Monalisa ahitimu Chuo Kikuu licha ya kupitia dhihaka na kejeli kisa umri

Jina la chuo?
All the best
Naomba kukazia hapa! Tungejulishwa jina la chuo, na pia kiwango cha elimu alichosoma (mfano Astashahada, Stashahada, Shahada, nk.)
 
Hongera nyingi kwake 🌹🌹🌺🌺
 
Yeye bado kijana sana. Kuna waziri mkuu alienda kusoma degree baada ya kustaafu. Aende zaidi👍
 
Hongera sana ,wahenga wanasema elimu haina mwisho....Piga masters and Phd usisikilize maneno ya loosers...Trump anaitafuta 80 na bado anapambana.
 
Kuwa na elimu ni vizuri Ila Kwa age yake 50+ na mazingira ya TZ sifikirii kuna kitu ametoa kama funzo.

Kaanza kuigiza kitambo ,kapata madili kibao , kukosa kuwekeza na kuwa na mipango mizuri ya kiuchumi anabaki kuamini katika karatasi na kuajiriwa.


All in all hongera sana kwake.
 
Wengi mnahangaika kasoma chuo gani.jina la chuo so lipo hapo kwenye joho la juu
 

Attachments

  • Screenshot_20241210-075512.jpg
    126 KB · Views: 5
Huyo Alipo alishaambiwa katafute tu cheti uje ule Uwanja uko wazi... Damu ya kijani Huyo na damu anazunguka nazo hasa wee
Wewe mwenzangu nn a Mimi? [emoji41]Vp Bado yule mfupi anayeng'ang'ania jina la watu..,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…