Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Upande mmoja mtoto alikua sahihi Kama anaweza kusema bongo hakuna vyuo atakua alitazama mfano wa profesa kabudi pengine ,wasomi wanahaja yakujitazama kabla hawajatoa kauli

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mimi mtoto angu ni Bora asome Tanzania kuliko asome ulaya mashariki, Kuna jamaa alisoma Ukraine medicine jamaa alikua mweupe mambo kibao hajui
 
Umenena vyema anachukua cpa master akienda kuchukulia u.k, marekani, au any other western world anakua full package
 
Unapigia upatu chuo ulichosoma.
Ila mkuu kwenye ishu za accounts uwezo wako pia unamtter sana.

Piga shule pata gpa safi, gonga cpa yako kwa jina la huyo bibie ajira mlangoni kabisa.

Sema huo mstari wako wa mwisho ni tangopori.
Majority ya waajiriwa wa big four wanatokea udsm au mzumbe minority wanatokea hivyo vyuo vingine
 
Hata kama kozi hizo zipo huku ubora wa vyuo vya ulaya huwezi fananisha na vya kwetu. Hata exposure tu huwezi kumfananisha na aliyesoma bongo.

Vyuo vyetu ni bora kuliko hivyo vya huko Ulaya ya Mashariki!! Huna ufahamu wa vyuo vya huko walikosoma wakina SHIKA!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hata hapa kwetu wanafunzi wa chuo wanawekana kinyumba lol

Sasa kama hapa bongo ndio hivyo, huko nje unadhani inakuwaje na hela za Wazazi ndio hizo za kuunga unga? Mwisho wanasoma huku wanadanga na mzazi inabidi ufumbe macho Kwani huwaoni wako mbali!!!
 
Enzi kijana ananyoa panki na mama zenu wanalaza nywele kwa kigae cha moto, huku wakivaa mikanda ya vipepeo viunoni
Mambo ya 1980's hayo, raha sana, tunavaa kungfu shoes na jeans za Zico (nadhani alikuwa footballer)
 
Kwani hata wakisoma kazi zenyewe zipo au ndio mwisho wanauza vitenge na juice ya miwa hko Instagram kama yule mtoto wa gadner alikuwa anaringa ila wahuni wamemuwahi sisi yetu macho tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Vp chura anayo!

Alafu nyie subirini akirudi bongo mtampokea

Na makamera,atapewa airtime ya kutosha

Subirini mpewe stori za vita

Ova
Na mchango watanchangia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Halafu huko Ukraine alikuwa anasoma lugha kwanza. What a waste! Degree bado hajaanza rasmi. Anasoma Lugha kwanza. Kiukrain kina faida gani sasa ?
Muelewe mtu anayejua lugha isiyo common, Yappi Merkezi walikuja wanahitaji wanaozungumza Kituruki hata kama huna hata certificate yeyote wewe mradi ujue Kituruki. Watu walipata kazi kiulaini bila competition.

Hizi nchi zilizojificha zina watu wana hela nyingi za kuwekeza ni wewe tu kuwashawishi. Yule dogo Mkenya aliyehongwa pesa ndefu mwaka jana nadhani unamkumbuka
 
Aisee. Ivi mtu kama monalisa ni mtu serious kweli wa kuumiza kichwa cha mtu yani? Sio ni wale wapuuzi tu waliopumbazwa na utandawazi watu wa kuwaangalia na kuwaacha na upuuzi wao!? Kwanza monalisa amesoma kweli yule anaelimu yoyote ya kutafutia kazi au alifuta ujinga wa kusoma na kuandika tu??!

Nasema kweli mbele ya Mungu monalisa simjui hata wajihi wake. Yawezekana nilishamuona picha yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…