Wewe ni ignorant Sana , too bad Una ubishi wa kijinga ,wewe facts ulizonazo ni hivyo vipamphrect vya Conspiracist kama Dr ,Ivan Satima ,umesomea hivyo vitini vya page 100 ,unajiona mwamba au sio ,jua Historia ni suala pana sana na so deep ,hii ninproffesion kabisa kama unavyoona uhandisi nk ,watu wako huko wanafanya tafiti na kuja na discoveries za kuchimbua masalia ya kale baada ya kufanya deep thinking and analysis of historical facts and possibilities ,Wewe ndo Una embarrassing yourself...hakuna nilichoandika hapa kimetoka kichwani mwangu...
Google is your friend
Sio kuja na vihadithi uchwara vya watu wenye akili fupi ,wewe unakariri na unajiona unajua historia , wewe kila kitu kwako unaona kila kitu kiko conspired na rigged against mtu mweusi , hao Mummies na discoveries zinazoendelea pale Egypt hizo historia walizotumia mpaka kuja kufanya hizo archeological discoveries ziliandikwa na mtu mweusi? Au kuna mtu mweusi aliyejua family tree na reigns za wale mafarao na maisha walioishi ?
Kutafsiri lugha za picha na hata kujua lugha ya mafarao wa kale ?
Jinga wewe
Get the f' outa here