Moors: Watu weusi waliotawala Ulaya na kugeuza wazungu watumwa...

Moors: Watu weusi waliotawala Ulaya na kugeuza wazungu watumwa...

Wewe ndo Una embarrassing yourself...hakuna nilichoandika hapa kimetoka kichwani mwangu...
Google is your friend
Wewe ni ignorant Sana , too bad Una ubishi wa kijinga ,wewe facts ulizonazo ni hivyo vipamphrect vya Conspiracist kama Dr ,Ivan Satima ,umesomea hivyo vitini vya page 100 ,unajiona mwamba au sio ,jua Historia ni suala pana sana na so deep ,hii ninproffesion kabisa kama unavyoona uhandisi nk ,watu wako huko wanafanya tafiti na kuja na discoveries za kuchimbua masalia ya kale baada ya kufanya deep thinking and analysis of historical facts and possibilities ,
Sio kuja na vihadithi uchwara vya watu wenye akili fupi ,wewe unakariri na unajiona unajua historia , wewe kila kitu kwako unaona kila kitu kiko conspired na rigged against mtu mweusi , hao Mummies na discoveries zinazoendelea pale Egypt hizo historia walizotumia mpaka kuja kufanya hizo archeological discoveries ziliandikwa na mtu mweusi? Au kuna mtu mweusi aliyejua family tree na reigns za wale mafarao na maisha walioishi ?
Kutafsiri lugha za picha na hata kujua lugha ya mafarao wa kale ?
Jinga wewe
Get the f' outa here
 
Wewe ni ignorant Sana , too bad Una ubishi wa kijinga ,wewe facts ulizonazo ni hivyo vipamphrect vya Conspiracist kama Dr ,Ivan Satima ,umesomea hivyo vitini vya page 100 ,unajiona mwamba au sio ,jua Historia ni suala pana sana na so deep ,hii ninproffesion kabisa kama unavyoona uhandisi nk ,watu wako huko wanafanya tafiti na kuja na discoveries za kuchimbua masalia ya kale baada ya kufanya deep thinking and analysis of historical facts and possibilities ,
Sio kuja na vihadithi uchwara vya watu wenye akili fupi ,wewe unakariri na unajiona unajua historia , wewe kila kitu kwako unaona kila kitu kiko conspired na rigged against mtu mweusi , hao Mummies na discoveries zinazoendelea pale Egypt hizo historia walizotumia mpaka kuja kufanya hizo archeological discoveries ziliandikwa na mtu mweusi? Au kuna mtu mweusi aliyejua family tree na reigns za wale mafarao na maisha walioishi ?
Kutafsiri lugha za picha na hata kujua lugha ya mafarao wa kale ?
Jinga wewe
Get the f' outa here
Umepaniki Sana kuona wazungu ambao unawaabudu watu wameanza kuuujua ukweli.....

Call it conspiracy theories or whatever.....ukweli ni kwamba ukweli ni ukweli ....hata ukitokwa povu haitasaidia.....
 
Wewe ni ignorant Sana , too bad Una ubishi wa kijinga ,wewe facts ulizonazo ni hivyo vipamphrect vya Conspiracist kama Dr ,Ivan Satima ,umesomea hivyo vitini vya page 100 ,unajiona mwamba au sio ,jua Historia ni suala pana sana na so deep ,hii ninproffesion kabisa kama unavyoona uhandisi nk ,watu wako huko wanafanya tafiti na kuja na discoveries za kuchimbua masalia ya kale baada ya kufanya deep thinking and analysis of historical facts and possibilities ,
Sio kuja na vihadithi uchwara vya watu wenye akili fupi ,wewe unakariri na unajiona unajua historia , wewe kila kitu kwako unaona kila kitu kiko conspired na rigged against mtu mweusi , hao Mummies na discoveries zinazoendelea pale Egypt hizo historia walizotumia mpaka kuja kufanya hizo archeological discoveries ziliandikwa na mtu mweusi? Au kuna mtu mweusi aliyejua family tree na reigns za wale mafarao na maisha walioishi ?
Kutafsiri lugha za picha na hata kujua lugha ya mafarao wa kale ?
Jinga wewe
Get the f' outa here
Halafu hii topic ulipaswa ujibu thread sio kum attack muanzisha thread..
Inaonesha Tu jinsi ulivyo panick kuona Miungu yako watu weupe tunaivua nguo Kwa ukweli hapa
 
Dark complexion au ngozi nyeusi ya rangi mnayoongelea sio justification ya kwamba baadhi ya hao Moors waliokuwa hivyo walikuwa kama wabantu wa subsaharan Africa , wale wa Tourage au waarabu weusi wa Sudan ,Mauritania nk unaweza kuwaita wabantu wale na kujivunia heritage yao kama ya mtu mweusi mbantu ?
You guys don't know what you are talking about
Elewa nilichoandika ,huwezi kusema Moors ni black Africans na walitawala Europe kama wewe na huyo mwenzako mnavyopotosha humu , mimi nilichoandika hujaelewa ,mimi nimemaanisha na kuconclude hivi "huwezi kusema Moors ni black Africans na walitawala Europe" soma uelewe nilichoandika .
Hapo mwisho nimeandika hamna masalia ya hao black Africans hapo Spain na Portugal ninyi hardliners mnaoamini mtu mweusi alitawala Europe ,why leo baada ya miaka yote hiyo bado kua ustaarabu wa kiarabu hapo Southern Portugal na Spain ,kuanzia mavazi , races , architecture ,culture NK ? Ila huwezi kukuta ustaarabu wa kibantu hapo Southern Europe ,au nayo ilikuwa ni conspiracy ya kufuta historia ya mbantu hapo Europe ?
Jibuni hilo swali ,tupime logic yenu .mkishindwa kakojoeni mlale .Hamjadili na ngumbaru hapa .
-hamna masalia
Mkuu unatakiwa ufahamu Moors waliondoka ulaya kwa Massacre, swali lako ni kama unauliza kwanini watu weusi hawana Masalia Argentina, Crusaders waliwaua kule spain Moors na kuwaondoa wote, hadi leo historia wanaificha ficha sana kama link nilivyoeka juu,

-Moors si Black only
Kama comment zangu za Juu sijasema Moors wote ni watu weusi ila ni Mixture ya Race mbalimbali, kama unaamini Mali na Niger ni weusi pamoja na Nchi za west Africa basi walikuwepo pia Ulaya.

-Waisilamu walishirikiana
Ufahamu mkuu miaka hio kabla ya ukoloni waisilamu wote walishirikiana bila kujali rangi zao, wanapovamia sehemu ama wakivamiwa walipigana pamoja, kwa dola ya kiisilamu Mali kwenda ku conquer spain pamoja na berbers na waarabu why unaona ni jambo geni? Ushahid upo ukienda Granada leo kuna picha kibao zikionesha weusi walikuwepo pia na article zinasema Origin ni Mali na Niger.

-Black moors wapo hadi leo
Mataifa kama Mali, Senegal, Niger wapo, na ni Nomadic vile vile kama wamasai huku.
 
-hamna masalia
Mkuu unatakiwa ufahamu Moors waliondoka ulaya kwa Massacre, swali lako ni kama unauliza kwanini watu weusi hawana Masalia Argentina, Crusaders waliwaua kule spain Moors na kuwaondoa wote, hadi leo historia wanaificha ficha sana kama link nilivyoeka juu,

-Moors si Black only
Kama comment zangu za Juu sijasema Moors wote ni watu weusi ila ni Mixture ya Race mbalimbali, kama unaamini Mali na Niger ni weusi pamoja na Nchi za west Africa basi walikuwepo pia Ulaya.

-Waisilamu walishirikiana
Ufahamu mkuu miaka hio kabla ya ukoloni waisilamu wote walishirikiana bila kujali rangi zao, wanapovamia sehemu ama wakivamiwa walipigana pamoja, kwa dola ya kiisilamu Mali kwenda ku conquer spain pamoja na berbers na waarabu why unaona ni jambo geni? Ushahid upo ukienda Granada leo kuna picha kibao zikionesha weusi walikuwepo pia na article zinasema Origin ni Mali na Niger.

-Black moors wapo hadi leo
Mataifa kama Mali, Senegal, Niger wapo, na ni Nomadic vile vile kama wamasai huku.
Mnajicontradict sana ninyi Conspiracist , Hiyo massacre ilifanyika ikamaliza weusi wote ila ikabakia masalia ya waarabu na culture yao hapo Spain na Portugal au sio ? ,Hivi mnajielewa ninyi ? ,
Hizo picha zote mnazookoteza huko mitandaoni kwenye hiyo miji ya Seville ,Toledo ,Mallorca NK hizo ni architecture ,mavazi ,utamaduni na hata waarabu ambao ni vitukuu au descendants wa waarabu waliovamia Spain na Portugal wapo mpaka leo na wanatumia majina ya kiarabu na wanatumia dini ya kiislamu hapo hapo spain na ureno , hao black moors walienda wapi kama mnataka kutuaminisha ndio walikuwa frontrunners WA kampeni ya uvamizi hapo ulaya ?
Vita iliyowafurusha hao wavamizi hapo chini ya general Charles Martel kwenye battle ya southern France kuna masalia ya wavamizi walibakia na ndio hao waarabu ,hakuna salia la hao black moors ,je swali ni wapi wapo hao Black mpira hapo Europe ili kujustify hiyo claim yenu ?
Unaweza kuonyesha masalia ya black moors hapo Spain na Portugal ? ,Ukitoa wale wahamiaji toka makoloni ya ureno na Spain ?

Sijui hata mlikuwa mnabisha nini , nimeandika toka mwanzo suala la Moors msilifanye kuwa Black's glory ,wale black moors sipingi walikuwepo lakini si kwa kuwapa glory ambayo hawana ,wale walikuwa Mohammedans mercenaries WA dola za uarabuni kusambaza uislamu na wala hawana connection yoyote na ninyi weusi wabantu ,get that into your heads
 
Halafu hii topic ulipaswa ujibu thread sio kum attack muanzisha thread..
Inaonesha Tu jinsi ulivyo panick kuona Miungu yako watu weupe tunaivua nguo Kwa ukweli hapa
Kaa pembeni we ni poyoyo ,bora hata mwenzako ana jaribu kidogo kufanya reasoning kitu ambacho wewe huna
 
-hamna masalia
Mkuu unatakiwa ufahamu Moors waliondoka ulaya kwa Massacre, swali lako ni kama unauliza kwanini watu weusi hawana Masalia Argentina, Crusaders waliwaua kule spain Moors na kuwaondoa wote, hadi leo historia wanaificha ficha sana kama link nilivyoeka juu,

-Moors si Black only
Kama comment zangu za Juu sijasema Moors wote ni watu weusi ila ni Mixture ya Race mbalimbali, kama unaamini Mali na Niger ni weusi pamoja na Nchi za west Africa basi walikuwepo pia Ulaya.

-Waisilamu walishirikiana
Ufahamu mkuu miaka hio kabla ya ukoloni waisilamu wote walishirikiana bila kujali rangi zao, wanapovamia sehemu ama wakivamiwa walipigana pamoja, kwa dola ya kiisilamu Mali kwenda ku conquer spain pamoja na berbers na waarabu why unaona ni jambo geni? Ushahid upo ukienda Granada leo kuna picha kibao zikionesha weusi walikuwepo pia na article zinasema Origin ni Mali na Niger.

-Black moors wapo hadi leo
Mataifa kama Mali, Senegal, Niger wapo, na ni Nomadic vile vile kama wamasai huku.
Eti crusade ,unajua hata crusade ilipiganwa vipi wewe ? , Yaani crusade iue hao so called dark skinned moors hakafu iache Arab Moors ? 😁😁😁😁😁
Hahaaaa
 
Kaa pembeni we ni poyoyo ,bora hata mwenzako ana jaribu kidogo kufanya reasoning kitu ambacho wewe huna

Wewe ulichoweza ni personal attacks
Thread ina mpaka evidence za pictures za mabaki ya watu weusi huko Spain....kazi yako kubwa ni kum attack alieleta thread...lazima kuna sababu...nna uhakika kuna Taasisi hapa unaiwakilisha ambayo mabwana zenu wote wazungu...
History ya Mzungu kwenu ndo history isiyo na Shaka...ingine yeyote Ile tofauti na uliyopewa na Mzungu hamtaki ifahamike
 
Kaa pembeni we ni poyoyo ,bora hata mwenzako ana jaribu kidogo kufanya reasoning kitu ambacho wewe huna
Ungeanzisha thread yako basi
Sio uje thread niliyoanzisha Mimi kuleta ujuaji wako.....
 
-hamna masalia
Mkuu unatakiwa ufahamu Moors waliondoka ulaya kwa Massacre, swali lako ni kama unauliza kwanini watu weusi hawana Masalia Argentina, Crusaders waliwaua kule spain Moors na kuwaondoa wote, hadi leo historia wanaificha ficha sana kama link nilivyoeka juu,

-Moors si Black only
Kama comment zangu za Juu sijasema Moors wote ni watu weusi ila ni Mixture ya Race mbalimbali, kama unaamini Mali na Niger ni weusi pamoja na Nchi za west Africa basi walikuwepo pia Ulaya.

-Waisilamu walishirikiana
Ufahamu mkuu miaka hio kabla ya ukoloni waisilamu wote walishirikiana bila kujali rangi zao, wanapovamia sehemu ama wakivamiwa walipigana pamoja, kwa dola ya kiisilamu Mali kwenda ku conquer spain pamoja na berbers na waarabu why unaona ni jambo geni? Ushahid upo ukienda Granada leo kuna picha kibao zikionesha weusi walikuwepo pia na article zinasema Origin ni Mali na Niger.

-Black moors wapo hadi leo
Mataifa kama Mali, Senegal, Niger wapo, na ni Nomadic vile vile kama wamasai huku.
Ottoman empire ilikuwa na magavana Wengi weusi .. mpumbavu peke yake ndo anaamini Ottoman empire ilikuwa na Viongozi waarabu peke yake
 
Lisbon ,Iberian peninsula , Cordoba kuna strong culture ya wavamizi waarabu mpaka leo na actually Spain ilipewa kina la kiarabu Al -Andalusia na ilikuwa hivyo kwa muda mrefu mpaka akina king Alphonso ,Charles Martel walipoanza campaign ya kuwafurusha
 
Eti crusade ,unajua hata crusade ilipiganwa vipi wewe ? , Yaani crusade iue hao so called dark skinned moors hakafu iache Arab Moors ? 😁😁😁😁😁
Hahaaaa
Nani kasema imeacha? Walivamia pamoja wakaondolewa pamoja,
 
Wewe unapoongelea weusi unamaanisha watu gani?? Wahindi weusi na Aborigines wa Australia nao ni watu weusi kwako??
Kuna mahali uliwahi kusema Sudan ya kina Omar Al-Bashir nayo ni weusi sio Waarabu!
Ottoman empire ilikuwa na magavana Wengi weusi .. mpumbavu peke yake ndo anaamini Ottoman empire ilikuwa na Viongozi waarabu peke yake
 
Wewe unapoongelea weusi unamaanisha watu gani?? Wahindi weusi na Aborigines wa Australia nao ni watu weusi kwako??
Kuna mahali uliwahi kusema Sudan ya kina Omar Al-Bashir nayo ni weusi sio Waarabu!
Kwahiyo mtu Akiwa mweusi lakin anaongea kiarabu tunamwitaje?
Wewe labda nikuulize wasomali ni watu weusi ??wasudan sio watu weusi??
 
Mnajicontradict sana ninyi Conspiracist , Hiyo massacre ilifanyika ikamaliza weusi wote ila ikabakia masalia ya waarabu na culture yao hapo Spain na Portugal au sio ? ,Hivi mnajielewa ninyi ? ,
Usihamishe Magoli sijasema kokote masaccre ilikua ni ya weusi tupu, walifanyiwa waislamu wote bila kujali Rangi zao,
Hizo picha zote mnazookoteza huko mitandaoni kwenye hiyo miji ya Seville ,Toledo ,Mallorca NK hizo ni architecture ,mavazi ,utamaduni na hata waarabu ambao ni vitukuu au descendants wa waarabu waliovamia Spain na Portugal wapo mpaka leo na wanatumia majina ya kiarabu na wanatumia dini ya kiislamu hapo hapo spain na ureno , hao black moors walienda wapi kama mnataka kutuaminisha ndio walikuwa frontrunners WA kampeni ya uvamizi hapo ulaya ?
Utamaduni wa waislamu ni mmoja, haijalishi walikua Mali ama Saudia, kulikua na Variance, waarabu walikua wachache Spain wengi walitoka Africa both weusi na Amazingh/Berbers wa Africa kaskazini. Ukienda Leo Timbuktu Mali utakuta Masalia Yale Yale kama Arabuni ya kale.
Vita iliyowafurusha hao wavamizi hapo chini ya general Charles Martel kwenye battle ya southern France kuna masalia ya wavamizi walibakia na ndio hao waarabu ,hakuna salia la hao black moors ,je swali ni wapi wapo hao Black mpira hapo Europe ili kujustify hiyo claim yenu ?
Unaweza kuonyesha masalia ya black moors hapo Spain na Portugal ? ,Ukitoa wale wahamiaji toka makoloni ya ureno na Spain ?
Baada ya wafalme wanne wa Moors kukatwa Vichwa Kuna bendera maarufu inaitwa Corsica
flag/Coat of arms ipo hivi

612px-Gelre_Folio_62r.jpg

Isome zaidi hapa

Pia upo Ushahidi wa DNA,

Two burials in the study were revealed to have high levels of black African ancestry. Both of the individuals were from Granada in southwest Spain, where the last Muslim emirate held out until it was conquered by Christians in 1492. One of the people came from a 10th Century cemetery where bodies were buried in the Islamic tradition - oriented in the direction of Mecca. The other individual is from the 16th Century, after the Christian conquest of Granada. This woman is thought to be from the Morisco community - former Muslims who converted to Christianity (only to be expelled from Spain later on).

Hii imetoka BBC

Hivyo mkuu kukataa kwamba weusi hawakwenda Spain ni kubisha tu Kuna evidence nyingi Mno.
Sijui hata mlikuwa mnabisha nini , nimeandika toka mwanzo suala la Moors msilifanye kuwa Black's glory ,wale black moors sipingi walikuwepo lakini si kwa kuwapa glory ambayo hawana ,wale walikuwa Mohammedans mercenaries WA dola za uarabuni kusambaza uislamu na wala hawana connection yoyote na ninyi weusi wabantu ,get that into your heads
Waislamu mkuu ni Waislamu ndio Maana Nyie jamaa hamuelewi, ukisoma Historia ya waislamu utaelewa.

Wakati East Africa inapigana na mreno hawa si wabantu? Ottoman walituma Jeshi sababu kulikua na Waislam hapa wanateswa, japo Ottoman baadae walipigwa na Oman ndio akampiga mreno.

Kwa miaka zaidi ya 1000 Dola ya kiisilamu iliundwa na Race mbalimbali ukisoma Historia watu weusi hadi Mecca walikua Viongozi achana na Spain, sasa kama waarabu walikubali mtu mweusi aongoze Mecca kipi cha Ajabu Spain chini ya Dola ya kiisilamu kuwa na watu weusi?
 
Usihamishe Magoli sijasema kokote masaccre ilikua ni ya weusi tupu, walifanyiwa waislamu wote bila kujali Rangi zao,

Utamaduni wa waislamu ni mmoja, haijalishi walikua Mali ama Saudia, kulikua na Variance, waarabu walikua wachache Spain wengi walitoka Africa both weusi na Amazingh/Berbers wa Africa kaskazini. Ukienda Leo Timbuktu Mali utakuta Masalia Yale Yale kama Arabuni ya kale.

Baada ya wafalme wanne wa Moors kukatwa Vichwa Kuna bendera maarufu inaitwa Corsica
flag/Coat of arms ipo hivi

View attachment 2594140
Isome zaidi hapa

Pia upo Ushahidi wa DNA,

Two burials in the study were revealed to have high levels of black African ancestry. Both of the individuals were from Granada in southwest Spain, where the last Muslim emirate held out until it was conquered by Christians in 1492. One of the people came from a 10th Century cemetery where bodies were buried in the Islamic tradition - oriented in the direction of Mecca. The other individual is from the 16th Century, after the Christian conquest of Granada. This woman is thought to be from the Morisco community - former Muslims who converted to Christianity (only to be expelled from Spain later on).

Hii imetoka BBC

Hivyo mkuu kukataa kwamba weusi hawakwenda Spain ni kubisha tu Kuna evidence nyingi Mno.

Waislamu mkuu ni Waislamu ndio Maana Nyie jamaa hamuelewi, ukisoma Historia ya waislamu utaelewa.

Wakati East Africa inapigana na mreno hawa si wabantu? Ottoman walituma Jeshi sababu kulikua na Waislam hapa wanateswa, japo Ottoman baadae walipigwa na Oman ndio akampiga mreno.

Kwa miaka zaidi ya 1000 Dola ya kiisilamu iliundwa na Race mbalimbali ukisoma Historia watu weusi hadi Mecca walikua Viongozi achana na Spain, sasa kama waarabu walikubali mtu mweusi aongoze Mecca kipi cha Ajabu Spain chini ya Dola ya kiisilamu kuwa na watu weusi?

Deep down hapa watu wanatetea white men history Kwa sababu za kiimani baasi....deep down wanajua history ya Mzungu imejaa uongo lakini since Mzungu ndo wanamuabudu lazima wamtetee
 
Sasa race nyeusi ilifeli wapi mpaka leo nchi maskini zipo huku kwetu?

Huo muingiliano wa watu uliishia wapi hadi kukawa na mataifa yenye race tofautitofauti?
 
We ni fala kuna evidence gani ya ex
Wewe ulichoweza ni personal attacks
Thread ina mpaka evidence za pictures za mabaki ya watu weusi huko Spain....kazi yako kubwa ni kum attack alieleta thread...lazima kuna sababu...nna uhakika kuna Taasisi hapa unaiwakilisha ambayo mabwana zenu wote wazungu...
History ya Mzungu kwenu ndo history isiyo na Shaka...ingine yeyote Ile tofauti na uliyopewa na Mzungu hamtaki ifahamike
We kumbe taahira kuna evidence gani ya existance ya watu weusi hapo Southern Europe hao mnaoiya black moors , kwenye hayo makucha ya kuokoteza mtandaoni
Bloody fool
 
Back
Top Bottom