Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

Yesu alimaliza kazi yake ndipo akasurubiwa lakini mbegu ya neno ilikuwa ishapandwa kwenye mioyo ya wanadamu..

Ney kasha fanya kazi...
Kumkamata nikusaidia tu wimbo uwafikie watu wengi zaidi,wengi watataka kujua ameimbaje hata kumpelekea akamatwe?; kwa hivyo serkali inajitshidi kujinyoga yenyewe
Ney wa mitego mnamfananisha na Yesu, hivi vijana wa CHADEMA Mmelogwa na nani ?
 
Kichaa kapewa rungu. Hehehehe
Ndugu yake yesu kakasirika leo. Ngoja aendelee kuiga uganda, nchi ambayo hata uchumi tunaipiga gepu mbali sana, ni kama profesa kufundishwa na mtoto wa primary.
 
alitoa nyimbo nzuri ila nilijua lazima akae sehemu mbaya.
 
Napita kuna uhuru wa kuongea
1e901b82b97894424c4e3dc829eeb78c.jpg
Uhuru wako ukiutumia vibaya ujue unajigharim mwenyewe.

Nani alikupa Uhuru wa kutukana? Hata Mwenyezi Mungu mwenyewe hakuruhusu kila kitu ujifanyie unavyotaka bana.

Hakuna Uhuru wa kutukana,kukejeri,na kutumia lugha ya maudhi.
 
Hakuna kesi hapo ni kuzidi kumpaisha. Labda wambambikie ngada
 
Back
Top Bottom