Moors: Watu weusi waliotawala Ulaya na kugeuza wazungu watumwa...

Moors: Watu weusi waliotawala Ulaya na kugeuza wazungu watumwa...

Sasa race nyeusi ilifeli wapi mpaka leo nchi maskini zipo huku kwetu?

Huo muingiliano wa watu uliishia wapi hadi kukawa na mataifa yenye race tofautitofauti?
Watu weusi wengi wana inferiority complex , hii ya kutaka kuclaim other societies glory ,no upumbavu na kukosa akili , hii inathibitisha jinsi tulivyo primitive
 
Watu weusi wengi wana inferiority complex , hii ya kutaka kuclaim other societies glory ,no upumbavu na kukosa akili , hii inathibitisha jinsi tulivyo primitive
Japo sijasoma hivyo vitabu wanavyojinasibu kuvisoma ila sidhani kama naweza kuviani aisee.

Kuporomoka gani huko mpaka tuwe makapuku hivi ilhali nchi tulizokua sawa nazo ziendelee kupepea, tulikosea wapi.

Sijui mtu mweusi alikua hivi akawa vile nk na mbaya zaidi Afrika mashariki haitajwi tajwi huko. Sisi ndo tulikua hohehahe since day one ama??
 
Deep down hapa watu wanatetea white men history Kwa sababu za kiimani baasi....deep down wanajua history ya Mzungu imejaa uongo lakini since Mzungu ndo wanamuabudu lazima wamtetee
Hakuna cha supremacy prove jinsi culture , architecture ,science na technology ya mbantu ilikuwa superior kuzidi ya communities au races nyingine ,acha kujificha kwenye kichaka cha upumbavu cha kuutumia vague word "mtu mweusi" ,who the fvck is mtu mweusi ,wayemen wapo weusi wengi kibao ,hao unaweza kuclaim glory yao ,hao waTourage nk , kwanza hata hawajiidentify kama Waafrika au black people ,
Wabantu wengi ni watu inferior Sana .Kama wewe ambaye baba zako walikuwa wanajifunika majani kama bushmen kabla ya mkoloni kuja ,na huo ndio ukweli ,jamii zote za subsaharan zilikuwa ni bushmen au maprimitive Tu kama wasandawe , tena ushukuru kuja kwa mtu mweupe
Jinga wewe
 
Sasa race nyeusi ilifeli wapi mpaka leo nchi maskini zipo huku kwetu?

Huo muingiliano wa watu uliishia wapi hadi kukawa na mataifa yenye race tofautitofauti?
Elimu mkuu,

Kuna fact moja ya ajabu sana nchi hii, Matajiri wengi ni Either hawajasoma sana ama hawajasoma mtaala wetu wa Necta, hii Elimu yetu inadumaza sana na Mitaala ni mibovu.

Nchi za Asia Mashariki zimeendelea Sana kwa kujikwamua na huu upuuzi, Elimu zao za makaratasi fupi sana watoto wadogo kabisa wamemaliza shule wanahamia vyuo na Elimu vitendo.

Elimu ya west inakuandaa kuja kuwatumikia Mabilionea, hutajikwamua hata siku moja usipokwepa huo mtego.
 
Japo sijasoma hivyo vitabu wanavyojinasibu kuvisoma ila sidhani kama naweza kuviani aisee.

Kuporomoka gani huko mpaka tuwe makapuku hivi ilhali nchi tulizokua sawa nazo ziendelee kupepea, tulikosea wapi.

Sijui mtu mweusi alikua hivi akawa vile nk na mbaya zaidi Afrika mashariki haitajwi tajwi huko. Sisi ndo tulikua hohehahe since day one ama??
Ukisoma Aksum Empire ilikuwa Empire kubwa Sana walitawala sehemu ya Arabuni nchi kama Yemen, sisi tukisoma Historia ya mtume tunaambiwa mtume alizaliwa mwaka wa Tembo, huu ni mwaka Ambao Abraha wa Aksum alikuwa anapiga Saudi ya sasa tokea Ethiopia ya sasa akiwa na jeshi la Tembo.

Imagine Hio distance toka Africa hadi saudia na Tembo, walisafiri nao vipi, waliwalishaje safari ndefu hivyo etc. Lilikuwa taifa kubwa lenye nguvu na major Historia wote wanakubaliana juu ya Hili.

Hii ramani ikionesha reach ya Aksum
images (4).jpeg

Hapo Aksum iliunganisha super power wengine kama China, Persia na Roma.

Pia kama hao jamaa wanavyobwabwaja pumba lugha za Ki Africa zilikuwepo na zimeandikwa na vitabu vipo sababu hatufundishwi haimaanishi havikuepo
images (5).jpeg

download.png


Hii ni Ge ez script iliotumika wakati wa aksum
 
Hakuna cha supremacy prove jinsi culture , architecture ,science na technology ya mbantu ilikuwa superior kuzidi ya communities au races nyingine ,acha kujificha kwenye kichaka cha upumbavu cha kuutumia vague word "mtu mweusi" ,who the fvck is mtu mweusi ,wayemen wapo weusi wengi kibao ,hao unaweza kuclaim glory yao ,hao waTourage nk , kwanza hata hawajiidentify kama Waafrika au black people ,
Wabantu wengi ni watu inferior Sana .Kama wewe ambaye baba zako walikuwa wanajifunika majani kama bushmen kabla ya mkoloni kuja ,na huo ndio ukweli ,jamii zote za subsaharan zilikuwa ni bushmen au maprimitive Tu kama wasandawe , tena ushukuru kuja kwa mtu mweupe
Jinga wewe

Why unakasirika Sana ukiambiwa wabantu walikuwa watawala??

Halafu kwahiyo wewe tatizo lako ni wabantu?weusi wengine huna tatizo nao??.. kwahiyo wasomali kwako sio weusi??

Naona umejaa matusi na hasira ...nyingi hutaki kabisa kusikia kuna wazungu walikuwa wanatawaliwa na watu weusi....hii self hate yako inatia simanzi....

Hapo Kilwa Tu Tanganyika hii hii wazungu wamekuja wamekuta kuna utawala wenye currency na wanafanya biashara Hadi India
Wewe aliekwambia watu weusi Mzungu alitukuta tunavaa majani nani?why unakasirika hata ukiletewa evidence??hebu katembea Kilwa ukaone mabaki ya civilization ingine ya watu weusi kabla Mzungu haijafika...

Unawajua waganda na history ya Kabaka??wazungu walimkuta Kabaka anavaa majani??

Wewe Mzungu kakukaririsha ulikuwa unavaa majani na hutaki hata kuhoji ukweli wake?

Yaani Kilwa na waganda wave nguzo halafu kwingineko kote tuvae majani?


Unaumwa ugonjwa gani???
 
Japo sijasoma hivyo vitabu wanavyojinasibu kuvisoma ila sidhani kama naweza kuviani aisee.

Kuporomoka gani huko mpaka tuwe makapuku hivi ilhali nchi tulizokua sawa nazo ziendelee kupepea, tulikosea wapi.

Sijui mtu mweusi alikua hivi akawa vile nk na mbaya zaidi Afrika mashariki haitajwi tajwi huko. Sisi ndo tulikua hohehahe since day one ama??
Kwahiyo mpaka Mzungu aandike history na aguse Africa mashariki ndo uamini??umewahi fika Kilwa??
Hujawahi kusoma lolote kuhusu Kilwa?
Utawala uliokuwa na currency yake na wanafanya biashara ya majahazi Hadi India??why usitembelee huko Kilwa ukajionee mwenyewe??
Huwezi kukuta Mzungu wa kukusimulia hayo Sana Sana utakuta uongo mtupu.....
 
Hakuna cha supremacy prove jinsi culture , architecture ,science na technology ya mbantu ilikuwa superior kuzidi ya communities au races nyingine ,acha kujificha kwenye kichaka cha upumbavu cha kuutumia vague word "mtu mweusi" ,who the fvck is mtu mweusi ,wayemen wapo weusi wengi kibao ,hao unaweza kuclaim glory yao ,hao waTourage nk , kwanza hata hawajiidentify kama Waafrika au black people ,
Wabantu wengi ni watu inferior Sana .Kama wewe ambaye baba zako walikuwa wanajifunika majani kama bushmen kabla ya mkoloni kuja ,na huo ndio ukweli ,jamii zote za subsaharan zilikuwa ni bushmen au maprimitive Tu kama wasandawe , tena ushukuru kuja kwa mtu mweupe
Jinga wewe


Screenshot_2023-04-20-19-55-27-914_com.android.chrome.jpg
 
Yaani watu weusi tuvae nguo kabla hata Yesu hajazaliwa ..tutawale Egypt..kabla Yesu hajazaliwa halafu anakuja mzungu kukwambia alitukuta tunavaa majani unaamini na kutokea na mapovu kabisa??
 
Hao National Geographic ni wazungu na ni very credible.....usije sema chanzo cha kuuokoteza
 
Japo sijasoma hivyo vitabu wanavyojinasibu kuvisoma ila sidhani kama naweza kuviani aisee.

Kuporomoka gani huko mpaka tuwe makapuku hivi ilhali nchi tulizokua sawa nazo ziendelee kupepea, tulikosea wapi.

Sijui mtu mweusi alikua hivi akawa vile nk na mbaya zaidi Afrika mashariki haitajwi tajwi huko. Sisi ndo tulikua hohehahe since day one ama??
.

Screenshot_2023-04-20-20-09-41-864_com.android.chrome.jpg
 
Humu jamii forum Kuna watu wachokonozi sana, Kuna baadhi ya ukweli unaficha kwa nguvu na pesa nyingi unapokuja na evidence zote hizi nashindwa kujua Hawa walinzi wako wapi saa hii


Watu wa Kilwa walikuwa wanafanya biashara Hadi Australia...kabla hata Muingereza hajaenda kule kuweka koloni...hatari sana..



Screenshot_2023-04-20-20-19-17-252_com.android.chrome.jpg
 
Japo sijasoma hivyo vitabu wanavyojinasibu kuvisoma ila sidhani kama naweza kuviani aisee.

Kuporomoka gani huko mpaka tuwe makapuku hivi ilhali nchi tulizokua sawa nazo ziendelee kupepea, tulikosea wapi.

Sijui mtu mweusi alikua hivi akawa vile nk na mbaya zaidi Afrika mashariki haitajwi tajwi huko. Sisi ndo tulikua hohehahe since day one ama??


Screenshot_2023-04-20-20-26-42-192_com.android.chrome.jpg
 
Wakati wa Roman empire kulikuwa na waafrika Wengi makamanda wa jeshi waliosifika waliotokea West Africa..


Screenshot_2023-04-20-20-30-33-956_com.android.chrome.jpg
 
Kumbe mji wa Marseille Ufaransa ulikuwa unaitwa "Masalia" na watu weusi
 
Back
Top Bottom