Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mpaka PHD.mkuu hautaki nipate title ya DR na
mie 😁😁😁
kwan after Masters unaitwa Dr au mpaka PhD?
Ukipata muda soma hata OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA ili uongezee CV'S
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka PHD.mkuu hautaki nipate title ya DR na
mie 😁😁😁
kwan after Masters unaitwa Dr au mpaka PhD?
sawa monalisakina kirefu jiheshimu kibodi isikufanye ujionge mjanja sana unakosea
Kwa huko saa ngp mkuu?Bado nipo JOB ndio natoka hapa saa 9 ngoja nikatupie mbili tatu 😂😂🤣
Saa Tisa mchana mkuu..bila shaka mkuu hope utakua usha ianza weekend vyemaa.Kwa hulo saa ngp mkuu
Unaweza shangaa anakula uteuzi huyoAnamendea ajira sehem fln kama sio azam media sijui
Tangu mtoto Mimi sivaagi hayo makitu mpaka nimemaliza Chuo neverHongera monalisa
Sure mkuuu, mimi tena😁😁😁Saa Tisa mchana mkuu..bila shaka mkuu hope utakua usha ianza weekend vyemaa.
Ni mwendo wa kata mti panda mti.Sure mkuuu, mimi tena😁😁😁
Huwa sijawahi kujali sna, kama ni shida zipo tu mkuu😁😁😁Ni mwendo wa kata mti panda mti.
Yvonne Cherrie, msanii maarufu wa filamu, Monalisa, ameweka historia baada ya kuhitimu Chuo Kikuu katika fani ya Usimamizi wa Biashara na Miradi, licha ya changamoto za dhihaka na kejeli alizokumbana nazo kutokana na umri wake.
View attachment 3171295
Monalisa, ambaye alikuwa miongoni mwa mwanafunzi waliokula chumvi nyingi katika darasa lake, amesema watu walimcheka na kushangaa kwanini aliamua kurudi shule akiwa na umri mkubwa. Hata hivyo, hakukata tamaa na leo amejivunia kuhitimu akiwa mwanafunzi bora wa darasa lake.
View attachment 3171296
Katika ujumbe wake, Monalisa amesisitiza kuwa mafanikio hayo ni ushuhuda wa uvumilivu, ujasiri, na uthubutu. Amesema safari yake ni kielelezo kuwa kamwe si kuchelewa kufanikisha ndoto zako, na huu ni mwanzo tu wa mambo makubwa yanayokuja.
View attachment 3171297
“Nilichekwa, lakini leo nimebutua,” alisema Monalisa kwa furaha, akiongeza kuwa hakuna kurudi nyuma, na mashabiki wake waendelee kufuatilia safari yake.
View attachment 3171293
Mastaa na mtoto wake wamiminika kumpongeza mitandaoni.
View attachment 3171294
UkraineYule mwanae aliekua analinganishwa na Paula Kajala yukogo wapi
Niacheni bhana... nishasema nitarudi ..
Sawa usijaliNiacheni bhana... nishasema nitarudi ..
Usifanye hivyo bas plz
Makitu gani mkuu?Tangu mtoto Mimi sivaagi hayo makitu mpaka nimemaliza Chuo never