Morogoro ndio mkoa uliotoa vipaji vingi Tanzania kuliko mikoa mingine.

Morogoro ndio mkoa uliotoa vipaji vingi Tanzania kuliko mikoa mingine.

Tanga vipaji vipo ila sio level za morogoro kwa maana morogoro haijawahi kupokoa hata siku moja kwenye kuzalisha vipaji?
Unajifariji Tanga Ina chipukizi mwaka huu machalii kama kusah na platfom tz wanabamba nitajie msanii wq kike kutoka moro anaweza kufika hata robo ya Ruby
 
Tanga vipaji vipo ila sio level za morogoro kwa maana morogoro haijawahi kupokoa hata siku moja kwenye kuzalisha vipaji?
Unajifariji Tanga Ina chipukizi mwaka huu machalii kama kusah na platfom tz wanabamba nitajie msanii wq kike kutoka moro anaweza kufika hata robo ya Ruby
 
Hizo ni za juzi hapa hiyo Moro jazz ilianzishwa miaka ya 30s
😂😂😂😂Sitaja wasanii kule ndo lango la burudani hata ufanyeje sema watu wa Tanga sio wapiga kelele mitandaoni wale ni mapenzi tu.
 
Hizo ni za juzi hapa hiyo Moro jazz ilianzishwa miaka ya 30s
Angalia ngoma za waziri ally kachori, tupendane ,kinyaunyau zilivyobamba miaka iyo 😂😂😂 watu wako kimya hawanaga kick Jana alianza jamaa wa Arusha leo Moro hamjiamini
 
Ndio maana huwezi walinganisha na mikoa mingine, vinginevyo mtu useme kiushabiki
Miziki ipo kugoma hata soka ,kaseja ,sure boy baba na mtoto ,Runyamila ,

Usilinganishe kigoma na takataka za Morogoro

USSR
 
Wewe wacha kujificha kwa wasukuma wewe sio msukuma
Au mpaka tutaje kakabila chako cha wa...
Morogoro namba moja, unafuatiwa na Kigoma namba mbili, Tabora na Tanga nambari tatu.

Sisi Shinyanga ni Mwanamalundi na Pawa Mabula tu.
 
Hassan rehan bichuka,,,juma kitambi mwanzilishi wa wimbo wa rangi ya chungwa,,zahorro bangwe,,abdul misambano nk
Christiana shusho,upendo nkone, Asenti Butati, diamond,Kiba, baba levo, mwasiti,dimpozi,Kiba mdogo, Sarafina, banana,maunda, zahiri zoro,Chege,

Ukisikiliza wimbo wa leka tutigite ndio utaijua kg ni babalao

USSR
 
Talent nyingine ni akina mama kurudi Morogoro toka kokote walipo duniani kwaajili ya kutoa mwali (shughuli)
 
Linapokuja suala la burudani hususani muziki, Kigoma iko sayari ya 7 kutoka sayari ya Tanzania.

Tangu huko nyuma kuna wasanii wengi nguli kama akina Bichuka n.k, hivyo vyovyote utakavyo linganisha, Kigoma hailinganishwi na mkoa wowote.

Ni sawa uilinganishe Mbeya na mkoa wowote kwenye masuala ya Ukristo(uimbaji wa Gospel, idadi ya nyumba za ibada n.k), hapo unakuwa unajilisha upepo maana ina watu ngulii haswaa kibao ambao mikoa mingine hawapo.
Labda kigoma ya burundi..
 
Christiana shusho,upendo nkone, Asenti Butati, diamond,Kiba, baba levo, mwasiti,dimpozi,Kiba mdogo, Sarafina, banana,maunda, zahiri zoro,Chege,

Ukisikiliza wimbo wa leka tutigite ndio utaijua kg ni babalao

USSR
Uyo Diamond mtoe apo na umfatilie vzuri utajua asili yake ni wap??
 
Hiki nacho ni kipaji adhimu

Wamefuta stand ya daladala katikati ya mji na kuipeleka porini, baada ya nature kukataa, wamerudi katikati ya mji wakafunga barabara na kuzigeuza maegesho ya daladala na stand ikageuzwa kuwa sehemu ya kuuza dawa za nguvu za kiume, kwakweli viongozi wa mji mna akili
 
Na hii ndio sababu mkoa huu unadumaa licha ya kuwa na sifa nyingi kama alizoainisha mtoa mda, wenyeji wanapiga vita wawekezaji wageni kila leo..
Unaposema morogoro ni mkoa unaopiga vta wageni utakuwa unakosea kabisa..
Morogoro ni mkoa ambao wageni ndo wanapewa sapot kubwa kuliko wazawa na ndomana ni ngumu kumkuta ata mbunge mzawa iala walabu na makabila mengine ndio huchukuwa majimbo hata kwa mayer navyo ni ivyoivyo..
Ukifika mjini ukikuta magorofa makubwa ni yawageni to huwezi kuta la mruguru au mpogoro japo kiukweli inauma ila ndo ivyo..
Ukiw mgeni kutoka kimaisho morogoro ni simple sana ila c kwa mzawa...
 
Back
Top Bottom