Moors: Watu weusi waliotawala Ulaya na kugeuza wazungu watumwa...

Moors: Watu weusi waliotawala Ulaya na kugeuza wazungu watumwa...

Hakuna ushahidi wowote uliouweka zaidi tu ya watu wawili wakitoa maoni na malalamika kuhusu sehemu ya historia ya Ureno wanayoipenda sana wao kukosa umaarufu ureno. Ushahidi ni Syllabus za Hispania na Ureno.
Hayo malalamiko yaliyotolewa na hao watu yanaweza kutolewa hata na watu wa Italia kwamba historia ya miaka 700 ya utawala wa Roman Empire huko Ureno haijatiliwa mkazo na kupata umaarufu sana Ureno na duniani kote kama historia za Wareno kina Vasco Da Gama na Christopher Columbus.
Nimekupa ushahidi nimekuwekea na link ila umeipotezea kimya unadandia comment nyengine thats why natwamga tu maji kwenye kinu, endelea tu mkuu kuabudu unaoabudu.
 
Kuifananisha Aksum/Axum empire na nyingine kama Roman au China empires ni mjadala mwingine mkubwa.

Kitu kingine unapaswa kuelewa ni kwamba Waafrika hata hawakuandika Historia zao wenyewe tofauti na jamii nyingine za dunia.
Hata hiyo historia kidogo ya Mansa Musa na ya hao Moors imeandikwa vizuri zaidi na hao wazungu wenyewe unaolalamikia wameficha Historia. Tunafahamu kwa upana sana historia za kina David Livingstone, John Speke, Cecil Rhodes, Henry M. Stanley, Vasco Da Gama, Christopher Columbus na wazungu wengine wengi wa kale kwa sababu wao wenye walikuwa wanaandika karibia kila kitu, kila siku na kila mahali walikopita(diaries) na wengine walikuwa wanatembea hadi na waandishi katika missions zao. Sisi wakina Mkwawa, Isike na Kinjekitile hawakuandika chochote, sina uhakika hata kama walikuwa wanajua kuandika na kusoma maana wengine kama wakina Mangungo tunaona jinsi walipigwa kwenye mikataba ya ajabu ajabu.

Leo hii hapa kwetu tu hata ukirudi nyuma kidogo hadi miaka ya 1950/60 huwezi kukuta Waafrika wenyewe wamejiandikia Historia yao ya kueleweka. Sasa hivi ndio unasikia hadithi za Said Mohammed ambaye nakufananisha naye sana kwamba wazee wake walimuhadithia, yani hata wazee wake wenyewe katika kipindi cha maendeleo makubwa ya uandishi hawakujisumbua kuweka Historia yao wenyewe katika maandishi, wanategemea kusemewa na watu wengine wa huko mbali!
Nyie jamaa tatizo mpo too western Centric hamjui lolote tofauti na mnachoandikiwa na wazungu.

Mimi ni Muisilamu tafuta Muisilamu yoyote anaejua Historia ya kiisilamu atakuambia Aksum ni nani sababu imeandikwa sana kwenye Historia zetu.

Pia nikukumbushe tena na tena wakati hizi Historia zinaandikwa hao wazungu walikuwa busy wanakatazana kuoga, walikua wajinga, washamba na Wengi ni Uncivilized (na wanakubali hili wenyewe)

Elimu, Historia na mambo mengi yalikuepo Persia, China, Aksum na mataifa makubwa ya East na zimeandikwa, sababu leo hizo Historia zimetafsiriwa kingereza haimaanishi eti ni Wazungu ndio waliozishuhudia.

Kuna vitabu vya kiarabu, kuna vitabu Ethiopia, kuna Vitabu China, Kuna Vitabu iran etc kuna ulimwengu tofauti na ulimwengu wenu mnaoishi kila siku.
 
Hakuna ushahidi wowote uliouweka zaidi tu ya watu wawili wakitoa maoni na malalamika kuhusu sehemu ya historia ya Ureno wanayoipenda sana wao kukosa umaarufu ureno. Ushahidi ni Syllabus za Hispania na Ureno.
Hayo malalamiko yaliyotolewa na hao watu yanaweza kutolewa hata na watu wa Italia kwamba historia ya miaka 700 ya utawala wa Roman Empire huko Ureno haijatiliwa mkazo na kupata umaarufu sana Ureno na duniani kote kama historia za Wareno kina Vasco Da Gama na Christopher Columbus.
So nimeprove hicho kitu hakipo kwenye sylabus? Sababu kama wareno wanaoishi ureno wanalalamika it means hakipo
 
Alamy ni platform ya kuuzia picha, hio picha kuna mtu anauza anaweza kuwa mimi, wewe ama mtu mwengine yoyote, haina mantiki yoyote na sio kwamba wameihifadhi, na ukiona ina watermark ujue mtu ametumia Demo, ukinunua picha unapata Quality kamili.

Historia inafichwa kwenye Sylabus hilo ndio tunaliongea toka mwanzo hapa,
We jamaa sijui una akili gani. Alamy na Getty wana hakimiliki ya picha walizonazo, wameuziwa na kuzitunza maana kuna picha nyingi tu hupigwa na kupotea. Sasa unasemaje hawajahifadhi, wanauza kitu ambacho hawana?

Na kumbe unasema coverage ya syllabus kuwa ndogo ndio kuficha historia. Unataka watenge mwaka mzima kwenye elimu ya sekondari uwe kwa ajili ya historia, unataka wafute subtopic ya Majimaji waweke hiyo ya Sultan aliyepewa tuzo au unataka nini. Wapi uliwahi ona historia inafundishwa inaisha. Mtu maisha yake yote anasoma kitu kimoja tu Ancient Egypt, anazeeka anakufa hajamaliza.
 
Unajaribu kubisha nini?
Hawakuwa weusi ?wengine hawakutaka Senegal ya sasa??


Unaabudu Sana wazungu Hadi unajitoa ufaham
Acha kupotosha Berbers ni watu wa northern Africa though Kuna waliokuwa na dark complexion kama unavyoona baadhi ya waarabu weusi huko Morroco , Tunisia ,Mauritania ,Libya au wale Jamii ya Normads Watourage WA jangwa la Sahara NK ,sio kwamba kuwaweka katika race category kwamba walikuwa wabantu kama sisi ,soma vizuri Historia ,halafu unadanganya watu kwamba Moors walitawala Croatia ,Moldova ,unajua hata Geography ya Europe wewe ? Moors walitawala Southern Europe specifically Spain na Portugal nayo ni baadhi ya miji , hao Moors walipojaribu kufika France walipigwa vibaya na kutoweshwa na jamaa mmoja mfaransa Charles Martel

Senegal hii ya west Africa ya watu weusi kama mkaa wa tabora ndio watawale Europe ,na unachotakiwa kujua ni kwamba hao Moors walikuwepo waarabu wengi sana tokea middle east enzi za kusambaza uislamu uliokuwa unaungwa mkono na dola za hapo uarabuni ,so moors wengi walikuwa ni Arab and Berbers mercenaries waliofanya kazi za dola za kiislamu middle east.

Na wala hao Berbers kuvamia Europe sio kitu kigeni ,kumewahi kutokea mwamba mmoja aliitwa Hannibal hapo Tunisia ya leo ,enzi hizo ikijulikana kama Cathage ,zamani sana enzi za dola ya Kirumi ,yule mwamba ndio alivamia Italy na kuingia mpaka Austria Kwa kutumia majeshi ya kutisha ,majahazi na tembo kupanda milima ya alpines Italy na Austria .Ila mwishoni warumi walienda kuvamia Cathage na aliposikia hivyo ikabidi arudishe kupambana na dola ya Kirumi hapo Cathage ,kilichofuata ni historia , ile iliyofanywa na warumi ilikuwa ni carnage ,ukisikia " we burn this city to the ground " ndio iliyofanyika pale Cathage
Huwezi kuwadescribe Moors au Berbers kama subsaharan bantu speaking people.

Na hata hilo kina Moors ni jina lililotoholewa kama followers WA Mohamed ,Mohammedans so wale Moors walikuwa jihadists na ustaarabu wa kiarabu upo pale Spain na Portugal mpaka leo ,ila hakuna traces za ustaarabu wa mtu mweusi Spain na Portugal leo
 
Acha kupotosha Berbers ni northerners though Kuna waliokuwa na dark complexion kama unavyoona baadhi ya waarabu weusi huko Morroco , Tunisia ,Mauritania ,Libya NK ,sio kwamba kuwaweka katika race category kwamba walikuwa wabantu kama sisi ,soma vizuri Historia ,halafu unadanganya watu kwamba Moors walitawala Croatia ,Moldova ,unajua hata Geography ya Europe wewe ? Moors walitawala Southern Europe specifically Spain na Portugal nayo ni baadhi ya miji , hao Moors walipojaribu kufika France walipigwa vibaya na kutoweshwa na jamaa mmoja mfaransa Charles Martel
Wewe soma history yako unayo iamini..na Mimi nafata history nnayoiamini
 
We jamaa sijui una akili gani. Alamy na Getty wana hakimiliki ya picha walizonazo, wameuziwa na kuzitunza maana kuna picha nyingi tu hupigwa na kupotea. Sasa unasemaje hawajahifadhi, wanauza kitu ambacho hawana?

Na kumbe unasema coverage ya syllabus kuwa ndogo ndio kuficha historia. Unataka watenge mwaka mzima kwenye elimu ya sekondari uwe kwa ajili ya historia, unataka wafute subtopic ya Majimaji waweke hiyo ya Sultan aliyepewa tuzo au unataka nini. Wapi uliwahi ona historia inafundishwa inaisha. Mtu maisha yake yote anasoma kitu kimoja tu Ancient Egypt, anazeeka anakufa hajamaliza.
Alamy ni platform ya kuuzia picha, kweli tubishane mambo madogo haya ya kugoogle sekunde kadhaa?


Kutoka website yao wenyewe
It’s simple and you can get your images up for sale in less than 24 hours.

  1. If you haven’t already, sign up as an Alamy contributor, it only takes a couple of minutes
  2. Check you understand how to prepare your images for Alamy
  3. Choose how you want to send your images to us – online upload or FTP
  4. Once your images are uploaded, our Quality Control (QC) team will check them
  5. When they pass, they’ll be ready for you to add captions and tags (also known as keywords) in your account
  6. Once you’ve finished adding your tags, your images will be on sale the next day
Kama bado unahisi hizo picha ni zao, waandikie email kuwa wewe unajua kuliko wao wenyewe wanaomiliki hio website.

Kinachofanyika hapo mimi nina picha nataka kuiuza napeleka Alamy, jinsi inavyonunuliwa ndio jinsi ninavyopata hela, na sio lazima iwe ya kihistoria, anything hata uume wako unaweza ukauza kule.

Hivyo unavyoona picha za Masultan ujue ni wazanzibari waliohifadhi hizo picha wanauza kule

Hivi ndio namna wanavyouza picha


Kila picha wanayouza mnakula pasu pasu, kama picha yako imenunuliwa kwa 10,000 wewe unapata 5000 na wao 5000 na sababu ni digital picha moja inauzwa hata mara 1000.

Kuhusu Historia, ndio Watanzania wana haki ya kujua viongozi ambao waliweza kutrade na Dunia nzima, kuleta lift ya kwanza Africa, Kuleta umeme na mambo kibao, ni vitu ambavyo vitawasaidia kuliko kuficha Historia na kusoma mambo yasiyo na maana kama ujamaa karne hii.
 
Acha kupotosha Berbers ni watu wa northern though Kuna waliokuwa na dark complexion kama unavyoona baadhi ya waarabu weusi huko Morroco , Tunisia ,Mauritania ,Libya NK ,sio kwamba kuwaweka katika race category kwamba walikuwa wabantu kama sisi ,soma vizuri Historia ,halafu unadanganya watu kwamba Moors walitawala Croatia ,Moldova ,unajua hata Geography ya Europe wewe ? Moors walitawala Southern Europe specifically Spain na Portugal nayo ni baadhi ya miji , hao Moors walipojaribu kufika France walipigwa vibaya na kutoweshwa na jamaa mmoja mfaransa Charles Martel

Senegal hii ya west Africa ya watu weusi kama mkaa wa tabora ndio watawale Europe ,na unachotakiwa kujua ni kwamba hao Moors walikuwepo waarabu wengi sana tokea middle east enzi za kusambaza uislamu uliokuwa unaungwa mkono na dola za hapo uarabuni ,so moors wengi walikuwa ni Arab and Berbers mercenaries waliofanya kazi za dola za kiislamu middle east.

Na wala hao Berbers kuvamia Europe sio kitu kigeni ,kumewahi kutokea mwamba mmoja aliitwa Hannibal hapo Tunisia ya leo ,enzi hizo ikijulikana kama Cathage ,zamani sana enzi za dola ya Kirumi ,yule mwamba ndio alivamia Italy na kuingia mpaka Austria Kwa kutumia majeshi ya kutisha ,majahazi na tembo kupanda milima ya alpines Italy na Austria .
Huwezi kuwadescribe Moors au Berbers kama subsaharan bantu speaking people
Just kusahihisha mkuu waarabu wengi hawakwenda spain, walikuwa wachache kwenye Rulling Elites, wengi walitoka Africa Berbers na weusi pia.

Term moors ina maanisha waisilamu, haijalishi rangi yake kuna thibitisho nyingi kihistoria ikitumika ufilipino (hadi leo), india na kwengineko. Watu Wa Mali, Niger na Nchi nyengine za kiisilamu west Africa pia waliitwa Moors.
 
Huna facts ,
Wewe uko brainwashed
Kwako wewe facts wanazo wazungu..
Ndo maana hata huyo mfaransa unamjua Hadi jina lakini weusi wenzako Moors hujui hata majina Ya Viongozi wao... kichwani mwako unaona hao wafaransa wa maana Sana...
Una ongea Kwa furaha Sana kuwa weusi wenzako walipewa kipigo na hiyo Mzungu utasema we Mzungu...
Slavery mentality.... history ya kumponda mweusi huulizi facts..
Ukiona Tu Mzungu anapondwa unahamaki..
 
Just kusahihisha mkuu waarabu wengi hawakwenda spain, walikuwa wachache kwenye Rulling Elites, wengi walitoka Africa Berbers na weusi pia.

Term moors ina maanisha waisilamu, haijalishi rangi yake kuna thibitisho nyingi kihistoria ikitumika ufilipino (hadi leo), india na kwengineko. Watu Wa Mali, Niger na Nchi nyengine za kiisilamu west Africa pia waliitwa Moors.
Elewa nilichoandika ,huwezi kusema Moors ni black Africans na walitawala Europe kama wewe na huyo mwenzako mnavyopotosha humu , mimi nilichoandika hujaelewa ,mimi nimemaanisha na kuconclude hivi "huwezi kusema Moors ni black Africans na walitawala Europe" soma uelewe nilichoandika .
Hapo mwisho nimeandika hamna masalia ya hao black Africans hapo Spain na Portugal ninyi hardliners mnaoamini mtu mweusi alitawala Europe ,why leo baada ya miaka yote hiyo bado kua ustaarabu wa kiarabu hapo Southern Portugal na Spain ,kuanzia mavazi , races , architecture ,culture NK ? Ila huwezi kukuta ustaarabu wa kibantu hapo Southern Europe ,au nayo ilikuwa ni conspiracy ya kufuta historia ya mbantu hapo Europe ?
Jibuni hilo swali ,tupime logic yenu .mkishindwa kakojoeni mlale .Hamjadili na ngumbaru hapa .
 
Elewa nilichoandika ,huwezi kusema Moors ni black Africans na walitawala Europe kama wewe na huyo mwenzako mnavyopotosha humu , mimi nilichoandika hujaelewa ,mimi nimemaanisha na kuconclude hivi "huwezi kusema Moors ni black Africans na walitawala Europe" soma uelewe nilichoandika .
Hapo mwisho nimeandika hamna masalia ya hao black Africans hapo Spain na Portugal ninyi hardliners mnaoamini mtu mweusi alitawala Europe ,why leo baada ya miaka yote hiyo bado kua ustaarabu wa kiarabu hapo Southern Portugal na Spain ,kuanzia mavazi , races , architecture ,culture NK ? Ila huwezi kukuta ustaarabu wa kibantu hapo Southern Europe ,au nayo ilikuwa ni conspiracy ya kufuta historia ya mbantu hapo Europe ?
Jibuni hilo swali ,tupime logic yenu .mkishindwa kakojoeni mlale .Hamjadili na ngumbaru hapa .
Kuna watu weusi Wengi hizo nchi na masalia ya culture zao yapo Tele
Wewe uko brainwashed to think like that...sio kosa lako...na mapovu yanakutoka ukiona Mzungu anapondwa
 
Wewe uko brainwashed
Kwako wewe facts wanazo wazungu..
Ndo maana hata huyo mfaransa unamjua Hadi jina lakini weusi wenzako Moors hujui hata majina Ya Viongozi wao... kichwani mwako unaona hao wafaransa wa maana Sana...
Una ongea Kwa furaha Sana kuwa weusi wenzako walipewa kipigo na hiyo Mzungu utasema we Mzungu...
Slavery mentality.... history ya kumponda mweusi huulizi facts..
Ukiona Tu Mzungu anapondwa unahamaki..
Wewe facts ulizo nazo ndio hizo za kwamba Moors walikuwa wabantu wa Senegal na kwamba walitawala Europe south ,middle ,west na mpaka north Kule kwa waslav Moldova ,Croatia NK ?
wtf are you on ,nigger ? Are you on meth or cocaine ?
Hiyo historia ya baba yako na ukoo wenu
 
Kuna watu weusi Wengi hizo nchi na masalia ya culture zao yapo Tele
Wewe uko brainwashed to think like that...sio kosa lako...na mapovu yanakutoka ukiona Mzungu anapondwa
Unaongea pumba ,please stop embarrassing yourself , huna unalojua kwenye history ,STF up,And I mean it ,wewe na huyo mwenzako baba mwajuma
 
Wewe facts ulizo nazo ndio hizo za kwamba Moors walikuwa wabantu wa Senegal na kwamba walitawala Europe south ,middle ,west na mpaka north Kule kwa waslav Moldova ,Croatia NK ?
wtf are you on ,nigger ? Are you on meth or cocaine ?
Hiyo historia ya baba yako na ukoo wenu
Inakuuma Sana ukisikia kuna wabantu walitawala Spain??
 
Unaongea pumba ,please stop embarrassing yourself , huna unalijua kwenye history ,stf ,And I mean it ,wewe na huyo mwenzako baba mwajuma
Wewe ndo Una embarrassing yourself...hakuna nilichoandika hapa kimetoka kichwani mwangu...
Google is your friend
 
Unachanganya sana mambo chief. Huwezi soma yote darasani, ni kweli. Hoja hapa ni kuwa nini kinachofundishwa kwenye mainstream education. Mtazamo wa historia umepindishwa maeneo mengi. Mfano, ukisoma Historia rasmi ya Mapunduzi ya Zanzibar, ni 'utumbo mtupu', hapo suala sio vitabu, suala nini kile wanaotoa elimu wanataka wapokeaji, waielewe historia.
Historia huandikwa na washindi....hivyo huweka wanachokitaka wao.
 
Just kusahihisha mkuu waarabu wengi hawakwenda spain, walikuwa wachache kwenye Rulling Elites, wengi walitoka Africa Berbers na weusi pia.

Term moors ina maanisha waisilamu, haijalishi rangi yake kuna thibitisho nyingi kihistoria ikitumika ufilipino (hadi leo), india na kwengineko. Watu Wa Mali, Niger na Nchi nyengine za kiisilamu west Africa pia waliitwa Moors.
Dark complexion au ngozi nyeusi ya rangi mnayoongelea sio justification ya kwamba baadhi ya hao Moors waliokuwa hivyo walikuwa kama wabantu wa subsaharan Africa , wale wa Tourage au waarabu weusi wa Sudan ,Mauritania nk unaweza kuwaita wabantu wale na kujivunia heritage yao kama ya mtu mweusi mbantu ?
You guys don't know what you are talking about
 
Back
Top Bottom