Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Rpc amenielewaMkuu Sasa unatuhumu Vipi watu katika Mambo ya miamala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rpc amenielewaMkuu Sasa unatuhumu Vipi watu katika Mambo ya miamala?
Uongo Upi?!!Acha uongo gabacholi hawezi kuwa mtanzania wewe ndiyo maana anaficha hela Panama huko maana anajua hapa siyo kwao.
Wewe Ni zaidi ya RPC..hongera Mkuu!!Rpc amenielewa
Ila bado hataweza kumshinda AboodKamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera.
Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo
View attachment 1569908
Hongera kamanda, ulipambana mpaka ukalala ndani!
uko Sahihi , RPC anaweza kufukuzwa hata na Lugola lakini mimi siwezi kufukuzwaWewe Ni zaidi ya RPC..hongera Mkuu!!
Sasa mbona polisi wakashirikiana na mkurugenzi kupoteza picha za Minja?Hahahaha hilo jimbo kamwe Devotha awezi shinda
Ng'ombe kabisa we Jamaa..... Ipi bora mtz huyo aliyezaliwa Moro au mhindi anayekuibia raslimali zako kwa vile tu ni ccm?Wachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Imeliwa Kifara SanaDah,
So Abdulaziz M. A. hela yake ndo imeenda bure?
Kutofukuzwa kwako Hakukuondolei ubora wako wa kujua zaidi ya hao.....uko Sahihi , RPC anaweza kufukuzwa hata na Lugola lakini mimi siwezi kufukuzwa
Utanzania ni kabila. Nyerere alimpa uwaziri Jamal matokeo yake akaukana Utanzania na kuwa m-Canada hadi kazikwa huko.Uongo Upi?!!
Kwako UTANZANIA ni Kabila ama race?!!!
Hukumwelewa Mwalimu JKN aliposhawishiwa na kukataa MAWAZO ya Wahafidhina koko,baada tu ya UHURU.....
Endelea Kutafuta kura KIBAGUZI....
Nyie mijitu kichwan sio riziki...na huyo mwarabu wenu akagombee uarubuni....sijui mnapewa viroba hp lumumbaWachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
We jamaa wewe kwani Abood ni mrugulu?Wachaga wakagombee kwao waache kutusumbua
Kamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera.
Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo
View attachment 1569908
Hongera kamanda, ulipambana mpaka ukalala ndani!
Na kuwaondoa wasimamizi wote walio sababisha huu udumbufu. Maana kuna mashaka pia ya kutawangaza waki shinda.Nimefurahi Devotha kurejeshwa. Lkn bado NEC ina deni kubwa kwa watanzania hadi hapo itakapo warejesha wagombea wote wa vyama vya upinzani.