share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
DED na RPC wafukuzwe haraka.Sasa zile hela za Abood zilizoliwa na DED na RPC itakuwaje ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DED na RPC wafukuzwe haraka.Sasa zile hela za Abood zilizoliwa na DED na RPC itakuwaje ?
TAKUKURU mko wapi? Kamateni DED wa Morogoro na Abood kwa kutoa na kupokea rushwa.Sasa Aboud akadai hela zake alizomhonga yule Ded Mla rushwa wa Morogoro
Mabasi ya Abood ya kuzikia ni kafara ya kibiashara. Tangu yaanze kuzika bure ajali za barabarani za mabasi yake zimepungua sana. Awali alikuwa anachinja ng'ombe kama kafara. Kafara ya ng'ombe haikusaidia sana.Abood kawateka sana morogoro.
Kwenye msiba anatoa mabasi
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Lissu abarikiwe sana, najua amewapa wengi hamasa kuwa hakuna kupita bila kupingwaSafi watu wakapambanie majimbo sio kupita bila kupingwa hiyo haikubaliki hata kidogo.
Na Wahindi pia!Wachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Nahuyo mwalabuakagombee kwaokwani moroyawalabu wewekilazaWachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Weweunabas babayakoanalalakwenye nyumbazatembeTupo kwenye vikao tunamshauri ahonge jimbo loooote! Kwa kuanzia, wananchi wote wa Moro mjini, iwe kwenda Dar na kurudi bure kwa mabasi yetu!
huyo Devotha kwa makosa yale ya kitoto inaonesha hakutaka kugombea,anaburutwa tuuDevotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo.
Mabasi ya Abood ya kuzikia ni kafara ya kibiashara. Tangu yaanze kuzika bure ajali za barabarani za mabasi yake zimepungua sana. Awali alikuwa anachinja ng'ombe kama kafara. Kafara ya ng'ombe haikusaidia sana.
Hujaelewa tu mkuu! Ungeelewa ninacho maanisha usinge hangaika na baba yangu usiye mjua! Kwa ufupi tu comment yangu inaitwa sarcastic kwa kidhungu!Weweunabas babayakoanalalakwenye nyumbazatembe