Mombasa City Bus Terminal..

Mombasa City Bus Terminal..

Mji wenyewe wa dar mchafu kupindukia,vijiji vya uswahili kila mahali.mitaa ya maana hapo dar hata haizidi tano......ukitoka oyestar,mikocheni,masaki,mbezi na upanga,huko kwingine ni upuzi mtupu...yaani kitu ya maana hapo dar ni BRT na towers kadhaa,mji hauna mpangilio umetapakaa tu.

Sawa, Ila Kumbuka kibera pekee (slum kubwa zaidi Duniani) inakaliwa na Wakazi milioni Tano unusu, Haani 60% ya wakazi wa Nairobi,
Nyie wengine sijui mmejaa kwenye slums nyingine za Mathare, Huruma, Kalio bangi, Korogocho, Githurai, N.k
 
Umewaacha uchi hawana stand hawa yang'au.wameshidwa na mji mdogo wa korogwe pambafu kabisaaa[emoji16][emoji16][emoji16]

Hawa majamaa hawana kitu, Hata zile barabara huwa wanatuma humu sijui wanazitoa wapi,
Mombasa ni mashimomashimo, Uchafunuliovunda mji unanuka kinoma.
b93bc8f1-6e21-423f-a17f-677efcddd860.jpg
 
Bro from the pictures I can predict the type of bus you used, is either Chania, executive, Genesis or Vanga. Those are cheap buses and that's where they stop. It seems your money was not enough to board classic buses like Modern Coast, Tahmeed, Bus car, Mash,Spanish, Dream line, etc. Anyway, what you pay determines what you get.
ukitaka kuwajua wenyeji wako lazima ujishushe ufanane nao bro ndio uungwana
 
No the problem is not camera the problem is " li nchi lenu chafu na kusababisha picha ziwe kama chafu linchi linanuka maviii kila pahara ndiyo maana wode Maya alipokuja Tanzania wakenya wakaanza kumwambia camera yake imeimpruvu kuliko aliyokuwa anatumia Nairobi mwenyewe akawaambia camera ni ile ile
Hahaha We jamaa noma Camera ni ileile
 
Bro from the pictures I can predict the type of bus you used, is either Chania, executive, Genesis or Vanga. Those are cheap buses and that's where they stop. It seems your money was not enough to board classic buses like Modern Coast, Tahmeed, Bus car, Mash,Spanish, Dream line, etc. Anyway, what you pay determines what you get.

Tabmeed is pathetic bro, Don’t ever recommend it to someone, Pengine hiyo Modern coast nitajaribu wakati mwingine.
Siku ukija bongo from Nairobi try Dar Lux and see the difference.
 
Hukuwa Mombasa na hizo picha si zako ask me why nikujibu.
Tabmeed is pathetic bro, Don’t ever recommend end to someone, Pengine hiyo Modern coast nitajaribu wakati mwingine.
Siku ukija bongo from Nairobi try Dar Lux and see the difference.
 
huyu jamaa kaumbuka...kapanda basi cheap kuja mombasa mazee...alafu kaja kutupigia picha stage ya chania,executive,genesis....

bro umeji expose vibaya sana leo...atasema tangia avuke ferry kaone apige picha stage ya chania...na sidhani bro km uko nyali...na wala hta bamburi hupawezi..kw hali hyo..we ligi yako ni uswazi tu..bwahaaaa
 
There are rumours that umeenda huko kuuza mk****. Refute it na evidence pliz.
Watz wanapenda Mombasa sana.
Ali kiba ommy dimpoz aslay queen ni hawakauki huko
Tatizo wakenya ni washamba sana hawa wasanii waliofulia Tanzania hata hakuna watu wenye habaei nao wakija huko ni lulu,
 
Hiyo jamaa hakuwa Mombasa na hizo picha si zake pia. I doubt hata kama ni picha za hii mwaka.
huyu jamaa kaumbuka...kapanda basi cheap kuja mombasa mazee...alafu kaja kutupigia picha stage ya chania,executive,genesis....

bro umeji expose vibaya sana leo...atasema tangia avuke ferry kaone apige picha stage ya chania...na sidhani bro km uko nyali...na wala hta bamburi hupawezi..kw hali hyo..we ligi yako ni uswazi tu..bwahaaaa
 
huyu jamaa kaumbuka...kapanda basi cheap kuja mombasa mazee...alafu kaja kutupigia picha stage ya chania,executive,genesis....

bro umeji expose vibaya sana leo...atasema tangia avuke ferry kaone apige picha stage ya chania...na sidhani bro km uko nyali...na wala hta bamburi hupawezi..kw hali hyo..we ligi yako ni uswazi tu..bwahaaaa

Hahaha, Mbona mi Mombasa yote naona uswazi tupu, Sijui unaongea nini msee[emoji2][emoji2][emoji2]
Hata basi zote za Huku ni cheap.
 
Tatizo wakenya ni washamba sana hawa wasanii waliofulia Tanzania hata hakuna watu wenye habaei nao wakija huko ni lulu,

Jamaa mmoja ananiambia Tahmeed bus ni Luxury,
Hawa jamaa ni Kama vile vitu vizuri hawavijui bado, Ukiangalia hata namna wanajenga nyumba zao ni kama hawafanyi finishing za Kisasa.
 
jamaa kasema eti zile barabara hakuziona...nime mdoubt tayari...yani kutoka ferry hadi mwembe tayari hakuona barabara..maskini....alafu km yeye kafika mombasa kweli na kaenda nyali...hyo picha ya mwisho alo post ni ya kutoka hapo chania kuelekea majengo...sasa nyali na hko wapi na wapi...
 
League hii (tz & ke) haina mwisho.
Ngoja tusubiri AFCON sasa.
 
Jamaa mmoja ananiambia Tahmeed bus ni Luxury,
Hawa jamaa ni Kama vile vitu vizuri hawavijui bado, Ukiangalia hata namna wanajenga nyumba zao ni kama hawafanyi finishing za Kisasa.
Pesa zako ni za Chania my friend, you can't afford Tahmeed. In fact Tahmeed is better than all your buses.
f2822ef3fac04114a7a2f3b6d9bd5e6e.jpeg
590129c0f40bc582.jpeg
 
Wewe hukuenda Mombasa, you are just picking pictures from internet and posting them here.
Jamaa mmoja ananiambia Tahmeed bus ni Luxury,
Hawa jamaa ni Kama vile vitu vizuri hawavijui bado, Ukiangalia hata namna wanajenga nyumba zao ni kama hawafanyi finishing za Kisasa.
 
Back
Top Bottom