komunisti
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 1,173
- 1,654
Hassan rehan bichuka,,,juma kitambi mwanzilishi wa wimbo wa rangi ya chungwa,,zahorro bangwe,,abdul misambano nkUkimtoa marijani rajabu nitajie mwingine kutoka huko kigoma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hassan rehan bichuka,,,juma kitambi mwanzilishi wa wimbo wa rangi ya chungwa,,zahorro bangwe,,abdul misambano nkUkimtoa marijani rajabu nitajie mwingine kutoka huko kigoma!
Hassan Bichuka, Zahil Zoro n.kUkimtoa marijani rajabu nitajie mwingine kutoka huko kigoma!
Kumbe kumbukumbu bado zimo nilikuwa nafikiri zimemalizwa na Shisha.Ndiyo ni wa morogoro kacheza reli na tumbaku za morogoro kabla ya simba.
Kwiro Jazz ilikuwa ya wapogoro ?Morogoro kulikuwa na cuban marimba ya salum abdala,morogoro jazz na baadae super volcano na kwiro jazz kama sikosei.zingine huwezi kuita band bali vikundi tu,ifajara jazz,malinyi jazz,kilombero jazz nk
Sizungumzii uzamani, bali ubora, umahiri na idadi ya wahusika. Huwezi kuwa na watu 5 bora ukalinganisha na yule mwenye watu 50 walio nguli.Kipindi cha dcc mlimani park ya gurumo. Ukiangalia hapo utaona bado moro jazz ni ya zamani sana.
Bila shaka kaliwika hako kabendi enzi zetuKwiro Jazz ilikuwa ya wapogoro ?
Yah wakina cosmas cheka na sa hivi kuna mzee Twaha kidukuKigoma ilifuata baada ya morogoro hata ukija upande wa mpira na ngumi bado Moro iko mbali sana.
Man bwenga shishiJaa kulonga no kuja chobwedaa.
Katika Mikoa yote nauheshimu Mkoa mmoja tu uliokuwa na vipaji vya katerero mpaka Amini akautamani.Hapo uko sawa 💯 moro imetoa vipaji kiukweli si mpira si ngumi na muziki ndio usiseme.
Morogoro kulikuwa na bendi inaitwa butiama jazz ya mzee mmoja wa ccmKwiro Jazz ilikuwa ya wapogoro ?
Aishi ManulaUpo sahihi ata kwa upande wa vipaji vya boxing na soccer ,na iyo inatokana na kila mtaa kuwa na uwanja wa michezo na ligi mbalimbali hadi za njiwa😂😂tofauti na mikoa mingine , moro kitu kinachowakutanisha watoto na vijana kila jioni ni mpira wa miguu, tofauti na mikoa mingine, na sa hivi kuna boxing imeongezeka na music, list ya wacheza mpira naowahafu na nimeshuhudia hustle zao
1. Kibwana shomari
2. Dickson Job
3.Mzamiru
4.Nickson kibabage nk
Kimuziki moro ilitangulia na ndio ilikuwa kisima cha burudani. Huwezi taja muziki wa Tanzania bila kuitaja Morogoro. Ijapokuwa kigoma imeibuka na inakimbiza kutokana na wengi kuwa wa asili ya Congo.Sizungumzii uzamani, bali ubora, umahiri na idadi ya wahusika. Huwezi kuwa na watu 5 bora ukalinganisha na yule mwenye watu 50 walio nguli.
Hata kizazi hiki Kigoma ni mhimili ktk ulimwengu wa muziki.
Kwenye soka Moro iko mbele kuliko Kigoma, ila muziki kuna gap kubwa baina yao