Tatizo lako ni wanaume kufua, kupiga deki na kuosha vypmbo? Hivyo hatufanyi, hatutafanya coz mke na msaidizi wapo. In case msaidizi hayupo then kuna nyakati za kusaidiana kazi ndogo hizo. Sijui kwa nini kwako inakuwa big deal wakati kwa wanawake wenzako ni sifa kupika kufanya nyumba iwe safi nk.
Kwa nini kwako ni issue sana?
Nishakuambia, swala la huduma lipo kwa baba, hapo hatupingani, ila mama akiamua kutoka kutafuta, basi anachokipata kionekane, short of that basi aamke asubuhi na kulea familia yake as ndio primary role yake.
Hata wewe ukiingia kwa ndoa, hakikisha jiko is your friend, mpikie mume chakula kitamu, ukishindwa hilo jukumu moja tu basi ndoa itakuwa ngumu. We love to eat food prepared by our wives.