Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinai ya Lema yenyewe inaoza?Jinai Haiozi
Ana matatizo ya akili.Lema anatafuta Kiki tu
Si bora Chadema kumwita Lema nabii, eti na wewe unajiita Sir, kweli akili sio kila mtu anazo.Chadema mna vituko lema nae nabii [emoji1787]
Hiyo sura inaonesha isingekuwa msiba, Lema angempa kichapo sana mweneziAngalia hiyo sura ya Lema inaongea
Bora wewe umesema kweli. Mi CCM na Mi Chadema ni tatizo kubwa sana katika nchi yetu. Hivi vyama viwili vinatuharibia nchi. Tunahitaji chama kipya kisichokuwa na unafiki, majungu na fitina.Lema na Makonda hawana utofauti wote niwajinga. Lema anatabia zote za Makonda sema CDM haijapata nafasi ya kutawala. Lema ajifunze Kwa kiongozi wake Mbowe.
Lema ni mwizi hapo alikuwa anapiga mahesabu ta kuiba simu za waombolezaji hahahaNi kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
Mbowe ni ovyo kabisa kila rushwa, fisadi, dikiteta uajiLema na Makonda hawana utofauti wote niwajinga. Lema anatabia zote za Makonda sema CDM haijapata nafasi ya kutawala. Lema ajifunze Kwa kiongozi wake Mbowe.
una akili timamu ?Mbowe ni ovyo kabisa kila rushwa, fisadi, dikiteta uaji
Kwani si mjitangaze wenyewe kwani lazima mtangazwe?Tujiibie kura zetu, una akili nzuri? Wanaaoiba ni wasiokuwa nazo, sisi tunataka mshindi halali kutangazwa.
Kuna Mtu anamlalamikia Lema?Lema yeye hafai kuwa gerezani kwa kazi yake ya mwanzo ya ujambazi?
Ni kweli kwamba ni siku ya Mazishi , lakini kama tulivyosema awali , kila kwenye jambo kubwa hakukosekani tuvituvitu tudogo tusitoonekana kirahisi .
Sisi wengine pamoja na msiba huu macho yetu ni kama yamefungwa shingo ya feni , tunaona yasiyoonekana kirahisi .
Nabii wa Mungu Godblesa Lema amegoma kumpa mkono wa salamu bwana Paulo Makonda kama ishara ya kupinga Unafiki , unaambiwa ilikuwa aibu sana ! ikabidi Mbowe aokoe jahazi , maana tayari wakuda wa vyombo vya habari walishaanza kusogea .
Noma kweli yaani !
View attachment 2906981
Hata mimi unafiki siupendi ,ukinihudhi lazima utapata feedback.
Akijibu nistueKuna Mtu anamlalamikia Lema?
Vita ni vita muraa, mpaka poo iombweTunawatakia heri ya Pasaka
😆😆😆😆Mtu wa hovyo kama Makonda, hata mm simpi mkono.