Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Mimi ndiyo nikuulize wewe mkuuBirmingham na Gwajima tangu 2020!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ndiyo nikuulize wewe mkuuBirmingham na Gwajima tangu 2020!
Dah huna unachokijua aisee naona umeandika uongo mtupuNdugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu.
Miaka ya 1980s nchi pendwa ya morocco ilijitoa kwenye muungano wa Africa kww kuona wao hawana hadhi ya kukaa na waafrika hadhi yao ni wazungu.
Wakaanza mchakato wa kusubmit paper za kujiunga umoja wa ulaya. Zile paper zilijibiwa ndani ya wiki moja kuwa hatuwataki nyie sio wenzetu.
Walipokosa pa kwenda wakajirudi africa kwa aibu wakapokelewa.
Cyprus ipo mbali na ulaya lkn ni mwanachama wa umoja wa ulaya hawa ndugu zetu morroco ulaya ni km uani tu lkn wametoswa
Mwenye kujua zaidi atujuze ndugu zangu kwanini walikataliwa kujiunga na umoja wa Ulaya.
Sasa nchi ipo Africa itakuaje ulaya? Dogo acha bangi na hili jua.Swali halijajibiwa kwanini walikataliwa kujiunga ulaya
Israel ipo Asia kaka laminitis ipo umoja wa Ulaya. Nafikiri kuna sababu nyingine.Sasa nchi ipo Africa itakuaje ulaya? Dogo acha bangi na hili jua.
Ndugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu.
Miaka ya 1980s nchi pendwa ya morocco ilijitoa kwenye muungano wa Africa kww kuona wao hawana hadhi ya kukaa na waafrika hadhi yao ni wazungu.
Wakaanza mchakato wa kusubmit paper za kujiunga umoja wa ulaya. Zile paper zilijibiwa ndani ya wiki moja kuwa hatuwataki nyie sio wenzetu.
Walipokosa pa kwenda wakajirudi africa kwa aibu wakapokelewa.
Cyprus ipo mbali na ulaya lkn ni mwanachama wa umoja wa ulaya hawa ndugu zetu morroco ulaya ni km uani tu lkn wametoswa
Mwenye kujua zaidi atujuze ndugu zangu kwanini walikataliwa kujiunga na umoja wa Ulaya.
Duh!...unatumia ramani gani ?Ndugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu.
Hebu taja hiyo sababu nyingine. Maana sababu ya kukataliwa na eu ni kuwa ipo bara la Africa. Tutajie hiyo nyingine tuijueIsrael ipo Asia kaka laminitis ipo umoja wa Ulaya. Nafikiri kuna sababu nyingine.
Usipotoshe tafadhali Morocco ilijitoa baada ya umoja wa Africa kuunga mkono jamhuri ya saharawi ambayo Morocco inaichukulia kama eneo lake.msipende kuandika umbeya
Kwa nini sio Central Africa Republic?Ethiopia ni katikati ya africa
Siyo waarabu tu bali wanamuimbia na kumpigia kelele mungu wao kwa kiarabu.Walikataliwa Kwa sababu ni waarabu.
Kwa nini sio Central Africa Republic?
Umetumia vigezo gani kusema Ethiopia ni katikati ya Africa?
Please share hizo vigezo na wengine tujifunze kitu
Sasa nchi ipo Africa itakuaje ulaya? Dogo acha bangi na hili jua.
Kwasababu Morocco ipo katika bara la Africa isingewezekana ikubaliwe kujiunga na nchi zilizopo kwenye umoja wa bara jingine.
Ukisema uongo nani anakulipa posho? Hebu kastaarabike acha mauzushi na mauongo ya kipuuzi.Ndugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu.
Miaka ya 1980s nchi pendwa ya Morocco ilijitoa kwenye muungano wa Afrika kwa kuona wao hawana hadhi ya kukaa na waafrika hadhi yao ni wazungu.
Wakaanza mchakato wa kusubmit paper za kujiunga Umoja wa Ulaya. Zile paper zilijibiwa ndani ya wiki moja kuwa hatuwataki nyie sio wenzetu.
Walipokosa pa kwenda wakajirudi Afrika kwa aibu wakapokelewa.
Cyprus ipo mbali na Ulaya lkn ni mwanachama wa umoja wa ulaya hawa ndugu zetu Morroco ulaya ni kama uani tu lkn wametoswa
Mwenye kujua zaidi atujuze ndugu zangu kwanini walikataliwa kujiunga na umoja wa Ulaya.
Tuwaulize nini sasa?Tuwaulize morocco walioenda kuomba kujiunga ulaya wakatoswa
Ukisema uongo nani anakulipa posho? Hebu kastaarabike acha mauzushi na mauongo ya kipuuzi.
Tuwaulize nini sasa?
Siwezi kukaribiana kwa ujinga na wewe unayezusha vitu vya kufikirika. Kuwa Africa na kuwa Ulaya ni mgawanyo wa kijografia ambao huwezi kujitoa na kujiunga na bara lingine maana huwezi kuhamisha ardhi. Walikuwa wanataka kujiunga Ulaya kwa namna gani. Morocco wenyewe hawakutaka kuwa Africa ilitokea ardhi yao iko Africa wanawezaje kujitoa Africa? Acha uzushi na upotoshaji.Uongo ni upi
Kwamba morocco hakujiondoa africa?
Kwamba morocco hakuomba kujiunga ulaya akatoswa?
Nadhani anaestahili kuwa mjinga ni wewe