Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

Hoja yangu mkuu ni vijana wengi wanaingia kwenye ndoa na fikra za kusaidiwa majukumu yao ya kiume

KIJANA anakwambia anataka mwanamke mwenye kazi au ajira
Lengo ili amsaidie majukumu yake
Maanake huyo mwanke akipoteza ajira hiyo ndoa haipo

Naelewa na ni sahihi mwanamke akisema nataka mwenye kazi au ajira
Siyo me
Sikatai kuoa mke mwenye ajira Ila kisiwe kigezo Cha wanaume

Pia suala la mwanamke kukupa kipato chake ni hoja nyingine
Hapo ndipo panatakiwa AKILI IINGIE KAZINI
Ndo kuishi nao kwa akili Sasa utafaidi maana sio lazima
Njoo unioe basi tuwe tunatumia pesa zako darling, mimi mwenyewe nilikuwa najimwambafai tu ila pesa yangu kumsaidia mtu nehi nehi karungi 🤣
 
Haya yote yanawezekana endapo mwanamke hafanyi kazi,anatumia muda wake wote kuitumikia ndoa.
Ni UPUMBAVU mke anatoka nawe ukitoka kwenda kufanya kazi,halafu akirudi eti umuhudumie,....huu ni USEN.GE
Anayo hiari ya kuchangia au la

Hapo ndipo mwanaume unahitaji kukaa naye kwa akili ili
Achangie kwa hiari sio lazima
Na wengine mwanaume ukikaa nao kwa akili anaweza kukupa hata salary yote uipangie

Ila asijue unaitegemea hiyo salary yake
 
Maisha yamebadilika, enzi za wazazi wetu sio sawa na zetu.
Muhimu km wanandoa kusaidiana majukumu pale mwenzi wako anapoanguka, ndiomaana ya kumpa msaidizi. Siwezi kuacha mtoto anarudishwa nyumbani kwa kukosa school fees na mimi ninazo hizo pesa eti nasubiri mume atafute sababu yeye ni mume.

Jukumu la kuhudumia familia ni la wote unless km mke hana chanzo chochote cha mapato.
Jadda
 
Hoja yangu mkuu ni vijana wengi wanaingia kwenye ndoa na fikra za kusaidiwa majukumu yao ya kiume

KIJANA anakwambia anataka mwanamke mwenye kazi au ajira
Lengo ili amsaidie majukumu yake
Maanake huyo mwanke akipoteza ajira hiyo ndoa haipo

Naelewa na ni sahihi mwanamke akisema nataka mwenye kazi au ajira
Siyo me
Sikatai kuoa mke mwenye ajira Ila kisiwe kigezo Cha wanaume

Pia suala la mwanamke kukupa kipato chake ni hoja nyingine
Hapo ndipo panatakiwa AKILI IINGIE KAZINI
Ndo kuishi nao kwa akili Sasa utafaidi maana sio lazima
Mkuu tatizo unataka kuunganisha dhana mbili ambazo haziwezi kwenda sambamba. Kuna mfumo dume dhana ya maisha ambayo ilitumika huko miaka ya nyuma na kuna 50/50 dhana ya maisha inayotumika kwa sasa. Katika mfumo dume mwanamke aliwekwa pembeni kwenye nyanja zote ikiwemo uchumi kwa maana iyo mwanaume hapa anawajibika kuhudumia familia peke yake. Kwa sasa tupo zama za 50/50 ambazo nwanamke nae kapewa access zote kiuchumi, kisiasa na kijamii, mtu kupewa ajira maana yake automaticaly anaondolewa kwenye kundi la watu tegemezi atatakiwa ajitegemee au na yeye kutoka kwenye kipato chake achangie huduma anazotumia. Sasa hapa ni lazima wanandoa mchague kimoja either mwanamke abaki ndani haudumiwe kila kitu na mumewe au nae atoke kutafuta na achangie kitu mezani, na huo uwe ni wajibu sio hiyari , yaani mwanamke hawezi kushinda nyumbani kusimamia majukumu ya kifamilia kwa sababu anatakiwa kuwepo kazini hapo hapo kipato chake kisijumuishwe popote kwenye ustawi wa familia sasa output ya uyo mke ni ipi hapo nyumbani?
 
KIJANA anakwambia anataka mwanamke mwenye kazi au ajira
Lengo ili amsaidie majukumu yake
Maanake huyo mwanke akipoteza ajira hiyo ndoa haipo
Acha uongo we jamaa, hakuna mwanaume anaacha mke wake kisa hana kazi.

Kuwa na mke mwenye kipato umuhimu wake unaonekana vema mambo yakikuendea kombo
 
Tatizo lako ni wanaume kufua, kupiga deki na kuosha vypmbo? Hivyo hatufanyi, hatutafanya coz mke na msaidizi wapo. In case msaidizi hayupo then kuna nyakati za kusaidiana kazi ndogo hizo. Sijui kwa nini kwako inakuwa big deal wakati kwa wanawake wenzako ni sifa kupika kufanya nyumba iwe safi nk.
Kwa nini kwako ni issue sana?

Nishakuambia, swala la huduma lipo kwa baba, hapo hatupingani, ila mama akiamua kutoka kutafuta, basi anachokipata kionekane, short of that basi aamke asubuhi na kulea familia yake as ndio primary role yake.

Hata wewe ukiingia kwa ndoa, hakikisha jiko is your friend, mpikie mume chakula kitamu, ukishindwa hilo jukumu moja tu basi ndoa itakuwa ngumu. We love to eat food prepared by our wives.
Hapo sidhani kama umejibu swali langu sana sana naona ni zile zile kauli za kibabe tu za kimfumo dume ambazo hazina logic wala mantiki, nilihitaji jibu la kwanini ionekane tatizo na vibaya mwanaume kufanya kazi za nyumbani yani ni kipi kinachomzuia mwanaume kufanya hizo kazi, kama dunia imebadilika kwanini ibadilike kwa majukumu ya mwanaume tu kwamba sasa hivi wote wanaonekana wanaweza kutafuta pesa na kulisha familia ila kufanya kazi za ndani bado yabaki kuwa majukumu ya mwanamke
 
Mimi sina shida na hilo mkuu shida yangu kwanini na ninyi sasa hamtaki kuwasaidia majukumu ya nyumbani, hapo tu ndipo ninaposhindwa kuwaelewa wanaume wa kiafrika, yani kwanini dunia ibadilike kwenye majukumu ya mwanaume tu ila majukumu ya mwanamke yabaki pale pale
 
Mkuu tatizo unataka kuunganisha dhana mbili ambazo haziwezi kwenda sambamba. Kuna mfumo dume dhana ya maisha ambayo ilitumika huko miaka ya nyuma na kuna 50/50 dhana ya maisha inayotumika kwa sasa. Katika mfumo dume mwanamke aliwekwa pembeni kwenye nyanja zote ikiwemo uchumi kwa maana iyo mwanaume hapa anawajibika kuhudumia familia peke yake. Kwa sasa tupo zama za 50/50 ambazo nwanamke nae kapewa access zote kiuchumi, kisiasa na kijamii, mtu kupewa ajira maana yake automaticaly anaondolewa kwenye kundi la watu tegemezi atatakiwa ajitegemee au na yeye kutoka kwenye kipato chake achangie huduma anazotumia. Sasa hapa ni lazima wanandoa mchague kimoja either mwanamke abaki ndani haudumiwe kila kitu na mumewe au nae atoke kutafuta na achangie kitu mezani, na huo uwe ni wajibu sio hiyari , yaani mwanamke hawezi kushinda nyumbani kusimamia majukumu ya kifamilia kwa sababu anatakiwa kuwepo kazini hapo hapo kipato chake kisijumuishwe popote kwenye ustawi wa familia sasa output ya uyo mke ni ipi hapo nyumbani?
Mwanamke anatakiwa achangie kipato endapo tu hafanyi kabisa kazi za nyumbani
 
Hapo sidhani kama umejibu swali langu sana sana naona ni zile zile kauli za kibabe tu za kimfumo dume ambazo hazina logic wala mantiki, nilihitaji jibu la kwanini ionekane tatizo na vibaya mwanaume kufanya kazi za nyumbani yani ni kipi kinachomzuia mwanaume kufanya hizo kazi, kama dunia imebadilika kwanini ibadilike kwa majukumu ya mwanaume tu kwamba sasa hivi wote wanaonekana wanaweza kutafuta pesa na kulisha familia ila kufanya kazi za ndani bado yabaki kuwa majukumu ya mwanamke
Argument yako sasa haina mashiko, naona upo unafanya spinning tu, kitu kile kile unakipaka rangi tofauti ila hoja zimejibiwa na wengi including mimi. Kama kwenye arguments zangu kuna ubabe, mfumo dume na hazina substance, basi I rest my case mkuu. I thought we were arguing harmonically.
 
Argument yako sasa haina mashiko, naona upo unafanya spinning tu, kitu kile kile unakipaka rangi tofauti ila hoja zimejibiwa na wengi including mimi. Kama kwenye arguments zangu kuna ubabe, mfumo dume na hazina substance, basi I rest my case mkuu. I thought we were arguing harmonically.
Duuh hebu nisaidie kunionesha ni wapi uliponijibu hoja yangu mkuu, yani mimi nakuuliza ni kipi kinachomzuia mwanaume kufanya kazi za nyumbani wewe unaniambia eti sijui mwanamke anajisikia raha kumpikia mumewe, seriously kwahiyo hilo ndio jibu ambalo unasema umenipa au kuna lingine ambalo mimi sijaliona hapo hebu nioneshe
 
Mimi sina shida na hilo mkuu shida yangu kwanini na ninyi sasa hamtaki kuwasaidia majukumu ya nyumbani, hapo tu ndipo ninaposhindwa kuwaelewa wanaume wa kiafrika, yani kwanini dunia ibadilike kwenye majukumu ya mwanaume tu ila majukumu ya mwanamke yabaki pale pale
Basi leo tunaomba umchallenge bidada uko juu. Maana wanaume tumeshindwa kukuelewesha kuhusu mgawanyiko wa majukumu kati ya mume na mke nyumbani ambayo kwa msimamo wako wewe umeyatafsiri kama utumwa kwa mwanamke, uenda wanaume tukawa tunautetea huo utumwa kwa mwanamke kwa sababu sisi ni wanufaika sasa leo kajitokeza dada ambae anatetea hicho kitu unachokitafsiri ni utumwa kwa wanawake ngoja tusubiri mtanange uenda mnaweza kufika muafaka
 
Wewe ni mbishi tushakuzoea, we ishi na partner wako kwa namna utakavyoona inafaa
Hapana sijiongelei mimi naongelea ndoa za dunia ya leo kwa ujumla, na ndio maana siku hizi wanaoongoza kuumia na kulalamika kwenye ndoa ni wanaume, wanawake ni kama hawajali tena na pamoja na tabia zao zote za hovyo ila bado hamuachi kuwaoa
 
Ukidai kusaidia sio poa, ila ukipata wa kukusaidia huwa mzuka sana, kutoboa ni chap tu
 
Hapana sijiongelei mimi naongelea ndoa za dunia ya leo kwa ujumla, na ndio maana siku hizi wanaoongoza kuumia na kulalamika kwenye ndoa ni wanaume, wanawake ni kama hawajali tena na pamoja na tabia zao zote za hovyo ila bado hamuachi kuwaoa
Hakuna mwanamke aliekuzwa katika misingi ya maadili au mwenye ndoa imara na dhamira ya kudumisha ndoa yake anaweza kuya-apply kwenye ndoa yake mambo unayoyaubiri wewe maana katika hali ya kawaida kabisa hakuna mwanaume atayekubali huo ujinga, eti kwa sababu mwanamke analeta kitu mezani akirudi nyumbani hata saa 9 usiku na asihojiwe anatoka wapi kwamba ndio 50/50 iyo hakuna wa kumtawala mwenzake.! Hivi haya mawazo yako kabla ya kuyaandika hapa huwa unayatafakari au unaandika tu uonekane wa tofauti.?
 
Basi leo tunaomba umchallenge bidada uko juu. Maana wanaume tumeshindwa kukuelewesha kuhusu mgawanyiko wa majukumu kati ya mume na mke nyumbani ambayo kwa msimamo wako wewe umeyatafsiri kama utumwa kwa mwanamke, uenda wanaume tukawa tunautetea huo utumwa kwa mwanamke kwa sababu sisi ni wanufaika sasa leo kajitokeza dada ambae anatetea hicho kitu unachokitafsiri ni utumwa kwa wanawake ngoja tusubiri mtanange uenda mnaweza kufika muafaka
Katika miaka yangu yote ya kujadiliana kuhusu hizi mada hakuna mwanamke ambaye nimewahi kujadiliana naye anayepinga mitazamo yangu na akafanikiwa kunielewesha, wengi hawanaga hoja za maana zaidi ya kuishia tu kusema "inabidi tukubaliane na hali maana hakuna namna", yani kwenye hizi mada ukiona wanaume wameshindwa kunielewesha basi kwa wanawake ndio hatutasikilizana kabisa
 
Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu

Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni
Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana kuingia kwenye ndoa wakidhani wanawake wao watawasaidia baadhi ya majukumu na wengine wajinga wakitamani wasaidie hata majukumu yote

Kigezo kikubwa kwa mwanaume na jukumu la kwanza ni kuoa mwanamke anayempenda na kumvutia kwa asilimia kubwa tabia sura na hata maumbile
Na hapa tunatofautiana Kila mtu ana tabia sura na maumbile yanayomvutia

Ukifanikiwa kwenye kigezo na jukumu la kwanza hayo mengine yote ni rahisi

Jukumu la pili na muhimu ambalo wanaume wengi haswa wa wakati wanalikimbia wakidhani watabaki salama ni
Kumuhudumia mke wako kwa Kila kitu kuanzia Nguo yake ya NDANI mavazi ya nje mahitaji yote muhimu kwa mwanamke ni jukumu la mwanaume kumuhudumia

Tatu mahitaji yote ya familia ni jukumu la mwanaume kuhudumia hata Kama mwanamke ana mshahara ana hiari ya kuchangia mahitaji ya familia au la

Hata akichangia weka akilini mwako kwamba anakusaidia majukumu yako usibweteke,
Siku akijisikia kutochangia Basi ukubaliane na hali na umshukuru walau kwa kile alichochangia

Kwenye maandiko jukumu la mwanamke kubwa ni uzazi na kumtii mume wake


Ukiona mwanaume ambae kigezo chake kikubwa anataka mwanamke mwenye kazi au mshahara au mpambanaji hiyo ni dalili ya hao wanaume

Nashauri hakikisha unakuwa na msingi mzuri wa kipato kabla ya kuoa Bora uchelewe kuoa ili
Uoe mwanamke unayempenda na mwenye uwezo wa kumuhudumia
Kwa asili
Wanawake hawaji kuongeza kipato Ila kutumia kile kipato chako

Uanaume ni kazi Sana na uwajibikaji wake ni mkubwa
Sio rahisi kuwa mwanaume na Wakati mwingine kuwa baba wa familia
Mungu Alipo muumba Adam alimfanyia msaidizi, elewa neno MSAIDIZI, tatizo jamii ( hasa wewe mleta mada) mmejaa akili za kimaskini na ujinga mwingi kiasi kwamba unaona mwanamke hapaswi kuhudumia familia au kumsaidia mmewe majukumu,

Ni either hujasoma au umeachika kwa upuuzi wako na unataka wenzako wawe kama wewe.

Rubbish post.
 
Katika miaka yangu yote ya kujadiliana kuhusu hizi mada hakuna mwanamke ambaye nimewahi kujadiliana naye anayepinga mitazamo yangu na akafanikiwa kunielewesha
Hao wanaokubaliana na wewe wana trauma tu za mahusiano yao yaliyopita bado wanaishi na vinyongo vya kuachika au kupigwa matukio na maex wao. Na wale wanawake wenye ujeuri wa asili tu wanakubaliana na wewe ku-justify ujeuri wao. Narudia tena hakuna mwanamke mwenye maadili na ndoa imara na dhamira ya kuilinda anaweza ku-apply unayoyaubiri wewe. Mawazo yako ni typically na yale ya joyce kiria kwenye kipindi chake cha wanawake live na wote tunajua historia yake kimahusiano ipoje, hakuna mwanaume timamu anaweza kuvulimia huo ujinga.
"inabidi tukubaliane na hali maana hakuna namna",
Hii ndio hoja yenyewe sasa au wewe unataka hoja mpaka iwe ligi
 
Hakuna mwanamke aliekuzwa katika misingi ya maadili au mwenye ndoa imara na dhamira ya kudumisha ndoa yake anaweza kuya-apply kwenye ndoa yake mambo unayoyaubiri wewe maana katika hali ya kawaida kabisa hakuna mwanaume atayekubali huo ujinga, eti kwa sababu mwanamke analeta kitu mezani akirudi nyumbani hata saa 9 usiku na asihojiwe anatoka wapi kwamba ndio 50/50 iyo hakuna wa kumtawala mwenzake.! Hivi haya mawazo yako kabla ya kuyaandika hapa huwa unayatafakari au unaandika tu uonekane wa tofauti.?
Hilo la kumuuliza mwenza wako alikuwa wapi ni sawa na inatakiwa iwe hivyo kwa wote mke na mume mimi nawashangaa wanaume ambao wanajifanya hawataki kuulizwa, kama wanawake hawayaapply haya ninayoandika humu unadhani chanzo cha wanaume wengi kulalamikia ndoa ni nini au unadhani ninayoandika humu najitungia, mimi sijitungii naandika uhalisia uliopo kwenye jamii wala si kwamba ninayoandika ndio nataka wanawake wayafanye bali tayari wanayafanya na ndio uhalisia
 
Hilo la kumuuliza mwenza wako alikuwa wapi ni sawa na inatakiwa iwe hivyo kwa wote mke na mume mimi nawashangaa wanaume ambao wanajifanya hawataki kuulizwa
Wanaume tuna mambo mengi kama nimetoka kupiga dili za magendo unataka nimemwambie mke wangu?
kama wanawake hawayaapply haya ninayoandika humu unadhani chanzo cha wanaume wengi kulalamikia ndoa ni nini au unadhani ninayoandika humu najitungia, mimi sijitungii naandika uhalisia uliopo kwenye jamii wala si kwamba haya ninayoandika ndio nataka wanawake wayafanye bali tayari wanayafanya na ndio uhalisia
Wanaoya-apply ndio wakina fatma karume hawawezi kuishi na mume wanaishia kuachika tu mpaka wanazeeka, hakuna feminist mwenye ndoa imara. Unachokieneza wewe ni sumu kali sana na bahati mbaya wanawake huwa wanaenda na mkumbo tu bila kutafakari miles ahead.
 
Back
Top Bottom