Ney wa mitego mnamfananisha na Yesu, hivi vijana wa CHADEMA Mmelogwa na nani ?Yesu alimaliza kazi yake ndipo akasurubiwa lakini mbegu ya neno ilikuwa ishapandwa kwenye mioyo ya wanadamu..
Ney kasha fanya kazi...
Kumkamata nikusaidia tu wimbo uwafikie watu wengi zaidi,wengi watataka kujua ameimbaje hata kumpelekea akamatwe?; kwa hivyo serkali inajitshidi kujinyoga yenyewe
amemtukana nani?Safi sana, ashughulikiwe ipasavyo, kucriticise ni haki ila kutukana ni jinai.
Wewe umemtukana mtu hapo juu! Hapa unajifanya kamati ya NidhamuWeshaona fashion sikuizi kutukana, wameharibu jf sikuhizi nayo hovyo tu, huyo wanayemuiga yuko States na hawezi kanyaga Tz, muda si mrefu jf tunaipoteza maana naona hata mods ni kama wanatumika.
Uhuru wako ukiutumia vibaya ujue unajigharim mwenyewe.Napita kuna uhuru wa kuongea
Hata nafsi yako hapo itakukataa.Katukana vipi? Hebu tutajie baadhi ya matusi aliyoyatoa...
mlevi wa lumumba tu huyiWewe umemtukana mtu hapo juu! Hapa unajifanya kamati ya Nidhamu