MOI watoa tamko kuhusu uvunjifu wa maadali uliofanywa wodini. Mgonjwa aomba radhi

MOI watoa tamko kuhusu uvunjifu wa maadali uliofanywa wodini. Mgonjwa aomba radhi

Hospital wajitafakari na huduma zao, hapo inaonyesha kabisa kuna huduma muhimu wagonjwa wanahitaji wanazikosa.

Ni swala la kuongeza huduma zilizo miss ili kuwapa ahueni ya haraka wagonjwa zetu.
 
Hapa umechanganya vitu viwili. Kuna mambo sote tunayafanya na ni halali kama mapenzi japo ni muhimu kujuwa unayafanyia wapi au hali ya kuonesha upendo sote tunafanya shida tu sehemu gani lakini yako mambo hayakubaliki na hayafanwi na watu wote ni kama mfano uliotoa kukojoa hovyo barabarani na mengine.

Hapa umechanganya vitu viwili. Kuna mambo sote tunayafanya na ni halali kama mapenzi japo ni muhimu kujuwa unayafanyia wapi au hali ya kuonesha upendo sote tunafanya shida tu sehemu gani lakini yako mambo hayakubaliki na hayafanwi na watu wote ni kama mfano uliotoa kukojoa hovyo barabarani na mengine.
Yule mtu dhakari yake ilikuwa inawasha,kwa hiyo akawa anaisugua ile dhakari kwenye porcelain ya urinary,anaisugua mahali ambapo toka asubuhi mpaka saa ile,sijui ilikuwa saa ngapi,watu zaidi ya mia,zaidi ya mia mbili wamepiss. Ndio nasema ilikuwa ni uchafu. "My people perish for lack of knowledge",imeandikwa katika Biblia,nayo ndio motto ya Mossad.
Pale ilikuwa katika bar ya pombe DDC.
 
Hivi inakuwaje mtu kila akiona kitu ni kurecord video tu? Kwangu Mimi huu ni upuuzi mtupu na ushamba.

Pesa ni muhimu sana kuwa nayo kwani hata ukiuguwa pesa yako itakupa faragha kwa kulazwa private ward.
Ni zaidi ya upuuzi hizi bando mda mwingine unafikiria zipande tu mpaka 10k kwa mb1 labda watu watakuwa na ufikiri wa namna ya kutumia
 
Gari si langu jamani[emoji1787] hamjaniagizia. Hamjanilipia kodi, hamjazi mafuta mle sasa shida ni nini?

Hata km lakini hatutakiiiiii

Kwanza nyie ndio mkimaliza mnajifutia tishu afu mnatupa nje watoto wanaokota wanachezea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa wizo nae lini utampa cha kwenye gari?!!
 
Back
Top Bottom