Moja wapo ya Fungu kwenye Biblia linalotafsiriwa vibaya: Matendo ya Mitume 10:15

Moja wapo ya Fungu kwenye Biblia linalotafsiriwa vibaya: Matendo ya Mitume 10:15

Mnyama akiitwa ' najisi' maana yake ni nini ?.... Kwenye hiyo mistari ya mambo ya walawi nguruwe ametajwa kama 'najisi' na tena mtu akila atakuwa 'najisi' mpaka jioni.

Mambo ya Walawi 11 7
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11 24
Nanyi mtakuwa najisi kwa wanyama hao; kila atakayegusa mzoga wao atakuwa ni najisi hata jioni;

Mambo ya Walawi 11 25
na mtu awaye yote atakayechukua cho chote cha mizoga yao atafua nguo zake, naye atakuwa najisi hata jioni.


Kwa maelezo hapo juu ni kwamba ukila nguruwe mchana utakuwa najisi siku nzima mpaka jioni tu au nimekosea ?

Tofautisha maneno najisi na haramu

"Najisi" na "haramu" ni misamiati inayotumika katika muktadha tofauti, hasa katika lugha za kidini kama vile Kiislamu.

1. Najisi:
- Ni muktadha wa kitu kuwa na uchafu au unajisi, mara nyingi kutokana na mambo kama vile uchafu wa kimwili au kitu kuhusishwa na kitu kinachokataliwa kulingana na imani au desturi.
- Mara nyingine, katika lugha za kidini, "najisi" inaweza kutumika kumaanisha kitu kinachotakiwa kuepukwa au kutakaswa.

2. Haramu:
- Ni kitu au tendo ambacho kimeharamishwa au kisichoruhusiwa kufanywa, kwa kawaida kulingana na mafundisho ya dini au sheria.
- Mara nyingine, "haramu" inaweza kutumika kumaanisha jambo lisiloruhusiwa kufanywa na inaweza kuhusisha mambo ya kisheria au ya kidini.

Kwa kifupi, "najisi" ni zaidi kuhusu uchafu au kitu kinachokataliwa kutokana na sababu fulani, wakati "haramu" ni kuhusu kitu au tendo ambalo limepigwa marufuku kufanywa kwa mujibu wa mafundisho au sheria.



zitto junior Mathanzua FaizaFoxy
Najisi always ni neno ambalo lili-imply kitu ambacho kinaharibu uhusiano kati ya wana wa Israel na Mungu kufuatana na Torati.Hata hivyo Sheria za Torati ambzo ni 613 zilikuwa za muda tu,na Biblia inasema ziliingizwa kwa sababu ya makosa(Wagalatia 3:19),ili aje mkombozi Bwana Yesu,ambaye yeyote atakaye mwamini atahesabiwa haki kwa imani katika Yeye.This was God's original plan,lakini Shetani kwa kumdanganya Hawa akaharibu God's original plan.
Kwamba Torati haikuwa kitu cha kudumu is proved by the following verses.
i.Mwanzo 9:3
3 Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapeni hivi vyote.
Mwanzo 9:3
ii.Wagalatia 3:17
17 Nisemalo ni hili; agano lililothibitishwa kwanza na Mungu, torati iliyotokea miaka mia nne na thelathini baadaye hailitangui, hata kuibatilisha ile ahadi.
iii)Marko 7:18-21
18 Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia
19 kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
20 Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
21 Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,

Kwa hiyo kufuatana na maandiko hayo,kwa Wakristo sasa hakuna kitu najisi,if you want to eat anything it is okay,ili mradi tu kisikwaze a new convert ambaye imani yake haijajengeka vizuri.Waislamu pia wànatumia neno hili,na maana yake ni ile ya kwenye Torati,isipokuwa kwenye Torati they go farther.Waislamu wao mahiri ni nguruwe tu,vingine ruksa.

Na haramu?Hili ni neno ambalo sisi wana wa Mungu hatulitumii,linatumika sana kwa Waislamu na vyombo vya Sheria.Kote kote lina maana ya kitu kinachokatazwa au kisichokubalika kidini na kisheria.
 
Mnyama akiitwa ' najisi' maana yake ni nini ?.... Kwenye hiyo mistari ya mambo ya walawi nguruwe ametajwa kama 'najisi' na tena mtu akila atakuwa 'najisi' mpaka jioni.

Mambo ya Walawi 11 7
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11 24
Nanyi mtakuwa najisi kwa wanyama hao; kila atakayegusa mzoga wao atakuwa ni najisi hata jioni;

Mambo ya Walawi 11 25
na mtu awaye yote atakayechukua cho chote cha mizoga yao atafua nguo zake, naye atakuwa najisi hata jioni.


Kwa maelezo hapo juu ni kwamba ukila nguruwe mchana utakuwa najisi siku nzima mpaka jioni tu au nimekosea ?

Tofautisha maneno najisi na haramu

"Najisi" na "haramu" ni misamiati inayotumika katika muktadha tofauti, hasa katika lugha za kidini kama vile Kiislamu.

1. Najisi:
- Ni muktadha wa kitu kuwa na uchafu au unajisi, mara nyingi kutokana na mambo kama vile uchafu wa kimwili au kitu kuhusishwa na kitu kinachokataliwa kulingana na imani au desturi.
- Mara nyingine, katika lugha za kidini, "najisi" inaweza kutumika kumaanisha kitu kinachotakiwa kuepukwa au kutakaswa.

2. Haramu:
- Ni kitu au tendo ambacho kimeharamishwa au kisichoruhusiwa kufanywa, kwa kawaida kulingana na mafundisho ya dini au sheria.
- Mara nyingine, "haramu" inaweza kutumika kumaanisha jambo lisiloruhusiwa kufanywa na inaweza kuhusisha mambo ya kisheria au ya kidini.

Kwa kifupi, "najisi" ni zaidi kuhusu uchafu au kitu kinachokataliwa kutokana na sababu fulani, wakati "haramu" ni kuhusu kitu au tendo ambalo limepigwa marufuku kufanywa kwa mujibu wa mafundisho au sheria.



zitto junior Mathanzua FaizaFoxy
Soma tena,I was still developing the comment.Here 👇it is in full.


Najisi always ni neno ambalo lili-imply kitu ambacho kinaharibu uhusiano kati ya wana wa Israel na Mungu kufuatana na Torati.Hata hivyo Sheria za Torati ambzo ni 613 zilikuwa za muda tu,na Biblia inasema ziliingizwa kwa sababu ya makosa(Wagalatia 3:19),ili aje mkombozi Bwana Yesu,ambaye yeyote atakaye mwamini atahesabiwa haki kwa imani katika Yeye.This was God's original plan,lakini Shetani kwa kumdanganya Hawa akaharibu God's original plan.
Kwamba Torati haikuwa kitu cha kudumu is proved by the following verses.
i.Mwanzo 9:3
3 Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapeni hivi vyote.
ii.Wagalatia 3:17
17 Nisemalo ni hili; agano lililothibitishwa kwanza na Mungu, torati iliyotokea miaka mia nne na thelathini baadaye hailitangui, hata kuibatilisha ile ahadi.
iii)Marko 7:18-21
18 Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia
19 kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
20 Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
21 Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
iv)2Wakorintho 3:13-15
13 nasi si kama Musa alivyotia utaji juu ya uso wake, ili kwamba Waisraeli wasitazame sana mwisho wa ile iliyokuwa ikibatilika;
14 ila fikira zao zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi, wakati lisomwapo Agano la Kale, utaji uo huo wakaa; yaani, haikufunuliwa kwamba huondolewa katika Kristo;
15 ila hata leo, torati ya Musa isomwapo, utaji huikalia mioyo yao.


Kwa hiyo kufuatana na maandiko hayo,kwa Wakristo sasa hakuna kitu najisi,if you want to eat anything it is okay,ili mradi tu kisikwaze a new convert ambaye imani yake haijajengeka vizuri.Waislamu pia wànatumia neno hili,na maana yake ni ile ya kwenye Torati,isipokuwa kwenye Torati they go farther.Waislamu wao mahiri ni nguruwe tu,vingine ruksa.

Na haramu?Hili ni neno ambalo sisi wana wa Mungu hatulitumii,linatumika sana kwa Waislamu na vyombo vya Sheria.Kote kote lina maana ya kitu kinachokatazwa au kisichokubalika kidini na kisheria.
 
Yesu aliwaambia wayahudi waache unafiki
*Wa kunawa hadi kwenye viwiko kabla ya kula ilhali mioyo yao michafu
*Kuishi kwa sheria ,Sabato, vyakula n. K ndiyo maana wanafunzi wake walionekana shambani siku ya sabato.

ENYI WANAFIKI HAMJUI KUWA KIMUINGIACHO MTU CHATOKA KWENDA CHOONI?? BALI KIMTOKACHO MTU (MAWAZO AU MANENO) NDIYO KINAWEZA KUMKOSESHA MTU
 
Usile nguruwe.(Israeli ya kimwili)
Usile nguruwe (usipokee mafundisho wa wachungaji wasaliti/mbwa mwitu, rejea Mathayo. Hii ni kwa sisi Waisrael kiroho)

NB: tunamuabudu Mungu katika roho na KWELI. Hakuna madhara wala dhambi kumla nguruwe.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Hakuna muisrael wakiroho Kuna wakristo tu , kumaanisha wafuasi wa Yesu, au wanaomfuata Yesu
 
Mungu aumbe wanyama halafu akataze tusiwale..
Kama sio kututia majaribuni ni nini?
Tutawala hata iweje
Sasa kwanini Mungu amekukataza kuzini wakati ni makubaliank yako wewe na mtu wako na hamna mtu mnayemkera?

Mungu anahitaji watu Loyal, wanamsikiliza, wanaoweza kufuata mambo aliyoagiza, mbona hamli nyoka?
 
Naona hata wewe mwenyewe umechukua kifungu kidogo ukaanzishia mjadala mfupi japo sijaelewa hitimisho li wapi
Hiyo Matendo ya Mitume 10 ukiisoma yote inajieleza, Haikuhitaji back ya msitari mwingine kujielezea.
 
Yesu aliwaambia wayahudi waache unafiki
*Wa kunawa hadi kwenye viwiko kabla ya kula ilhali mioyo yao michafu
*Kuishi kwa sheria ,Sabato, vyakula n. K ndiyo maana wanafunzi wake walionekana shambani siku ya sabato.

ENYI WANAFIKI HAMJUI KUWA KIMUINGIACHO MTU CHATOKA KWENDA CHOONI?? BALI KIMTOKACHO MTU (MAWAZO AU MANENO) NDIYO KINAWEZA KUMKOSESHA MTU
Niletee andiko ambalo Yesu alifuta Sheria.
 
Sasa kwanini Mungu amekukataza kuzini wakati ni makubaliank yako wewe na mtu wako na hamna mtu mnayemkera?

Mungu anahitaji watu Loyal, wanamsikiliza, wanaoweza kufuata mambo aliyoagiza, mbona hamli nyoka?
Angetuumba jinsi anavyotaka yeye, tusiwe na mawazo ya uzinzi wala dhambi nyingine.

Katuwekea miili yenye tamaa ili tu aje atuadhibu.

Doesnt make sense.
 
Petro alimkatalia Mungu mara tatu kwamba hawezi kula Najisi, na huyu alikuwa mfuasi wa Yesu, Je mafundisho hayo aliyatoa wapi? Na kwanini alikataa ikiwa Mungu ameruhusu tule kila kilicho mbele yetu?
Petro alimkana Yesu X3 kabla jogoo hajawika,na alikua mfuasi wa Yesu,unaweza kutufafanulia kuwa Petro alipata wapi mafundisho ya kumnakana Yesu ?
 
Mungu amekataza zinaa pia lakini mnaongoza kuzini ninyi

Hapa nimenunua kilo zangu 4 nikitoka kanisani leo natengeneza roast swaaafi na ugali tunakula familia tena ndani ya familia tuna mhudumu wetu muislamu anakipenda kwelikweli KTM
Tena wanatombana hadharani wao Kwa wao kwenye makambi hukoooo
 
Ufunuo 14:12 imewataja watakatifu kama watu wazishikao amri za Mungu na Imani ya Yesu,

Kutenda matendo mema peke yake huku umeacha yale Mungu aliyoagiza hakukupeleki popote.
Umenena vema sana kuwa kuzishika amri za Mungu na imani ya Yesu. Sasa naomba unitajie ni amri ipi kati ya zile 10 inaongelea habari za wanyama najisi/Amri ipi inazuia wanyama flani waliwe na wengine wasiliwe.
 
Ni stori hiyohiyo iko Mathayo 15 na ukisoma lile fungu la 17 linaelezea hichohicho kitu ila ule mstari unaosema alihalalisha vyakula vyote haupo.

Hilo fungu unalolieleza hapa soma version zaidi ya moja ya biblia utapata majibu, kuna article nyingi sana zinaelezea nini kilifanyika mpaka hilo fungu likawepo
Wenye imani tunakula vyote ila wenye imani dhaifu hula mbog mboga,imani yako ni dhaifu wa hyo haina shida...
 
Mnyama akiitwa ' najisi' maana yake ni nini ?.... Kwenye hiyo mistari ya mambo ya walawi nguruwe ametajwa kama 'najisi' na tena mtu akila atakuwa 'najisi' mpaka jioni.

Mambo ya Walawi 11 7
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11 24
Nanyi mtakuwa najisi kwa wanyama hao; kila atakayegusa mzoga wao atakuwa ni najisi hata jioni;

Mambo ya Walawi 11 25
na mtu awaye yote atakayechukua cho chote cha mizoga yao atafua nguo zake, naye atakuwa najisi hata jioni.


Kwa maelezo hapo juu ni kwamba ukila nguruwe mchana utakuwa najisi siku nzima mpaka jioni tu au nimekosea ?

Tofautisha maneno najisi na haramu

"Najisi" na "haramu" ni misamiati inayotumika katika muktadha tofauti, hasa katika lugha za kidini kama vile Kiislamu.

1. Najisi:
- Ni muktadha wa kitu kuwa na uchafu au unajisi, mara nyingi kutokana na mambo kama vile uchafu wa kimwili au kitu kuhusishwa na kitu kinachokataliwa kulingana na imani au desturi.
- Mara nyingine, katika lugha za kidini, "najisi" inaweza kutumika kumaanisha kitu kinachotakiwa kuepukwa au kutakaswa.

2. Haramu:
- Ni kitu au tendo ambacho kimeharamishwa au kisichoruhusiwa kufanywa, kwa kawaida kulingana na mafundisho ya dini au sheria.
- Mara nyingine, "haramu" inaweza kutumika kumaanisha jambo lisiloruhusiwa kufanywa na inaweza kuhusisha mambo ya kisheria au ya kidini.

Kwa kifupi, "najisi" ni zaidi kuhusu uchafu au kitu kinachokataliwa kutokana na sababu fulani, wakati "haramu" ni kuhusu kitu au tendo ambalo limepigwa marufuku kufanywa kwa mujibu wa mafundisho au sheria.



zitto junior Mathanzua FaizaFoxy
Safi sana, nimependa huo ulinganifu
 
Hapa ungesema tu NGURUWE aka KITIMOTO, acha kuzunguka sana.

Kwa taarifa yako, tutaendelea kumtafuna mno. Sisi tumeamua kwenda na neno la usikiite najisi kiumbe alichokupa Bwana..

Kitimoto tamu wazee. Tena ukute ile ya Mboga mboga na ndizi. Haki ya Mungu.
😅😅
 
Sijawahi kuwa na imani na kitabu cha matendo ya Mitume.

Baada ya Gospel 4 sina imani na vitabu na barua za Paulo.

Sina mashaka na vitabu vya Wahebrania
Unajitekenya alfu unacheka.

Kilicho andikwa na Paulo kwenye barua zake zote, ndio hicho hicho kipo kwa waebrania.

Inasemekana mwandishi wa Kitabu cha waebrania ni Paulo yule yule, but hakutaka kujionesha.
 
Back
Top Bottom