mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kwanza kutoka Morocco Mpaka Spain sio karibu unavyofikiria.
Mipaka inajieleza.
Wamoroco HAWANA akili.
Mipaka inajieleza.
Wamoroco HAWANA akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kukaribiana kwa ujinga na wewe unayezusha vitu vya kufikirika. Kuwa Africa na kuwa Ulaya ni mgawanyo wa kijografia ambao huwezi kujitoa na kujiunga na bara lingine maana huwezi kuhamisha ardhi. Walikuwa wanataka kujiunga Ulaya kwa namna gani. Morocco wenyewe hawakutaka kuwa Africa ilitokea ardhi yao iko Africa wanawezaje kujitoa Africa? Acha uzushi na upotoshaji.
Nimekupa mfano cyprus na israel zipo umoja wa ulaya lkn kijografia hazipo ulaya
Na ni kweli morocco waliomba kujiunga ila wakatoswa
Sasa km hujui hilo jiite mjinga
Unajua Kama Cyprus ni kisiwa?
Nafahamu
Ndio mana nikasema hiki ni kipindi cha kuwa makini watu wa kujadiliana nao.Tumia akili basi ethiopia pamoja na kuwa ni pembe ya africa lkn ni rahisi kufikika na nchi zote kama ipo katikati tu
Burundi ipo africa ya kati lkn pia inaweza kuwepo africa mashariki
Cameroon ipo africa magharibi lkn inaweza kuwepo africa ya Kati
Tumia akili acha kukariri kile kitabu tu
Dogo Acha bangi mara ya pili hii nakwambiaMbona israel na cyprus zipo Asia
Dogo Acha bangi mara ya pili hii nakwambia
Ndio mana nikasema hiki ni kipindi cha kuwa makini watu wa kujadiliana nao.
Mkiwa likizo kwa waume wa dada zenu vijana mnakua wapumbavu kabisa.
Nimekuuliza maswali simple unaruka ruka tu kama punda.
Usijali mkimaliza likizo na kurudi mashule huu upuuzi utapungua humu JFUmeuliza maswali simple au umeuliza ujinga?
Punguza kukariri kile kitabu utaharibikiwa
Usijali mkimaliza likizo na kurudi mashule huu upuuzi utapungua humu JF
Ethiopia ipo katikati!Uongo wa nn makuu ethiopia ni karibu kwa kila nchi kwa kuwa ipo katikati
Ukijiona upo sahihi na wakati huo huo usahihi unaouona unategemea na maamuzi ya wengine, basi haupo sahihiNingekuwa na Mamlaka ningeiomba Marekani iichukuwe Tanzania liwe jimbo la 53 la Marekani na Watanzania wote automatically wanakuwa Wamarekani.
Morocco walikuwa sahihi, ila ukiwa kichwa maji huwezi kuliona hilo.
Hii inatufundisha kwamba Afrika bado ni shithole, nchi hazitaki kufungamanishwa na Afrika.Ndugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu.
Miaka ya 1980s nchi pendwa ya Morocco ilijitoa kwenye muungano wa Afrika kwa kuona wao hawana hadhi ya kukaa na waafrika hadhi yao ni wazungu.
Wakaanza mchakato wa kusubmit paper za kujiunga Umoja wa Ulaya. Zile paper zilijibiwa ndani ya wiki moja kuwa hatuwataki nyie sio wenzetu.
Walipokosa pa kwenda wakajirudi Afrika kwa aibu wakapokelewa.
Cyprus ipo mbali na Ulaya lkn ni mwanachama wa umoja wa ulaya hawa ndugu zetu Morroco ulaya ni kama uani tu lkn wametoswa
Mwenye kujua zaidi atujuze ndugu zangu kwanini walikataliwa kujiunga na umoja wa Ulaya.
Wenyewe wanasema wale siyo waarabu. Ni wa kabila la berbers na mchanganyiko wa southern europe (Spain, France, Portugal). Asilimia ya uarabu ni ndogo sana na lugha ile imetokana na influence ya utawala wa waarabu.Walikataliwa Kwa sababu ni waarabu.
Gringo wacha porojo jamvini.Siyo waarabu tu bali wanamuimbia na kumpigia kelele mungu wao kwa kiarabu.
NoWalikataliwa Kwa sababu ni waarabu.
Akirudi tena nishtue [emoji3][emoji3]View attachment 2449800
View attachment 2449801
15 hr 34 min (1,331.4 km) via A-4
View attachment 2449802
135 hr (8,415.0 km) via A1