Morocco ilijitoa Afrika ikajiomba kujiunga Ulaya ila wazungu wakaikataa. Hii inatufundisha nini?

Morocco ilijitoa Afrika ikajiomba kujiunga Ulaya ila wazungu wakaikataa. Hii inatufundisha nini?

uwe hodari

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
4,045
Reaction score
8,608
Ndugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu.

Miaka ya 1980s nchi pendwa ya Morocco ilijitoa kwenye muungano wa Afrika kwa kuona wao hawana hadhi ya kukaa na waafrika hadhi yao ni wazungu.

Wakaanza mchakato wa kusubmit paper za kujiunga Umoja wa Ulaya. Zile paper zilijibiwa ndani ya wiki moja kuwa hatuwataki nyie sio wenzetu.

Walipokosa pa kwenda wakajirudi Afrika kwa aibu wakapokelewa.

Cyprus ipo mbali na Ulaya lkn ni mwanachama wa umoja wa ulaya hawa ndugu zetu Morroco ulaya ni kama uani tu lkn wametoswa

Mwenye kujua zaidi atujuze ndugu zangu kwanini walikataliwa kujiunga na umoja wa Ulaya.
 
Ningekuwa na Mamlaka ningeiomba Marekani iichukuwe Tanzania liwe jimbo la 53 la Marekani na Watanzania wote automatically wanakuwa Wamarekani.

Morocco walikuwa sahihi, ila ukiwa kichwa maji huwezi kuliona hilo.
Naomba niwe kichwa maji hapa

Naomba unieleweshe kwanini unasema hivyo
 
Hizo ni sababu za kuficha aibu baada ya kukataliwa ulaya ndugu yangu
Usipotoshe tafadhali Morocco ilijitoa baada ya umoja wa Africa kuunga mkono jamhuri ya saharawi ambayo Morocco inaichukulia kama eneo lake.msipende kuandika umbeya
 
Kama morocco alikuwa sahihi mbona alitoswa!
Ningekuwa na Mamlaka ningeiomba Marekani iichukuwe Tanzania liwe jimbo la 53 la Marekani na Watanzania wote automatically wanakuwa Wamarekani.

Morocco walikuwa sahihi, ila ukiwa kichwa maji huwezi kuliona hilo.
 
Ningekuwa na Mamlaka ningeiomba Marekani iichukuwe Tanzania liwe jimbo la 53 la Marekani na Watanzania wote automatically wanakuwa Wamarekani.

Morocco walikuwa sahihi, ila ukiwa kichwa maji huwezi kuliona hilo.
Morocco wapo sahihi ,na wataendelea kuwa sahihi
 
Sasa wao sio wazungu wala hawana culture ya wazungu.. Umoja wa Ulaya sifa kuu ni kuwa mkristu au kufuata tamaduni za kikristu.. Ndio maana Uturuki hawezi kuingia umoja wa Ulaya. Kwanza wana beef kuwa la kihistoria na wazungu wa Ulaya ottoman aliwachachafya sana
 
Back
Top Bottom