MOI watoa tamko kuhusu uvunjifu wa maadali uliofanywa wodini. Mgonjwa aomba radhi

MOI watoa tamko kuhusu uvunjifu wa maadali uliofanywa wodini. Mgonjwa aomba radhi

Hata km lakini hatutakiiiiii

Kwanza nyie ndio mkimaliza mnajifutia tishu afu mnatupa nje watoto wanaokota wanachezea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa wizo nae lini utampa cha kwenye gari?!!
Alishapigwa sana vya kwenye chombo hivyo. 🤣
 
Bandari inaondoka mtu yupo kimya ila kaona watu wanakula denda anatoa report na makalipio kibao yaani upuuz kama huu ndio DP World wanatakavyojipigia
 
Aliyerekedi ashughulikiwe sababu amevunja faragha ya watu ya kiss.sidhani kiss ni kosa kwakweli. Huyo aruhusiwe.
Aliyerekodi mgonjwa unamshughukiaje mgonjwa

Mtu.akiwa mgonjwa hata kichwa kinakuwa hakiko sawa

Huwezi.mshtaki
 
Huyo mgonjwa aliye record tukio aruhusiwe ameshapona, watu wengine wana wivuu sanaa, khaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee, kwamajibu hayo ulifaa kabisa kuwa Nursing Officer maana wanawake wa hiyo kada wanamajibu hayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Hospital wajitafakari na huduma zao, hapo inaonyesha kabisa kuna huduma muhimu wagonjwa wanahitaji wanazikosa.

Ni swala la kuongeza huduma zilizo miss ili kuwapa ahueni ya haraka wagonjwa zetu.
Ulitaka iwe strip club[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wabongo ni shida.
 
Ukiona roho inakuuma kwa watu wale kupigana mabusu, jua ni nyege hiyo inakusumbua. Tafuta demu/bwana haraka sana
 
Back
Top Bottom