Huo kwa kweli ulikuwa ni uamuzi wa busara na wa kijasiri kwa sababu hata leo hii huyo mwamba aliyeondoka na hizo "hela za kunyonga" hanazo tena zimeisha. Kongole mkuu.Tambua, mimi ni tukio lingine sio Morogoro alikofungiwa huyo kamanda, ila ni kweli, mpangaji wangu nilimruhusu andoke na deni la miezi mitatu na bill ya maji ya miezi 6, KIROHO safi, sijui balozi, au mashahidi sikutaka.
Binadamu hukwama. Sio lazima awe alidhamiria kufedheheka.Huo kwa kweli ulikuwa ni uamuzi wa busara na wa kijasiri kwa sababu hata leo hii huyo mwamba aliyeondoka na hizo "hela za kunyonga" hanazo tena zimeisha. Kongole mkuu.
Sijui umeishi nyumba za kupanga ngapi kwa muda gani?Yan umeshindwaje kuielewa hoja yangu? Hoja ni kwamba mpangaji hawezi kufanya maamuzi ya ni lini alipe na ni kwa namna gani malipo hayo yatakuwa.
Halafu inakuwa mkuu; Yan Tatizo lilikuwa linasubiri ili lijitokeze wakati mpangaji anapotakiwa alipe kodi?? Kiustaarabu hatukatai tatizo linaweza kujitokeza; lakini Mlipaji/Mpngaji katika hali ya kawaida huenda kumwona mwenye nyumba na kujieleza na sio kumkwepa au kufanya uhuni. Kwani huyo Mpangaji hana namna au vyanzo vingine vya kupata fedha ili akalipe kodi??
Ukiona wewe mpangaji umebanwa sana kifedha ni vyema ukajinyenyekesha kwa mwenye nyumba hata kama itakubidi uweke rehani baadhi ya vitu vyako ili uendelee kujiaminisha na kusubiriwa hali iwe nzuri.
Pascal Mayalla katumie utaalam wako kumsaidia kisheria wajina lako mahakamaniKatika hali isiyokuwa ya kawaida, mmiliki wa nyumba Plot namba 149 BLOCK ‘A’ Kihonda Kilimanjaro, Dk. Lusako Mwakiruma
Angekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
😆🤣Mwenye nyumba ame unja mkataba kwa sms
Wa kilimanjaro tena? Mbona mna fear of unknownAngekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Ndio amfungie ndani masaa yote hayo?
Je angepata tatizo la kiafya humo angesaidika vipi?
Aliyeharibu ubongo wa waafrika kwa kisingizio cha dini apewe tuzo huko aliko. Hakuna kitu kinaudhi kama unapoona watu wanashindwa kutumia ubongo wao kuchanganua mambo kwa kivuli cha dini. Huyu Mungu atapata taabu sana kutuhukumu kama kweli hiyo siku ipoAngekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Angekuwa Salum au Asha kafanya hivyo, tungeipata Waislam wote humu JF na Tanzania nzima.
Lakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Unawazungumziaje hili la Padre na KibaoLakini kwa kuwa kafanya kondoo mwenzao wa kilimanjaro, wote kimyaa.
Ninakuunga mkono 100%Huo ni udhalilishaji na ukosefu wa utu.
Una akili ya kondooHata hv huyo maza hausi ni anahuruma sana
Ilitakiwa amtwange hata na mti ndo amfungie akome ubishi.