Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Nabii Huwa mnachukuliaje?Mmeshampa na unabii duh aiseee..Nyumbu ni nyumbu tu
Kila mtu ni nabii wa maisha yake kwanza!
Kujitakia,kujinenea,kujitamkia,kujiombea mazuri ni unabii tosha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nabii Huwa mnachukuliaje?Mmeshampa na unabii duh aiseee..Nyumbu ni nyumbu tu
SwadaktaMkuu mtu yyt ni nabii, yaani ht wewe ni nabii wa maisha Yako !
Hili Neno nabii lisikupe shida!
Unapojiombea,jitamkia ,jinenea mazuri yajayo ni unabii
Mambo ya sirini ya wanadamu yanatisha sana, ndio maana Mungu aliweka jehanamuHivi mnawezaje kuandika lugha kama hizi? Hata kama hatuonekani ila tunaweza kujua wewe umelelewa kwenye familia ya namna gani
kwenye biblia imeandikwa Kisasi ni Cha Bwana na mapambano yetu si ya Damu na nyama.
Unajenga hoja vizuri, tatizo lako ni matumizi ya lugha unayoitumia kuwajibu wale unao tofautiana nao kimtazamo, jitahidi "uwe na kifua" ili usivuke mipaka ukaamsha hisia mbaya kwa wengine dhidi yako.Assumption zako za kijinga ndio zinafanya ukose hoja.CCM ikijifanya ina hoja inanihusu mimi nini?Kama hata hujui tofauti upo upo tu.Una hakika mimi ni CCM au unajifanya Sheikh Yahya?Au kila anayepinga unalosema ni CCM. Bado una safari ndefu sana kwenye kufikiri na kupambanua mada kimantiki.
Na nyie si muibe hizo kura kumpata rais kama inawezekana?Unashangaa Lema kuwa nabii wakati rais wa nchi anapatikana kwa wizi wa kura?
Kwani kuitwa nyumbu kuna tatizo gani hadi utukane? Ma CCM yaliwapatia kweli kwenye hilo jina.Nyumbu mamako
Kituko kilichochanganyika na unafiki ni kile cha ccm kuonesha uswahili wa kujifanya kutojua hata nini maana ya wasifu,aibu ya vile ipo tanzania pekee katika dunia hii.Nabii?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ila CDM kwa vituko hamjambo nyie!
Hata akimuua baba ako?Ndio maana huwa mnazuiwa Kwenye mikusanyiko ya kitaifa. Mna Mambo ya hovyo Sana na siasa za kizamani.
Kumsalimia MTU hata kama hamuelewani ni ukomavu sio sifa. CHADEMA inaonyesha mkishika Dola kuna kaupuuzi Fulani hivi kakishamba mtakaonesha.... useless
Cuf unaitaje ccm ndugu zenu katika unafiki maccm ni muendelezo wa unafiki au upo kimkumbo tu?Kwani kuitwa nyumbu kuna tatizo gani hadi utukane? Ma CCM yaliwapatia kweli kwenye hilo jina.
Na nyie si muibe hizo kura kumpata rais kama inawezekana?
Hizo ni tuhuma tuu maze....focusHata akimuua baba ako?
Ahsante.Tatizo la hao wanaoshindwa kujibu hoja kwa hoja na kubakia na name calling na matusi.Point noted.Unajenga hoja vizuri, tatizo lako ni matumizi ya lugha unayoitumia kuwajibu wale unao tofautiana nao kimtazamo, jitahidi "uwe na kifua" ili usivuke mipaka ukaamsha hisia mbaya kwa wengine dhidi yako.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ivo yaanHuku Tunduma kimewaka yaani Mbeya Hatari...historia inakwenda KUANDIKWA....
Nasubiria Lissu amtaje rasmi wahusika wakuu wa lile shambulio la kupigwa risasi zaidi ya 30 mchana waa 7, na kwa Mji mdogo kama Dodoma!! Huku wahusika leo wakiwa hawajulikani
Siyo uthubutu ila ni tatizo la akili.Ni uthubutu pia.. Lazima kuwa muwazi tangu rohoni
Lema yeye hafai kuwa gerezani kwa kazi yake ya mwanzo ya ujambazi?Makonda alifaa kuwa Gerezani.
Waulize Chadema 'Inside job'Wapi Ben Saanane.