Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #61
Hao wazungu wamekuja huku kwa kuponda kwao hakufai?Wabongo tunaongoza kuwapangia watu maisha wakati yetu yametushinda.
Hakuomba mchanga wa ada, kampeleka kwa pesa yake, na mtoto alifaulu vizuri sasa shida iko wapi. Mbona kuna watu wanakimbia Tanzania wanaenda tafta maisha nchi maskini zaidi ya Tanzania hapa Afrika,
Mbona kuna wazungu uwa wanakuja kusoma hapa tena vyuoni?
Mjibu mwambaHuna akili?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ajiandae kupata coursework ngumu tu plus represantation za kutosha ili wamuoneshe kwamba si lolote wala chochote.
Kheeeeh kumbe n div 1 ya 5, mbna walikua wanasema div 1 ya 3 woiiiiih, hongera zake.Sometimes kutokuwa na uelewa wazazi kunawaharibia watoto.
Na wazazi wanawake hasa ambao huwa wanaharibu sana watoto hasa wakiwa na vihela.
Single mother wengi wenye hela huwa wana ujinga mwingi sana.
Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.
Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.
Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.
Unamuweka BAF mzumbe ama B com accounts udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchukua after graduation. ( huwa hazimkatai mtu mwenye point 5 ya ECA na kiingereza cha kuombea maji anakijua jua )
Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.
Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe .
Au South Africa pia.Bora angempeleka hata Ghana. Kuna vyuo vizuri tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahHalafu huko Ukraine alikuwa anasoma lugha kwanza. What a waste! Degree bado hajaanza rasmi. Anasoma Lugha kwanza. Kiukrain kina faida gani sasa ?
Kheeeeh kumbe n div 1 ya 5, mbna walikua wanasema div 1 ya 3 woiiiiih, hongera zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vyuo vya Bongo alisema havijui kwan. Ila anasikia kuna UDSM na IFM. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo A zake zakukariri itakuwa
Mtu mwenye A isiyo yakukariri lazima azifahamu nchi nzuri zenye vyuo vizuri
Anaacha kwenda USA, Canada, Scandnavia, UK
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani hata wakisoma kazi zenyewe zipo au ndio mwisho wanauza vitenge na juice ya miwa hko Instagram kama yule mtoto wa gadner alikuwa anaringa ila wahuni wamemuwahi sisi yetu macho tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hata hapa kwetu wanafunzi wa chuo wanawekana kinyumba lolKwa hiyo course ya Accounting aliyompeleka huyu binti huko angeweza kuipata hapa hapa bongo bila ya huyo mama kuwa na stress za mtoto kuwa mbali na kutojua anaishi vipi!! Hawa watoto wakiwa huko nje unaweza kudhani wanasoma kumbe wamewekwa kinyumba !! Ukweli ndio huo ingawa ngumu kumeza kwa wale wasiokuwa na mazoea ya watoto wakisoma huko nchi za nje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamtetea shem wako?Acha apate adabu , alitaka kumuoutclass , janja janja la mjini Paula , ona sasa litoto lake linazurura vitani na division one yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukraine? Hiyo kwa Tz ni sawa na lindi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman watu mnajua kunivunja mbavu lol.Monalisa mwenyewe kaishia la saba anajua wapi mambo ya elimu
Ooooh hapo sawa, huko nje kafuata exposure na connection. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Div 1.5 ya Eca sio mchezo. Hawa wakija udsm kule udbs huwa wanafaulu kweli kweli.
Maana accounts ya chuo ni ile ile ya advance
Sema mkuu msuli wa chuo tofauti kidogo na advance. Huwezi amini mtu anaweza akatoka na single digit advance halafu chuo akatoka na Ka pass Tu.Sometimes kutokuwa na uelewa wazazi kunawaharibia watoto.
Na wazazi wanawake hasa ambao huwa wanaharibu sana watoto hasa wakiwa na vihela.
Single mother wengi wenye hela huwa wana ujinga mwingi sana.
Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.
Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.
Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.
Unamuweka BAF mzumbe ama B com accounts udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchukua after graduation. ( huwa hazimkatai mtu mwenye point 5 ya ECA na kiingereza cha kuombea maji anakijua jua )
Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.
Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe .
Ooooh hapo sawa, huko nje kafuata exposure na connection. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]