Morogoro: Fumanizi la Wapenzi lasababisha kifo

Bodaboda hela tunapata tatizo chupi
 
Kila siku hili linazungumzwa usilale kwa mwanamke ila watu hawasikii
 
Vitoto vya kipindi hiki sijui vina nini, miaka20 anaenda ozea jela kisa mapenzi 😞😞 so sad.
 
Unawasingizia tu bodaboda, tatizo ni umaskini na tamaa za hao abiria wanaopakizwa.
 
Bodaboda,wanakula wake za watu sana,wadada wanaovunja ungo,wanaojihusisha na vikoba,wapenda chips n.k.
Pole sana kwa walioathirika.
 
Baadhi ya wanawake wana roho mbaya sana hasa wanapotaka kuonewa huruma,yupo tayari kutoa machozi na akijua anaongea uongo,unaweza kukuta jamaa ni mumewe kabisa ila katoa maelezo hayo ili kikombe kumuepuke,siku jamaa akipatikana utasikia maelezo yake yanaweza kua tofauti na haya. Bahati mbaya wanawake 95% wana tabia hii ya kusema uongo,sorry kwa watakao kwazika ila ndio ukweli. Waungwana nahisi ni 5% tu.
 
Bodaboda,wanakula wake za watu sana,wadada wanaovunja ungo,wanaojihusisha na vikoba,wapenda chips n.k.
Pole sana kwa walioathirika.
Acha tuu tunalamba asali kweli kweli sie bodaboda. Tena ukute pikipiki ni yako ulishamalizana na boss basii full kupata utelezi tuu
 
Wakati mwingine wanakuwa form four leaver hao, wakishaonjeshwa mbususu na wazoefu waliozoea kujibinua kisawasawa na madoido mengine kibao ikiwemo kula koni kimadaha ya hali ya juu ndo wanakuwa hivyo. Hawasikii hata waonywe vp.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan mie ndo name waua?? Haya, mkamfukie mwenzenu huko, mchwa waanze kumtafuna, lol

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣Tunapata chai hapa na story za mademu zinaendelea. Mpaka tujue utamu uliompeleka mwana kulala hapo kwa demu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunapata chai hapa na story za mademu zinaendelea. Mpaka tujue utamu uliompeleka mwana kulala hapo kwa demu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya maombolezo mema, ya kumuweka mwenzenu ktk sehemu ya "mwana ndani"

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Shetani hana maana anakupeleka kufanya zinaa halafu anahakikisha umefia kwenye hiyohiyo zinaa


MITHALI 6:32​

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…