Morogoro: Bodaboda wawili wafariki dunia kwa kugongwa na Lori

Leo hii njia ya moro ajali kibao, mikese tena nimekutana na ajali ya roli la mafuta wamegongana na gari ndogo ipo nyanganyanga, na vijana wanachota wese
Yaani hatukomi kuhusu kuchota wese
 
Tanzania hatuna freeway ndugu.
 
Aisee maisha ni mafupi nimepita Bwawani -Moro mida hii ya saa 1 jioni kuna bodaboda wawili wamekanyagwa vibaya sana na lorry, kiufupi wamekufa, yaani vichwa havieleweki.

Msinidai picha nimeshindwa kupiga
ALIYEUFANYA USAFIRI WA BODABODA KUWA WA KIBISHARA hakika anawamaliza Vijana wetu
 
Boda huwa nawahurumia sana,,ila sometimes wanakera kwakweli. Mfano Highways/barabara kuu wamewekewa njia zao kwa pembeni wao na PACHA zao daladala za baiskeli lakini wengi wao hawatumii njia hizo,, aise wasipojirekebisha wataendelea kufa.

Waabheja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…