Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,Kamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera.
Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo
Yapi tenaDah,
So M. A. hela yake ndo imeenda bure?
Yapi kivipi? We unafikiri initially Devotha alienguliwa bure?Yapi tena
Gabachori pesa uliyotoa kwa kampeni za mgombea urais wa chama kile ndio hivyo sasa ishafanana na mchezo wa karata tatu.Kamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera.
Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo
Jamaa leo huko Iringa na Njombe kamwagia upupu wa kufa mtu!Magufuli anataka kubadili katiba kuondoa ukomo wa Rais.
Dalili ndio hizi za kupitisha wabunge wa CCM bila kupingwa.
Kujenga uwanja wa ndege na Ikulu Chato.
Asante Thinktank
Asante PENTAGON
Kamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera.
Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo
KabisaSafi watu wakapambanie majimbo sio kupita bila kupingwa hiyo haikubaliki hata kidogo.
Sasa tukutane pale viwandani alipogeuza kiwanda kuwa zizi la mbuzi tuchinje mmoja.. Moro inamwitaji Devotha sana.Kwaheri Mamluki abood
Hela ipi Mkuu?!!Dah,
So Abdulaziz M. A. hela yake ndo imeenda bure?
Sasa zile hela za Abood zilizoliwa na DED na RPC itakuwaje ?Kamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera.
Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo
Aaagh Mkuu Kwani Ni kweli?!!!Sasa zile hela za Abood zilizoliwa na DED na RPC itakuwaje ?