Moors: Watu weusi waliotawala Ulaya na kugeuza wazungu watumwa...

Moors: Watu weusi waliotawala Ulaya na kugeuza wazungu watumwa...

Historia ya dunia katika kiwango kikubwa imeandikwa katika kivuli cha race na dini, ndio maana inafichwa fichwa sana. Hawa jamaa kutoka Maghreb (maeneo ya Morocco au Algeria ya leo), walikuwa na nguvu sana kiasi cha kuweza kufika maeneo ya spain ya leo na kutawala na kusimika uislam (Ukhalifa). Sasa historia hii wanahistoria ambao ni racist au religious fanatics, wanaificha sana.
 
Kuna Mfululizo wa Riwaya ziitwazo, Rendezvous with Destiny; Namba 3 inaitwa Gibraltar Passage. Imeeleza kuhusu Moors na Spain. Unaweza itafuta pia. Imeandikwa na mtu anaitwa Davis Bunn.
 
Katika history nyingi zinazo fichwa fichwa ..

History ya watu weusi waliotokea Senegal na Mauritania ya Leo kutawala Sehemu ya Ulaya ilipo nchi ya Spain na Portugal na Ufaransa Leo hii, watu hao waliitwa Moors.

History yao ni ndefu sana, hapa nitakuwa najaribu Ku share kwa picha na maelezo kidogo ili watu wengi waelimike.
Africa tumeandikiwa historia,mabaya yote ni ya waafrica, mazuri yote ni ya kwao
 
Historia ya dunia katika kiwango kikubwa imeandikwa katika kivuli cha race na dini, ndio maana inafichwa fichwa sana. Hawa jamaa kutoka Maghreb (maeneo ya Morocco au Algeria ya leo), walikuwa na nguvu sana kiasi cha kuweza kufika maeneo ya spain ya leo na kutawala na kusimika uislam (Ukhalifa). Sasa historia hii wanahistoria ambao ni racist au religious fanatics, wanaificha sana.
Exactly
 
Kuna Mfululizo wa Riwaya ziitwazo, Rendezvous with Destiny; Namba 3 inaitwa Gibraltar Passage. Imeeleza kuhusu Moors na Spain. Unaweza itafuta pia. Imeandikwa na mtu anaitwa Davis Bunn.
Mkuu:
Riwaya hii unayo ikusudia ndio ipo kwenye Sahara Crosswind (Rendezvous With Destiny, No 3)?
 
Mkuu:
Riwaya hii unayo ikusudia ndio ipo kwenye Sahara Crosswind (Rendezvous With Destiny, No 3)?
Hakika.
Screenshot_20230409-131714.jpg
 
Moors ni jina walilolitumia wazungu wa Ulaya kuwaita Waarabu, Berbers, Waislamu na jamii zote zilizotoka Kaskazini mwa Africa, halikuwa jina mahusisi kwa jamii fulani au race ya watu weusi.
Pia walivamia na kutawala Spain na Ureno tu kuanzia karne ya 8, hawakufika Ufaransa.
 
Hakuna Historia iliyofichwa, hii Historia yote inapatikana katika vitabu vya Historia na inafundishwa katika vyuo vya magharibi.
Labda kama unasubiria uletewe hii Historia hapo ulipo.
Historia ya dunia katika kiwango kikubwa imeandikwa katika kivuli cha race na dini, ndio maana inafichwa fichwa sana. Hawa jamaa kutoka Maghreb (maeneo ya Morocco au Algeria ya leo), walikuwa na nguvu sana kiasi cha kuweza kufika maeneo ya spain ya leo na kutawala na kusimika uislam (Ukhalifa). Sasa historia hii wanahistoria ambao ni racist au religious fanatics, wanaificha sana.
 
Moors ni jina walilolitumia wazungu wa Ulaya kuwaita Waarabu, Berbers, Waislamu na jamii zote zilizotoka Kaskazini mwa Africa, halikuwa jina mahusisi kwa jamii fulani au race ya watu weusi.
Pia walivamia na kutawala Spain na Ureno tu kuanzia karne ya 8, hawakufika Ufaransa.
Unajaribu kubisha nini?
Hawakuwa weusi ?wengine hawakutaka Senegal ya sasa??


Unaabudu Sana wazungu Hadi unajitoa ufaham
 
Hakuna Historia iliyofichwa, hii Historia yote inapatikana katika vitabu vya Historia na inafundishwa katika vyuo vya magharibi.
Labda kama unasubiria uletewe hii Historia hapo ulipo.
Hakuna history inayofichwa?

Wazungu hawa walioweka picha za Yesu blonde mwenye macho ya blue kwenye makanisa dunia nzima...?
Kama wayahudi ni blonde wenye macho ya blue walibaguliwa vipi na Hitler Hadi wakakusanywa wakauwa??
 
Moors ni jina walilolitumia wazungu wa Ulaya kuwaita Waarabu, Berbers, Waislamu na jamii zote zilizotoka Kaskazini mwa Africa, halikuwa jina mahusisi kwa jamii fulani au race ya watu weusi.
Pia walivamia na kutawala Spain na Ureno tu kuanzia karne ya 8, hawakufika Ufaransa.
Moors inaweza kuwa mwarabu ama mtu mweusi, mhindi, mfilipino etc kifupi Moors ni jina wazungu walikuwa wakiwaita waisilamu, Watu weusi toka Mali na Niger waliitwa Moors, watu wa Maghreb north Africa waliitwa Moors, Wahindi waliitwa Indian Moors, Ufilipino pia kuna Moors etc.
 
Hakuna Historia iliyofichwa, hii Historia yote inapatikana katika vitabu vya Historia na inafundishwa katika vyuo vya magharibi.
Labda kama unasubiria uletewe hii Historia hapo ulipo.
Historia inaweza ikafichwa na vile vile ikawa ipo kwenye vitabu, kifupi hivyo vitabu ni mpaka mtu akutonye kama The Boss alivyoleta mada hapa, ila huvikuti kwenye Sylabuss.

Mashuleni wanafunfisha historia wanayotaka wao na sio ukweli.
 
Moors inaweza kuwa mwarabu ama mtu mweusi, mhindi, mfilipino etc kifupi Moors ni jina wazungu walikuwa wakiwaita waisilamu, Watu weusi toka Mali na Niger waliitwa Moors, watu wa Maghreb north Africa waliitwa Moors, Wahindi waliitwa Indian Moors, Ufilipino pia kuna Moors etc.

Na rangi ya ngozi Yao ndo na Hilo jina Moors ndo ikaplekea rangi ya maroon kuitwa maroon...sasa jiulize mtu mwenye rangi ya maroon anakuwaje
 
Historia inaweza ikafichwa na vile vile ikawa ipo kwenye vitabu, kifupi hivyo vitabu ni mpaka mtu akutonye kama The Boss alivyoleta mada hapa, ila huvikuti kwenye Sylabuss.

Mashuleni wanafunfisha historia wanayotaka wao na sio ukweli.
Mtu mpumbavu only ndo anaweza kubisha kuwa history zote duniani zomeandikwa Kwa lengo maalum...

Ndo maana Leo watu wanaambiwa Ottoman empire ilivyokuwa powerful wanashangaa since kwenye history waliyofundishwa haipo
 
Mtu mpumbavu only ndo anaweza kubisha kuwa history zote duniani zomeandikwa Kwa lengo maalum...

Ndo maana Leo watu wanaambiwa Ottoman empire ilivyokuwa powerful wanashangaa since kwenye history waliyofundishwa haipo
Kila siku nawaambia humu hii historia inawadumaza sana, imeandikwa kumfanya mtu mweusi awe inferior, unafundishwa zaidi kuhusu Mangungo lakini watu kama Ali bin Hamoud huwakuti kwenye Historia.
 
Huwezi kufundishwa au kusoma kila kitu kenye syllabus ya darasani, huwezi kuwekewa vitabu vyote katika syllabus. Katika Historia ni machache sana utayapata darasani, mengi unayapata kwa jitihada za kujisomea mwenyewe kibinafsi. Hiyo sio lazima imaanishe kwamba ambayo hukusoma darasani yamefichwa.
Historia inaweza ikafichwa na vile vile ikawa ipo kwenye vitabu, kifupi hivyo vitabu ni mpaka mtu akutonye kama The Boss alivyoleta mada hapa, ila huvikuti kwenye Sylabuss.

Mashuleni wanafunfisha historia wanayotaka wao na sio ukweli.
 
Ni ujuha kuamini historia ZOTE duniani zimeandimikwa kwa lengo maalum la kuegemea upanda fulani au upotoshaji. Hata hivyo historia zote huandikwa kwa lengo la kutunza kumbukumbu na kuwafahamisha watu yaliyopita.
Mtu mpumbavu only ndo anaweza kubisha kuwa history zote duniani zomeandikwa Kwa lengo maalum...

Ndo maana Leo watu wanaambiwa Ottoman empire ilivyokuwa powerful wanashangaa since kwenye history waliyofundishwa haipo
 
Huwezi kufundishwa au kusoma kila kitu kenye syllabus ya darasani, huwezi kuwekewa vitabu vyote katika syllabus. Katika Historia ni machache sana utayapata darasani, mengi unayapata kwa jitihada za kujisomea mwenyewe kibinafsi. Hiyo sio lazima imaanishe kwamba ambayo hukusoma darasani yamefichwa.
Mkuu najua wewe ni mnazi wa west tutabishana Bure tu, ila huwezi kuskip historia ambayo imetokea miaka Mia 4 mfululizo,

Yaani ni kama Tanzania tuskip kabisa historia ya ukoloni as if hauku exist halafu utoe sababu nyepesi kabisa kwamba huwezi fundishwa historia yote.

Mambo ya Moors ama Ottoman ni aibu kwa Nchi nyingi za ulaya wanaificha chini ya kapeti.
 
Back
Top Bottom