Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Muulize JiweHuyu kichaa na mwizi wa magari unamwita Nabii labda ni Nabii wa ukoo wenu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize JiweHuyu kichaa na mwizi wa magari unamwita Nabii labda ni Nabii wa ukoo wenu!
Lema kafanya vizuri. Dawa ya mnafiki ni dharau tuNi kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
Ukivunja ungo utajuaLema ni nabii?
Chadema sasa akili zenu mnadhihirisha sawa na wale wanyama wa great migration of Serengeti ..!!
Nafikiri itakuwa vizuri nikienda kumuuliza mzazi wako hasa wa kike!!Muulize Jiwe
Shetani kama wewe kweli huhitajiki kupewa mkono.Nabii hawezi kumpa Mkono Shetani.
Kwa sababu mwenye Richmond yake anazikwa leo, siyo?!Afadhali mgao sasa utakwisha na barabara za lami zitajengwa.
Nini maana ya nabiiChadema mna vituko lema nae nabii [emoji1787]
Makonda hata mimi nikikutana naye siwezi kumpa mkono. Muuaji anatakiwa atengwe na jamii.Ni kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
Lema hajampa mkono makonda.Kwa sababu mwenye Richmond yake anazikwa leo, siyo?!