Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Alikuwa NICE GUY kwake yeye ni mkewe tu.

Mwanamke akishachange kachange, huwa hasikii, haoni, haambiliki na hana hata chembe ya huruma. Ikishafikia hatua hiyo usalama wako ni kuachana nae tu ila ukisema unakomaa nae umbadilishe jua fika umekwisha.
To all loyal guys out there kung’ang’ania kitu kisicho kutaka mwishowe itakueletea shida either kiafya au utaish maisha ya mateso for so long
na pia usiwe nice guy sana, as the gambler said “know when to walk, when to run”
 
Utamrudia 😄

Ova
Kaka haiwezekani, licha ya kuwa malaya ni wale watu wa matumizi makubwa, watunzaji sana shereheni na akiwa na wenzake atajigamba nimempata boya, hakujua mhuni taarifa zake zote napata moja kwa moja
Nilimtema kistaarabu hivyo ili hata angeenda popote asingeweza niharibia vidili vyangu kipindi kile
 
Ulitumia akili na utulivu sana

Ukitumia hivyo vitu viwili lazima

Ushinde vita

Ova
 
Hii njia uliyotumia itamuumiza zaidi ya ile ya kumfukuza kwa mateke na matusi.
 
Yani umefanya vizuri Sana yani mwanamke akichepuka ni dharau kubwa Sana" alafu akiwa anapigwa miti na mchepuko wake hua wanasema. Yule baba fulani yani hana lolote nyumbani walinifosi tu kuolewa nae mimi nakupenda wewe Tu😄😄
 
To all loyal guys out there kung’ang’ania kitu kisicho kutaka mwishowe itakueletea shida either kiafya au utaish maisha ya mateso for so long
na pia usiwe nice guy sana, as the gambler said “know when to walk, when to run”
well said mkuu, wasipoelewa basi.
 
Yani umefanya vizuri Sana yani mwanamke akichepuka ni dharau kubwa Sana" alafu akiwa anapigwa miti na mchepuko wake hua wanasema. Yule baba fulani yani hana lolote nyumbani walinifosi tu kuolewa nae mimi nakupenda wewe Tu😄😄
Kama ulikuwepo. Yaani wanawake wa aina hii wakiwa na mchepuko wake wanatoa kashfa sana kwa waume zao.
 
Ungekua umeoa wala usingeongea hii kauli
Ukijazwa unajazwa haijalishi nimeoa au sijaoa, HIO sababu ndio iliyomfanya bro wangu azae na wanawake 7 tofauti mikoa tofauti tofauti akikanyaga Singida anaacha mtoto, Tabora anaacha mtoto, Mwanza anaacha mtoto, Mbeya anaacha mtoto, Sumbawanga anaacha mtoto, Morogoro anaacha mtoto, Ntwara anaacha mtoto, Ruvuma anaacha mtoto, yaan hivyo kila Mkoa akikanyaga anaacha na mtoto huko huko sasa idadi ya watoto imekua nyingi mpaka haelewi itakuaje na mke wake kazaa nae watoto 6 kamili, usiniulize maswali mengine ya kipumbavu najua ninachokiandika
 
Hapo utakuwa huna familia na utadharauka sana. NB: kuna jamaa namjua anafanya hivi hivi unavyosema.
Mfano Hai ninao Mimi kwa HIO najua ninachokiandika Dawa ya Mwanamke anaekitembeza kigozi ni kwenda nae Sawa tu akiwe Mguu unaweka Jiwe hapo mtaenda Sawa yaan hamtogombana wala vurugu zingine sababu yeye mwenyewe anajua na anaelewa hakutendei haki kwa HIO hata akisikia una watoto huko nje hawezi kushangaa sababu anajua watoto wengine aliokuzalia sio wa kwako wewe ni Baba mlezi tu Baba halisi yupo huko nje
 
Kwani hayo maelezo ya mwanamke kuhusika na kifo cha mumewe ni yakwangu? Hayo ni maelezo ya polisi
 
ila nisijue, nikijua nitachukua maamuzi magumu
Kuchapiwa ni Siri ya Ndani Wahuni wana msemo wao unaonekana wa kijinga Ila inamaana sana unaambiwa "ukiona Kausha" yaan ukiona mkeo anagongwa Kausha acha kelele mingi usije ikawa unajichimbia Kaburi mwenyewe na mikono yako
 
Halafu watu huwa wanajidanganya jamaniii hata uwe na jidudee kubwaaa kama la punda kama umeoa Mwanamke ambaye si muaminifu ni kazi bure 😁😁
Tatizo sisi wanaume tunajiona tunawafahamu sana wanawake! Upo sahihi na kwa vile wewe ni mama! Halafu dunia hii ya ajabu. Ukiwa na jidude mkeo atatamani kibamia. Ukiwa na kibamia mkeo atatamani jidude!
 
Boda wanaendelea kutafuna vinono Mbozi: Mke amuua Mume Wake akishirikiana na Mchepuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…