The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Wachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Na Wahindi je, wakagombee wapi?
Abood - CCM mhindi/mwaarabu akagombee wapi eti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Sasa Aboud akadai hela zake alizomhonga yule Ded Mla rushwa wa MorogoroKamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera.
Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo
View attachment 1569908
Hongera kamanda, ulipambana mpaka ukalala ndani!
Kameambie kwanza Gwajima mkaromije mwenzioWachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Dhambi ya ubaguzi imeanza kukutesa. Ikemee kwa nguvu zote.Wachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Abood kawateka sana morogoro.Dah,
So Abdulaziz M. A. hela yake ndo imeenda bure?
Huyo shombe shombe hapo kwaoWachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
ABOUD alimpa Mkurugenzi wa Morogoro Mjini Ts 200 Milioni ili amchakachue Devota Minja.Yapi tena
Na Kitila akapambane na Mwigulu kwao hukoWachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Aaagh Mkuu Kwani Ni kweli?!!!
Tuwekee Ushahidi Mkuu ili Taifa liwe Bora zaidi...
Utarudia Tena na tena..huo ni msimamo wako na una haki..Utanzania ni kabila. Nyerere alimpa uwaziri Jamal matokeo yake akaukana Utanzanja na kuwa m-Canada hadi kazikwa huko.
Narudi tena mhindi siyo mtanzania kamwe. Labda awe mwarabu siyo Mhindi. Wahindi karibu wote wa Tanzania wana uraia pacha ama wa India/Pakistan, UK au Canada.
Wanajibanza ccm ili waibe na kulindwa. Hawana jema kwa nchi hii.
Mil 200 si haba,mkurugenzi ameponeapo kidogoDah,
So Abdulaziz M. A. hela yake ndo imeenda bure?
Ni sawa na mnyarwanda kuwa mbunge wa ccm,na mrudi kua katibu mkuu wa ccmMinja na morogoro wapi na wapi?
Huyo kanjibahi Abood(muarabu) ccm ni mluguru au ni mpogoro?acha kuleta ukabila,,ukienda mikumi Jose haule(mngoni)cdm ni mpogoro au ni mluguru?je gairo shabibi(muarabu)ccm ni mpogoro?je kabudi (mgogo)mgombea ccm kilosa ni mpogoro?na je Assenga(mchaga) mgombea ccm wa kilombero ni mpogoro ni mluguru?Wachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Sawa,Abood akagombee wapi? Qatar,Abudhab au?Wachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Minja na morogoro wapi na wapi?