maalum (ICU).
Meneja wa Kitengo cha Uhusiano cha MOI Patrick Mvungi ameiambia AyoTV kuwa Mtu huyo wamempa jina la ‘UNKNOWN’ kwa sababu mpaka sasa hawana taarifa zake rasmi.
Mvungi ameongeza kuwa mpaka sasa Mtu huyo ambaye amevunjika mguu, mkono na kuumia kichwani hawezi kuongea lakini anafungua macho.
Pia soma: Kisutu: Ajali ya Mwendokasi makutano ya Jamhuri na Morogoro Road
Yule angekumbwa na Hii Ajari angeonekana mwehu, distance aliyokuwako ilikuwa si rahisi kudhurikaYule Jamaa aliyekaa kwenye kiti akili yake ilikuwa fasta sana kuchakata kitakachojiri maana alianza kukimbia mapema sana.
Dereva wa mwendokasi alichachawaMwendokasi lingekua kwenye mwendo wake madhara yangekuwa makubwa zaidi
Alikua mwendo wa kawaida ila jamaa wa gari ndogo ndo alikua amewaka
Duh,kama hana mziki unakuwaje huo
Ova
Kwa nini? Pale kuna shida. Hakuna tahadhari yoyote. Ukipita tu eneo lile unajua kabisa ni accident area.Yule dereva wa Rav 4, anatakiwa apigwe marufuku kuendesha gari. Maana hana sifa ya kuitwa dereva.
Kwani si ananida si ina Finger print. Ni vile Tanzania imesinzia sana yani hata kama majibu tunayo tunagoma kuyatafutaNashukuru kwa taarifa,maombi ya wengi yamesikika bado anapumua hata kama hajitambui.
Ila ndo hawajamtambua hadi kumsema unknown....!!!!
Jamani, hakuwa hata na kitambulisho, simu pia ilipasuka pasuka.....
Kwenye ile picha aliyolazwa chini baada ya ajali anaonekana kwenye mfuko wake wa suruali kulikuwa na kitu kimetuna.....
Najaribu kuwaza kama amgekuwa na trace yoyote ili kupata hata majirani wa mahali alipokuwa anaishi.....[emoji17][emoji17][emoji17]
Hivi hapa Dar, hakuna mtu ambaye aidha ndugu au jirani hamjamuona kwa siku mbili tatu hizi? Mwenye rangi na kimo kile?
Au hata yawezekana alitoka mkoani....
Pengine hakuaga.....[emoji17][emoji17][emoji17]
All in all, natumai anapata huduma sahihi chini ya uangalizi wa serikali maana hakuna wanaomfahamu waliojitokeza.
Hata waumini wenzie wa dini kama alikuwa muumini..... hata kama alikiwa machinga, machinga wenzake wangejitokeza iwapo wangefahamu ni yeye....
Until then, hali na nia ya kusaidia walio nyuma yake bado ipo, japo kibaba cha unga wa siku moja, kutoa ni moyo hasa kwa wahitaji....
Kuna wazo linanijia labda hana wanaomtegemea.... alikuwa anaishi solo....[emoji2368][emoji2368][emoji2368][emoji2368]
Kikubwa nia inatoka moyoni, God knows more [emoji120][emoji120][emoji120]
Namuombea afueni njema na ya haraka.
Umeanza kujifunza uchawi kijana mdogoKwa Picha niliyoiona akipona ( akiwa Hai ) naenda Kujisaidia kwa Makusudi Haja Kubwa ( Kupupu ) Getini MP 1 Lugalo Makongo au Geti Kuu Magogoni Dar es Salaam au Chamwino Dodoma.