Morogoro mjini: Mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA Bi Devotha Minja arejeshwa rasmi na NEC

Morogoro mjini: Mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA Bi Devotha Minja arejeshwa rasmi na NEC

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Kamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera.

Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo.

Hongera kamanda, ulipambana mpaka ukalala ndani!
===
1600116509564.png

1600116532228.png
 
Magufuli anataka kubadili katiba kuondoa ukomo wa Rais.

Dalili ndio hizi za kupitisha wabunge wa CCM bila kupingwa.
Kujenga uwanja wa ndege na Ikulu Chato.

Asante Thinktank
Asante PENTAGON
 
Back
Top Bottom