Monduli: Lema agoma kumpa mkono Makonda

Monduli: Lema agoma kumpa mkono Makonda

Ni kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .

Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .

Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .

Noma kweli yaani !

View attachment 2906981
Lema kafanya vizuri. Dawa ya mnafiki ni dharau tu
 
Nasubiria Lissu amtaje rasmi wahusika wakuu wa lile shambulio la kupigwa risasi zaidi ya 30 mchana waa 7, na kwa Mji mdogo kama Dodoma!! Huku wahusika leo wakiwa hawajulikani.
 
Hii habari uliyo andika haimjengi Lema ila kwenye Jamii inaonyesha Bado ana utoto wa kifikra na si ushuja.
Kwenye ulingo wa siasa junahitaji ngozi Ngumu la si hivyo Moyo wako utajaa matakataka ya hasira na visasi.

Mkumbushe ndugu Nabii kama ulivyo mtambulisha, kwenye biblia imeandikwa Kisasi ni Cha Bwana na mapambano yetu si ya Damu na nyama.
 
Ni kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .

Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .

Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .

Noma kweli yaani !

View attachment 2906981
Makonda hata mimi nikikutana naye siwezi kumpa mkono. Muuaji anatakiwa atengwe na jamii.
 
Back
Top Bottom