Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo nyie kila mnyama mnakula? Vyura, Nyoka, konokono. n.k?Najisi always ni neno ambalo lili-imply kitu ambacho kinaharibu uhusiano kati ya wana wa Israel na Mungu kufuatana na Torati.Hata hivyo Sheria za Torati ambzo ni 613 zilikuwa za muda tu,na Biblia inasema ziliingizwa kwa sababu ya makosa(Wagalatia 3:19),ili aje mkombozi Bwana Yesu,ambaye yeyote atakaye mwamini atahesabiwa haki kwa imani katika Yeye.This was God's original plan,lakini Shetani kwa kumdanganya Hawa akaharibu God's original plan.
Kwamba Torati haikuwa kitu cha kudumu is proved by the following verses.
i.Mwanzo 9:3
3 Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapeni hivi vyote.
Mwanzo 9:3
ii.Wagalatia 3:17
17 Nisemalo ni hili; agano lililothibitishwa kwanza na Mungu, torati iliyotokea miaka mia nne na thelathini baadaye hailitangui, hata kuibatilisha ile ahadi.
iii)Marko 7:18-21
18 Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia
19 kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
20 Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
21 Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
Kwa hiyo kufuatana na maandiko hayo,kwa Wakristo sasa hakuna kitu najisi,if you want to eat anything it is okay,ili mradi tu kisikwaze a new convert ambaye imani yake haijajengeka vizuri.Waislamu pia wànatumia neno hili,na maana yake ni ile ya kwenye Torati,isipokuwa kwenye Torati they go farther.Waislamu wao mahiri ni nguruwe tu,vingine ruksa.
Na haramu?Hili ni neno ambalo sisi wana wa Mungu hatulitumii,linatumika sana kwa Waislamu na vyombo vya Sheria.Kote kote lina maana ya kitu kinachokatazwa au kisichokubalika kidini na kisheria.
Nioneshe Yesu aliposema Tusitunze sabato ilihali hata akina Maria Magdalene tuliowaona wakipumzika siku ya sabato masaa machache baada ya Yesu Kufa, Na hawa ni watu waliomfuata Yesu maeneo mbalimbali.Yesu aliwaambia wayahudi waache unafiki
*Wa kunawa hadi kwenye viwiko kabla ya kula ilhali mioyo yao michafu
*Kuishi kwa sheria ,Sabato, vyakula n. K ndiyo maana wanafunzi wake walionekana shambani siku ya sabato.
ENYI WANAFIKI HAMJUI KUWA KIMUINGIACHO MTU CHATOKA KWENDA CHOONI?? BALI KIMTOKACHO MTU (MAWAZO AU MANENO) NDIYO KINAWEZA KUMKOSESHA MTU
Kama ambavyo tunachagua wake na waume wa kuoa au kuolewa vivyo hivyo Mungu naye anahitaji watu walio loyal kwake.Angetuumba jinsi anavyotaka yeye, tusiwe na mawazo ya uzinzi wala dhambi nyingine.
Katuwekea miili yenye tamaa ili tu aje atuadhibu.
Doesnt make sense.
Kumkana Yesu ilikuwa anaogopa na Yeye kukamatwa lakini kumgomea Mungu hiyo iko Beyond.Petro alimkana Yesu X3 kabla jogoo hajawika,na alikua mfuasi wa Yesu,unaweza kutufafanulia kuwa Petro alipata wapi mafundisho ya kumnakana Yesu ?
Angeweza kumuondoa huyo shetani asiwepo kuisumbua dunia. Lakini kashindwa...sisi ni nani tuweze?Kama ambavyo tunachagua wake na waume wa kuoa au kuolewa vivyo hivyo Mungu naye anahitaji watu walio loyal kwake.
Angeweza kutuumba hivyo ikiwa Shetani asingeasi
Hayo mengine ni maagizo na ni Mungu mwenye alizungumza na Musa, Amri ni msisitizo ndio maana Mungu aliziandika kwa kidole chake.Umenena vema sana kuwa kuzishika amri za Mungu na imani ya Yesu. Sasa naomba unitajie ni amri ipi kati ya zile 10 inaongelea habari za wanyama najisi/Amri ipi inazuia wanyama flani waliwe na wengine wasiliwe.
Kama tumepewa uhuru. Hukumu haina maanaKama alivyompa uhuru wa kuchagua Shetani hata sisi wanadamu ametupa uhuru wa kuchagua pia.
ndo maana nasema alifanya makusudi kutuumba watenda dhambi na kuweka sheria tusitende dhambi huku akijua fika hatuwezi kuacha dhambi.Hukumu ipokwa sababu alikuumba yeye, ingekuwa haina maana kama ungekuwa ulijiumba
Kumbuka kuwa mwanzo MUNGU aliongea Kwa mifano ili watu wajue ni Nini maana yakeWatu wanalitumia fungu hili kuhalalisha kula wanyama ambao wamekatazwa katika kitabu cha Mambo ya walawi. Na kwa kuweka mambo sawa fungu hili halizungumzii vyakula, na kudhihirisha hili ukisoma hiyo matendo ya mitume 10 yote utaelewa.
Fungu lenyewe linasema "Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, vituvilivyotakaswa na Mungu usiviite wewe najisi." Mwisho wa kunukuu.
Kwa kifupi labda nisimulie hiki kisa kilivyokuwa,
Ukisoma Matendo ya Mitume 10 kuanzia fungu la 9 Petro alikuwa na njaa sana wakati msosi unaandaliwa alizimia na alioneshwa maono na katika maono hayo Kilishushwa Chombo chenye pembe nne kutoka mbinguni ambamo ndani yake kulikuwa na wanyama mbalimbali, kisha sauti ikasema Ondoka Petro uchinje ule, Petro akajibu akisema Hasha Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu wala najisi.
Na tendo hilo la kumuambia kwamba achinje ale lilifanyika mara tatu na zote Petro alikataa, ndio ile sauti ikamwambia vitu alivyovitakasa Bwana usiviite najisi. Na mwisho alipozidi kugoma kile chombo kikarudishwa juu.
Kabla sijaendelea hapa kuna mambo mawili ya kujiuliza,
1. Bila shaka wanyama walikuwepo mle ndani wote walikuwa ni Najisi ndio maana Petro aliwakataa, Na hakuwa anamkatalia Binadamu mwenzake, Bali alikuwa anaikataa sauti ya Mungu.
2. Kama sheria ile ya mambo ya walawi ilifutwa, kama watu wanavyodai kwenye Marko 7 na Mathayo 15(Hili nitaletea uzi nalo maana nalo watu wanadanganywa sana). Ni kwanini Petro alikuwa anakataa na aliwaita wale wanyama najisi na wachafu? Zingatia huyu alikuwa mmoja kati ya wanafunzi wa Yesu.
Na mwisho kabisa yale yalikuwa ni maono tu na wakati anaendelea kuyafikiria kwamba yana maana gani, Roho mtakatifu akamuambia kuna watu watatu kawatuma kuja kwake hivyo aongozane nao.
Tafsiri ya Maono yale inakuja kupatikana katika Matendo ya Mitume 10:28 ambayo inasema "Akawaambia, Ninyi mnajua kuwa si halali mtu aliye Myahudi ashikamane na mtu aliye wa taifa lingine wala kumwendea, Lakini Mungu amenionya, nisimuite mtu awaye yote mchafu wala Najisi."
Watu wanachukua vifungu kidogo ambavyo vinafavor vitu vyao ambavyo kwa macho yao vinawavutia ila hawasemu ukweli.
Jina la Bwana Libarikiwe.
Muwe na Usiku mwema.
Haya ndio matatizo ya kusoma Biblia bila kuwa na Roho Mtakatifu.Najua Petro alishushiwa nguo yenye wanyama wote akaambiwa achinje ale-Matendo ya Mitume 10:13.Najua pia kwamba Petro alisema sijakula kamwe kitu kilicho najisi.But notice this, Mungu alimuambia "vilivyotakaswe na Mungu usiviite najisi."Kwa hiyo nyie kila mnyama mnakula? Vyura, Nyoka, konokono. n.k?
Swali langu kwako, Petro alikuwa ni Mwanafunzi wa Yesu na bila shaka hilo mnalolitaja la Marko 7 kwamba Yesu alihalalisha Vyakula vyote alikuwa analijua, na tukubaliane katika yale maono wanyama wote alioshushiwa walikuwa ni najisi[wangekuwepo wasafi, angechinja na kula] mbona alimkatalia Mungu ilhali akiwa anajua Yesu alihalalisha hivyo vyakula?
swali moja la kujiuliza ni hili, je? kula nguruwe, samaki wasio na magamba n.k kuwa dhambi, ilikuwa ni sheria? ikiwa jibu ni ndio, basi, kuanzia Yesu Kristo alipokuja alikuja na agano jipya ndani ya Damu yake, agano ambalo hatuhesabiwi haki kwa matendo ya sheria bali kwa sheria ya Roho mtakatifu. hatuongozwi na Sheria tena, tunaongozwa na Roho Mtakatifu.Usile nguruwe.(Israeli ya kimwili)
Usile nguruwe (usipokee mafundisho wa wachungaji wasaliti/mbwa mwitu, rejea Mathayo. Hii ni kwa sisi Waisrael kiroho)
NB: tunamuabudu Mungu katika roho na KWELI. Hakuna madhara wala dhambi kumla nguruwe.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Umeongea Sana...niambie why Mungu muumba ulimwengu wenye nyota na sayari zaidi ya billion aumie kima mmoja sayari moja ndani ya system ya nyota moja akila mnyama mmoja...hizi ni sheria ni za watu tumieni akili za kuzaliwa...Watu wanalitumia fungu hili kuhalalisha kula wanyama ambao wamekatazwa katika kitabu cha Mambo ya walawi. Na kwa kuweka mambo sawa fungu hili halizungumzii vyakula, na kudhihirisha hili ukisoma hiyo matendo ya mitume 10 yote utaelewa.
Fungu lenyewe linasema "Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, vituvilivyotakaswa na Mungu usiviite wewe najisi." Mwisho wa kunukuu.
Kwa kifupi labda nisimulie hiki kisa kilivyokuwa,
Ukisoma Matendo ya Mitume 10 kuanzia fungu la 9 Petro alikuwa na njaa sana wakati msosi unaandaliwa alizimia na alioneshwa maono na katika maono hayo Kilishushwa Chombo chenye pembe nne kutoka mbinguni ambamo ndani yake kulikuwa na wanyama mbalimbali, kisha sauti ikasema Ondoka Petro uchinje ule, Petro akajibu akisema Hasha Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu wala najisi.
Na tendo hilo la kumuambia kwamba achinje ale lilifanyika mara tatu na zote Petro alikataa, ndio ile sauti ikamwambia vitu alivyovitakasa Bwana usiviite najisi. Na mwisho alipozidi kugoma kile chombo kikarudishwa juu.
Kabla sijaendelea hapa kuna mambo mawili ya kujiuliza,
1. Bila shaka wanyama walikuwepo mle ndani wote walikuwa ni Najisi ndio maana Petro aliwakataa, Na hakuwa anamkatalia Binadamu mwenzake, Bali alikuwa anaikataa sauti ya Mungu.
2. Kama sheria ile ya mambo ya walawi ilifutwa, kama watu wanavyodai kwenye Marko 7 na Mathayo 15(Hili nitaletea uzi nalo maana nalo watu wanadanganywa sana). Ni kwanini Petro alikuwa anakataa na aliwaita wale wanyama najisi na wachafu? Zingatia huyu alikuwa mmoja kati ya wanafunzi wa Yesu.
Na mwisho kabisa yale yalikuwa ni maono tu na wakati anaendelea kuyafikiria kwamba yana maana gani, Roho mtakatifu akamuambia kuna watu watatu kawatuma kuja kwake hivyo aongozane nao.
Tafsiri ya Maono yale inakuja kupatikana katika Matendo ya Mitume 10:28 ambayo inasema "Akawaambia, Ninyi mnajua kuwa si halali mtu aliye Myahudi ashikamane na mtu aliye wa taifa lingine wala kumwendea, Lakini Mungu amenionya, nisimuite mtu awaye yote mchafu wala Najisi."
Watu wanachukua vifungu kidogo ambavyo vinafavor vitu vyao ambavyo kwa macho yao vinawavutia ila hawasemu ukweli.
Jina la Bwana Libarikiwe.
Muwe na Usiku mwema.
Kwani siye tukila nguruwe we unapungukiwa nini?Watu wanalitumia fungu hili kuhalalisha kula wanyama ambao wamekatazwa katika kitabu cha Mambo ya walawi. Na kwa kuweka mambo sawa fungu hili halizungumzii vyakula, na kudhihirisha hili ukisoma hiyo matendo ya mitume 10 yote utaelewa.
Fungu lenyewe linasema "Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, vituvilivyotakaswa na Mungu usiviite wewe najisi." Mwisho wa kunukuu.
Kwa kifupi labda nisimulie hiki kisa kilivyokuwa,
Ukisoma Matendo ya Mitume 10 kuanzia fungu la 9 Petro alikuwa na njaa sana wakati msosi unaandaliwa alizimia na alioneshwa maono na katika maono hayo Kilishushwa Chombo chenye pembe nne kutoka mbinguni ambamo ndani yake kulikuwa na wanyama mbalimbali, kisha sauti ikasema Ondoka Petro uchinje ule, Petro akajibu akisema Hasha Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu wala najisi.
Na tendo hilo la kumuambia kwamba achinje ale lilifanyika mara tatu na zote Petro alikataa, ndio ile sauti ikamwambia vitu alivyovitakasa Bwana usiviite najisi. Na mwisho alipozidi kugoma kile chombo kikarudishwa juu.
Kabla sijaendelea hapa kuna mambo mawili ya kujiuliza,
1. Bila shaka wanyama walikuwepo mle ndani wote walikuwa ni Najisi ndio maana Petro aliwakataa, Na hakuwa anamkatalia Binadamu mwenzake, Bali alikuwa anaikataa sauti ya Mungu.
2. Kama sheria ile ya mambo ya walawi ilifutwa, kama watu wanavyodai kwenye Marko 7 na Mathayo 15(Hili nitaletea uzi nalo maana nalo watu wanadanganywa sana). Ni kwanini Petro alikuwa anakataa na aliwaita wale wanyama najisi na wachafu? Zingatia huyu alikuwa mmoja kati ya wanafunzi wa Yesu.
Na mwisho kabisa yale yalikuwa ni maono tu na wakati anaendelea kuyafikiria kwamba yana maana gani, Roho mtakatifu akamuambia kuna watu watatu kawatuma kuja kwake hivyo aongozane nao.
Tafsiri ya Maono yale inakuja kupatikana katika Matendo ya Mitume 10:28 ambayo inasema "Akawaambia, Ninyi mnajua kuwa si halali mtu aliye Myahudi ashikamane na mtu aliye wa taifa lingine wala kumwendea, Lakini Mungu amenionya, nisimuite mtu awaye yote mchafu wala Najisi."
Watu wanachukua vifungu kidogo ambavyo vinafavor vitu vyao ambavyo kwa macho yao vinawavutia ila hawasemu ukweli.
Jina la Bwana Libarikiwe.
Muwe na Usiku mwema.