Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Sasa video ikitumwa mtandao wa kijamii si ndio watu wengine wanajifunza?
Tunataka nini? Falsafa ya "what you see in Las Vegas stays in Las Vegas?"
Au tazama sakata la Muuguzi kuosha vifaa vya hospital in the wrong way. Nadhani watu wote wamepoteana huko katika medical proffession. Wanashindwa kutazamana usoni. Nasikia video ilipokuwa recorded watu walisikika wanasema,"Tazama wanavyotua"
Siku moja nilikuwa natembea mjini,nikapita maeneo ya Kariakoo,nadhani pale pale DDC, I went to the public toilet to piss.
Sasa pale at the urinary for men,alikuwepo huyu mtu ( this most probably uneducated person),and he was standing there pissing at this urinary.
Sasa,dhakari yake ,for some reason,some affliction,ilikuwa inawasha,inamuwasha,kwa hiyo alikuwa anaisugua pale pale kwenye kuta za ile urinary kama kujikuna muasho. It was unthinkable. Ile ehemu chafu,eti anatumia kujikuna.
Nikawa nafikiria tumesikia hadithi za wafalme wa zamani,kama vile Haroun Al Rashid,ambao walikuwa wanatembea in disguise in their kingdom kutazama what is going on. Nikawa nafikiria kuna tatizo hapa:wale watu ambao wana responsibility ya kumueleza huyu mtu kwamba anachofanya ni unhealthy,hajamwambia hivyo.
Baada ya mbili,baada ya siku chache Sarungi akaachishwa kazi. Sarungi ndie alikuwa waziri wa afya.
Sio kama vile mimi nilikwenda kushtaki kwa rais Ali Hassan Mwinyi. Lakini that is what happened.
Tunataka nini? Falsafa ya "what you see in Las Vegas stays in Las Vegas?"
Au tazama sakata la Muuguzi kuosha vifaa vya hospital in the wrong way. Nadhani watu wote wamepoteana huko katika medical proffession. Wanashindwa kutazamana usoni. Nasikia video ilipokuwa recorded watu walisikika wanasema,"Tazama wanavyotua"
Siku moja nilikuwa natembea mjini,nikapita maeneo ya Kariakoo,nadhani pale pale DDC, I went to the public toilet to piss.
Sasa pale at the urinary for men,alikuwepo huyu mtu ( this most probably uneducated person),and he was standing there pissing at this urinary.
Sasa,dhakari yake ,for some reason,some affliction,ilikuwa inawasha,inamuwasha,kwa hiyo alikuwa anaisugua pale pale kwenye kuta za ile urinary kama kujikuna muasho. It was unthinkable. Ile ehemu chafu,eti anatumia kujikuna.
Nikawa nafikiria tumesikia hadithi za wafalme wa zamani,kama vile Haroun Al Rashid,ambao walikuwa wanatembea in disguise in their kingdom kutazama what is going on. Nikawa nafikiria kuna tatizo hapa:wale watu ambao wana responsibility ya kumueleza huyu mtu kwamba anachofanya ni unhealthy,hajamwambia hivyo.
Baada ya mbili,baada ya siku chache Sarungi akaachishwa kazi. Sarungi ndie alikuwa waziri wa afya.
Sio kama vile mimi nilikwenda kushtaki kwa rais Ali Hassan Mwinyi. Lakini that is what happened.