Breki ya Kenge
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 715
- 1,004
We acha tu mkuu, hii dunia haina usawa kabisaJamaan poleni Sana boss
Mnaitwa furushi na hela bado mnaombwa?![emoji23][emoji23][emoji23] Akyanani hata me stoi
NI sheedah
Nimeteleza kwa leo tu nikaangukia kwenye huu UziUwe unakuja kujichekesha chekesha kwenye minyegesho ya huyu mdau. Maana anatafuta umaarufu kwa nguvu kulazimisha kuonekana eti tunamchukia ndiyo maana hatucomment.
Muda wowote ntakufata piemu..πNani skuhizi ananunua chupi zake labda wewe
Mama hakuna kitu kinauzwa kama Stori za Mapenzi nikutaarufu
Kwenye website yangu Nina viewers 500,000 na nalipwa na word press
Mbaya zaidi Huyo mwuza chupi wako Hana hela kiivyo kama Mimi ππππ she' s struggling NI vile haujui
Huyo boya alisoma na mwangu Shaabanrobert, mwanangu WA kiume, sasa Nani anatafuta umaarufu Instagram?!πππ
Anti ndio maana nakwambia mdau hakukosea ndege wanaoruka pamoja hufanana!
Me siwezi Fanana na wewe kwasababu wewe unapepea watu huna hata 100 hapo ulipo na hii karantini ndio kabisa, wenzio tunaingiza hela kwenye HADITHI we hata mshahara huna
Me naongea Mapenzi na kuandika Mapenzi naingiza hela Kwa siku, Nani Hana akili?!
Me nadhani kichwani kwako sio mzimaHahahahhahaha kimeo kweli.
Nimekushushua na wewe unasema nimekuuliza swali?πππππππππ
Unasema hauliliii kusapotiwa huu Uzi umefungua wa nini? Huu Uzi una maana gani kama sio kulilia kusapotiwa ?
Mfanyakazi wake au mwizi wake [emoji125][emoji125][emoji125]
Mange alimnyoosha akaweka account private kaja kafungua public juzi
Eti Mlokole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeingilia ugomvi usio wako ukiitwa Kupokea chenji utapokea?!
Unataka kunigawia wateja wako? Akaaa mimi siwataki.Me nadhani kichwani kwako sio mzima
Na wala sikulaumu ngoja waje wanaume wenye uume wakusaidie
wambea wakoje na wanaojielewa wakoje π€·
Na bado kila muda anatag watu, hao anaotag wenyewe hawaji/ hawasupport mashudu yake lakini yumo tu.Hahahahhahaha kimeo kweli.
Nimekushushua na wewe unasema nimekuuliza swali?πππππππππ
Unasema hauliliii kusapotiwa huu Uzi umefungua wa nini? Huu Uzi una maana gani kama sio kulilia kusapotiwa ?
ππ tumjue
Aisee nipo hapa toka mwanzo Thread sijaona mwanaume alienishangaa au wanakuja kunishangaa PM kwako???Anti Uzi huu ukiusoma Kwa kutumia akili na Kwa kutulia haukuhusu kabisa
Ndio maana wanaume wanakushangaa Una shida gani?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujatajwa jina, hujaitwa, NI mwanaume alieuliza swali sio wewe
Doh wanawake jamani me naomba Binamu kabanga wasaidie
U didn't hurt any of my feelings, umeonekana mbululaz zaidi Kwa watu kuingilia mambo yasiokuhusu
Mbona wamekuja na wamecommentNa bado kila muda anatag watu, hao anaotag wenyewe hawaji/ hawasupport mashudu yake lakini yumo tu.
Tuendelee kumjibia jibia quotes zake Uzi wake uwe juu juu apate support anayoililia hapa
Wanaume humu wamekufanya msemaji wao???
I was only stating facts....hujanishinda ila naona tu unatatizo sehemu....
Ungekua unajimudu ungepambana na yule dada hadi mwisho sio kutoa lame excuses ooooh nawaheshimu wazazi wake blah blah....
Wivu??Miwani???? Darling I'm too confident I don't need shades to cover my face...
Ooooh ukimaliza kuuza "hadisi" zako nitafute nikupe a diet program for free looks like u need one [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nilivoona picha nkajua kibuyu cha Mshana kumbe the hottest lady in JF
Byeeee Felicia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao waliokuja kuanzia page 1 mpaka 7 NI akina mama?!Aisee nipo hapa toka mwanzo Thread sijaona mwanaume alienishangaa au wanakuja kunishangaa PM kwako???
Hapa nilipo nimesoma uzi sijahitaji akili kujua kwamba umeandikwa na mtu "desperate anapenda attention " Imagine conversations ulizoandikiwa PM unakuja kuzitengenezea uzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kila baada ya sentensi unaita wanaume...alafu hatuwaoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekaa pembeni wanaangalia tuu na yeye yupo kuwatagπππ.Na bado kila muda anatag watu, hao anaotag wenyewe hawaji/ hawasupport mashudu yake lakini yumo tu.
Tuendelee kumjibia jibia quotes zake Uzi wake uwe juu juu apate support anayoililia hapa
100%π² Kweli..??
HahahaMbona wamekuja na wamecomment
Sema ulikuwa buzy na mambo yako ya Corona ndio maana hujawaona
Nakushauri Achana na Mimi, ushajiaibisha vya kutosha Kwa wanaume ambao unahisi watakufuata pm
Kweli Kwa money penny kunanoga Daima, no wonder Nina viewers laki 5 kwenye website yanguπππ