Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Akijibu nistueNini maana ya nabii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akijibu nistueNini maana ya nabii
Kama hukubali kamuulize Magufuli kuzimu au Lengai SabayaLema ni nabii?
Chadema sasa akili zenu mnadhihirisha sawa na wale wanyama wa great migration of Serengeti ..!!
Imekaa njemaNi kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
Huwezi kumsalimia Wakala wa ShetaniNdio maana huwa mnazuiwa Kwenye mikusanyiko ya kitaifa. Mna Mambo ya hovyo Sana na siasa za kizamani.
Kumsalimia MTU hata kama hamuelewani ni ukomavu sio sifa. CHADEMA inaonyesha mkishika Dola kuna kaupuuzi Fulani hivi kakishamba mtakaonesha.... useless
Pamoja na Majonzi lakini hili jambo nadhani ni faraja hata kwa wafiwaImekaa njema
Ni uthubutu pia.. Lazima kuwa muwazi tangu rohoniPamoja na Majonzi lakini hili jambo nadhani ni faraja hata kwa wafiwa
Kama Mungu huwa anazungumza na shetani.....tena kishikaji kabisa,who is Lema?Huwezi kumsalimia Wakala wa Shetani
Unashangaa Lema kuwa nabii wakati rais wa nchi anapatikana kwa wizi wa kura?
Ni kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
Mbona Magufuli alikua Kiongozi wa Malaika?Lema ni nabii?
Chadema sasa akili zenu mnadhihirisha sawa na wale wanyama wa great migration of Serengeti ..!!
Mbowe ana busara zilizopitiliza.....Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Mkuu hapo umemaliza kabisa.Nabii hawezi kumpa Mkono Shetani.
Ushamba tu.Ni kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
Lema bado hajakomaa kisiasa.Mbowe ana busara zilizopitiliza.....
Kwa hiyo Mbowe ni mnafiki na kaonyesha ishara ya kuunga mkono unafiki?Ni kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
😂😂 Ila ww jamaa bhana 😂😂 hua unanifurahisha sana. Unauma huku unapuliza 😂Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Wacha kumshirikisha Mwenyezi Mungu na mwizi wa magari.Mwenye akili Chadema ni Mbowe tu.Na yeye kinachomsaidia ni kukulia mjini.Hana kiki za kishamba na ni a true politician.Kabisa yaani ! Hakuna kitabu cha Mungu kimekataza Nabii kuvaa gwanda