Morocco ilijitoa Afrika ikajiomba kujiunga Ulaya ila wazungu wakaikataa. Hii inatufundisha nini?

Morocco ilijitoa Afrika ikajiomba kujiunga Ulaya ila wazungu wakaikataa. Hii inatufundisha nini?

Kwanza kutoka Morocco Mpaka Spain sio karibu unavyofikiria.
Mipaka inajieleza.
Wamoroco HAWANA akili.
Screenshot_20221217-182900.jpg
 
Nimekupa mfano cyprus na israel zipo umoja wa ulaya lkn kijografia hazipo asia

Na ni kweli morocco waliomba kujiunga ila wakatoswa

Sasa km hujui hilo jiite mjinga
Siwezi kukaribiana kwa ujinga na wewe unayezusha vitu vya kufikirika. Kuwa Africa na kuwa Ulaya ni mgawanyo wa kijografia ambao huwezi kujitoa na kujiunga na bara lingine maana huwezi kuhamisha ardhi. Walikuwa wanataka kujiunga Ulaya kwa namna gani. Morocco wenyewe hawakutaka kuwa Africa ilitokea ardhi yao iko Africa wanawezaje kujitoa Africa? Acha uzushi na upotoshaji.
 
Unajua Kama Cyprus ni kisiwa?
Nimekupa mfano cyprus na israel zipo umoja wa ulaya lkn kijografia hazipo ulaya

Na ni kweli morocco waliomba kujiunga ila wakatoswa

Sasa km hujui hilo jiite mjinga
 
Eti kutoka Morocco kwenda Ethiopia ni karibu tu

Acha wenge
 
Tumia akili basi ethiopia pamoja na kuwa ni pembe ya africa lkn ni rahisi kufikika na nchi zote kama ipo katikati tu

Burundi ipo africa ya kati lkn pia inaweza kuwepo africa mashariki

Cameroon ipo africa magharibi lkn inaweza kuwepo africa ya Kati

Tumia akili acha kukariri kile kitabu tu
Ndio mana nikasema hiki ni kipindi cha kuwa makini watu wa kujadiliana nao.

Mkiwa likizo kwa waume wa dada zenu vijana mnakua wapumbavu kabisa.

Nimekuuliza maswali simple unaruka ruka tu kama punda.
 
Umeuliza maswali simple au umeuliza ujinga?
Punguza kukariri kile kitabu utaharibikiwa
Ndio mana nikasema hiki ni kipindi cha kuwa makini watu wa kujadiliana nao.

Mkiwa likizo kwa waume wa dada zenu vijana mnakua wapumbavu kabisa.

Nimekuuliza maswali simple unaruka ruka tu kama punda.
 
Ningekuwa na Mamlaka ningeiomba Marekani iichukuwe Tanzania liwe jimbo la 53 la Marekani na Watanzania wote automatically wanakuwa Wamarekani.

Morocco walikuwa sahihi, ila ukiwa kichwa maji huwezi kuliona hilo.
Ukijiona upo sahihi na wakati huo huo usahihi unaouona unategemea na maamuzi ya wengine, basi haupo sahihi
 
Ndugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu.

Miaka ya 1980s nchi pendwa ya Morocco ilijitoa kwenye muungano wa Afrika kwa kuona wao hawana hadhi ya kukaa na waafrika hadhi yao ni wazungu.

Wakaanza mchakato wa kusubmit paper za kujiunga Umoja wa Ulaya. Zile paper zilijibiwa ndani ya wiki moja kuwa hatuwataki nyie sio wenzetu.

Walipokosa pa kwenda wakajirudi Afrika kwa aibu wakapokelewa.

Cyprus ipo mbali na Ulaya lkn ni mwanachama wa umoja wa ulaya hawa ndugu zetu Morroco ulaya ni kama uani tu lkn wametoswa

Mwenye kujua zaidi atujuze ndugu zangu kwanini walikataliwa kujiunga na umoja wa Ulaya.
Hii inatufundisha kwamba Afrika bado ni shithole, nchi hazitaki kufungamanishwa na Afrika.
 
Walikataliwa Kwa sababu ni waarabu.
Wenyewe wanasema wale siyo waarabu. Ni wa kabila la berbers na mchanganyiko wa southern europe (Spain, France, Portugal). Asilimia ya uarabu ni ndogo sana na lugha ile imetokana na influence ya utawala wa waarabu.

Waarabu hasa ni wa Emirates, Iraq, Kuweit, Saudia, Jordan.
 
Jamani wa Morocco sio waafrica,African is for black people,hao mnaoona wamewakana wamesema Ukweli huku walikuja babu zao kufanya biashara ya utumwa tu,waachen warudi kwao huko
 
Back
Top Bottom