Morogoro Day Trip: Kwa Wakazi wa Dar & Pwani

Memories zake hazifutiki milele aisee. Sio kama ukienda Bar, kesho tu ushasahau.
 
Daah punguza strees mkuu utakua na busara ndio msingi mkuu wa maisha ya binadamu yaani ukitaka kusafiri mpaka uone Uzi JF jua hapo una tatizo zaidi ya Tatizo wengine tushaimaliza Tanzania kuanzia Liwale mpaka Bukoba hizo Mbuga nafanya kuzirudia maana ndio field yangu...
 
Morning site kitaambo dah,, wakati tuko primary enz hizo tulitembea sana huko juu,, tulikuwa tunachokoza ile mimbwa ya kizungu alafu tunakimbia 🀣,, unarudi home shat jekundu πŸ˜‚,,

Mwezi mtukufu tulikuwa tunashinda huko juu,, cheze maji lakini wapi swaum iko palepale πŸ₯Ί,,

Sijafika pale kwa kilele mnarani,,,

Ila kwingine tayar,,

Safi mtoa mada wapeleke wakajionee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…